nembo

  1. mugah di matheo

    Simba tuvaeni Nembo za Gsm mapinduzi cup ila NBC pl hapana

    Epl Arsenal anadhaminiwa na fly Emirates ambao kwa kiwango kikubwa walishiriki kwenye management ya Arsenal hadi kuja na plan ya kujenga uwanja wa Emirates Lakini kwa saivi Fly Emirates wamekuja na Emirates FA cup ambapo timu zote shiriki zimekubali kuvaa hivyo ikiwemo man City inayomilikiwa na...
  2. CK Allan

    Simba Gomeeni kuvaa Nembo ya GSM, Kama Yanga walivyogomea Twiga mwekundu

    Ujinga na tamaa za TFF ndio zinaleta huu mkanganyiko. Tayari GSM ameshaona kuwekeza Utopoloni ni hasara kwakuwa Utopolo inaishia humu humu, sasa wanajua Ili kupata Faida lazima uweke kitu Simba kwakuwa ndio inaitangaza Soka la Tanzania.. ukizingatia tayari Simba Ipo kwenye makundi ya Shirikisho...
  3. K

    Usipoivaa Nembo Ya Mdhamini Wa Ligi Nyudo 3M Kila Mechi

    Na Adhabu Inaweza Kuongezeka Kufikia Kuporomoshwa Daraja. Hili Limekaaje Wadau? Bodi Ya Ligi ina lengo La kuwaumbua Viongozi Vya Vilabu wasiotumia Busara Kuongoza? Ni Vijimambo vinavyopatika Ligi yetu Ya Tanzania tu...!
  4. M

    Hivi mahindi ndio kipimo cha njaa au chakula kuwepo nchini?

    Mzuka wanajamvi! Serikali au wadau mbalimbali wakitoa data kuhusu upungufu ama chakula kuwepo wanatumia mahindi. Baa la njaa ikiikumba nchi mahindi yanatumiwa kama kipimo cha chakula pekee kuonesha kama kuna njaa au la. Tuna ona serikali kupitia wizara ya kilimo inanunua mahindi tu meengii...
  5. K

    Yanga wagomea kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini wa ligi NBC mechi ya KMC

    Katika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo. Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu. Kuna mtu kaniuma...
  6. C

    SoC01 Jinsi timu ya Yanga inavyoweza kutengeneza mabilioni ya shilingi kwa kuuza bidhaa zenye nembo ya timu

    Jinsi timu ya Yanga inavyoweza kutengeneza mabilioni ya shilingi ndani ya msimu mmoja.
  7. Erythrocyte

    Nembo ya CHADEMA digital yawavutia wengi

    Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO . Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi...
  8. hazard Don

    Mifuko yenye Nembo ya Kuhifadhia mikate inahitajika

    Habari wakuu, Katika harakati za kutafuta maisha nimeamua kufanya biashara ya kupika na kuuza mikate. Kama mnavofahamu Mifuko imepigwa marufuku ,hivyo ili kufunga mikate inatakiwa ile Mifuko iliyopigwa Nembo ya muuzaji ya kuuza Mkate. Nimejaribu kumuuliza Jamaa yangu yupo Dar es salaam...
Back
Top Bottom