netanyau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Netanyau awasili Washington DC, kukutana na Trump kwenye mkutano muhimu sana

    Wadau hamjamboni nyote Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau amewasili nchini Marekani na atakuwa na kikao kizito sana na Rais Trump Mungu ibariki Israel Netanyahu lands in Washington, to discuss hostage deal extension with Trump By AMICHAI STEIN FEBRUARY 2, 2025 22:42Updated: FEBRUARY 3...
  2. Mtu Asiyejulikana

    Bado tunaendelea kumlaani Netanyahu kwa aliyoyafanya huyu Jamaa ataangamizwa vibaya

    Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo. Yule si...
  3. U

    News alert Pamoja na kutakiwa kupumzika na madaktari baada ya upasuaji tezi dume Netanyau atahudhuria uapisho wa trump 20/1/2025 Washington DC

    Wadau hamjamboni nyote? Mwamba amedai Oktoba 20 atakuwepo Washington DC kushuhudia mwamba mwenzake Donald Trump akila kiapo kuongoza taifa kubwa zaidi duniani Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: January 1, 2025 Netanyahu still planning to attend Trump’s inauguration, despite surgery By...
  4. Pdidy

    Kwa Kifupi Netanyau Anataka Kumaliza Kizazi Cha Gaza Waanze upya

    Nimeangalia Al Jazeera Aisee Huyu Mwamba Wamwache Tu Amalize Alichopanga Kifupi Hana Hata Mpango WA Kuacha Mauwaji Ya Gaza Leo Wala Keshooo Mns Anahitaji Kizazi Kipya Gaza Hawa Waliopo Waishe Wotee
  5. U

    Ayatollah Khamenei asema Netanyahu anastahili adhabu ya kifo na siyo kukamatwa

    Iran’s Khamenei says death sentence should be issued for Netanyahu, not arrest warrant A handout picture provided by the office of Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei shows him addressing the crowd during a meeting with members of the Basij paramilitary force in Tehran on November 25...
  6. U

    Seneta John Thune asema Marekani kuiwekea vikwazo ICC ikithubutu kutoa hati ya kukamatwa Netanyau au viongozi wengine

    Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: Times of Israel Incoming Senate majority leader threatens ICC with sanctions over case against Israelis Senator John Thune warns US will impose restrictions on International Criminal Court if it moves ahead with arrest warrant requests against...
  7. U

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

    Wadau hamjamboni nyote? Kikao ni kesho usiku kuanzia saa 3 usiku huko Tel Aviv Hofu dhidi ya shambulizi la Iran yatajwa! Taarifa zaidi kukujia. Times of Israel: ======== November 1, 2024: PM to hold security cabinet meeting Sunday night amid Iranian threats, Lebanon ceasefire push. Prime...
  8. U

    Rais wa zamani wa Marekani Donald trump amtaka Netanyau amalize vita vya Gaza mapema kabla hajarejea Ikulu ya Marekani kuwa Rais kwa mara nyingine

    Wadau hamjamboni nyote? Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, amemwambia Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuwa anataka Israel imalize vita vya Gaza kabla ya yeye kurejea madarakani iwapo atashinda uchaguzi, vyanzo viwili vilivyo na taarifa juu ya suala hili vimeeleza kwa The Times of Israel...
  9. U

    Netanyau asema shambulizi la Israel dhidi ya Iran lilisambaratisha viwanda vya kutengeneza kifo! Iran kamwe haitomiliki silaha za nyuklia

    Wadau hamjamboni nyote? Hotuba nzito mbele ya bunge la Israel Waziri Mkuu Benjamin Netanyau Iran kamwe haitoruhusiwa kumiliki silaha za nyuklia Israel itaendelea kusaini mikataba ya amani na nchi za kiarabu Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Netanyahu says Israel’s strikes on Iran...
  10. Komeo Lachuma

    Tumtakie Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mwamba wa Mashariki Benjamin Netanyau. 75 years

    Ukimwona unaweza sema ana 60. Daaah... Jamaa ana kula nini? Huyu jamaa leo kafikisha miaka 75. Na ana nguvu fresh tu. Na huko Mashariki ya Mbali wanamchukia sana. Pia na wakazi wa Mashariki ya mbali waliopo Tandale kwa Tumbo,Buguruni kwa Mnyamani, Manzese kwa Mfuga Mbwa, kwa Mtogole na viunga...
  11. U

    Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

    Wadau hamjamboni nyote? Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa. WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita. Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe...
Back
Top Bottom