[INTERNET] Network Error: A connection attempt failed because the connected party did not properly respond after a period of time, or established connection failed because connected host has failed to respond. Wakuu nani akikutana na hilo tatizo na alitatuaj Wakuu maana nishapata presha hapa
Habari wanabodi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nimenunua simu (Pixel 6 pro) kutoka ebay.. wakati nanunua muuzaji alidai kwamba simu ni Open Box na haijawahi kutumika na ni UNLOCKED.
Simu baada ya kunifikia kweli ilikuwa inaonekana ni mpya haina shida, ila baada ya kuweka line ikatoa allert...
Weapons expert Mark Steele has testified that 5G is a weapons system designed to depopulate the planet on behalf of the global elite.
In a bombshell report, Steele claims that 5G represents a heinous crime if a person understands the motive behind its deployment.
BYPASS THE CENSORS
Sign up to...
Salaam JF Tech,
Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo, simu yangu ya Samasung inakataa kutafuta au kunasa Wi-Fi.
Simu zingine zinakubali.
Tatizo nini? Msaada.
Yaani nikiwapigia watu simu inakata
Napigiwa na watu simu inakata
Nilijiunga na bando ka Home internet gb 40 nimeshindwa kabisa kufanya chochote
Yaani ningekuwa naweza ningewashitaki huu mtandao😡
Mambo vipi? Nimekuja kukuambia machache kuhusu mimi mpenzi wangu.
Mimi ndiye ninayekufahamu wewe kuliko hata unavyojifahamu wewe, Naam.
Mimi ndiye ninamjua mpenzi anayekufaa kuliko hata wazazi wako wanaokushauri kila siku, umesahau juzi ulikuwa una-gugo sifa za mpenzi bora?
Ni mimi huyuhuyu...
Habari wadau
Ningependa kufahamu kama router ya airtel huawei b68a-24 inapokea network(internet) kutoka kwenye ethernet na kushare kwa Hotspot?
Maana niliconnect ethernet (rj45) kutoka kwenye switch yenye source ya internet
Yani kutumia hii router kama bridge tu
Are you a reputable Information Technology firm? Do you have experience with Local Area Networks and Wireless Area Networks?
Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “: ICT Local Area Network (LAN), Wireless LAN (WLAN) and Data Centre revamping and overhauling,” to...
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.
Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.
Je...
Job Description
Role Purpose
• Maintain and support of IP/MPLS network operational activities
• Controlling, managing and acting as second level support for data and internet customers
• Ensure MPESA is supported and well protected on the network layer
• Maintain operational excellence and...
Oy wazee wa tech nilikua na wazo la kufungua ad network
ambayo ni special sana kwa blogu za kuswahili ila lugha nyingine nitalipa pia
japo bado nipo kwenye mawazo wapi nitapata matangazo au publishers
Haya nimelileta kwenu vipi mtanisapoti au ?????? Wenye blog/tovuti
N.B NATENGENEZA BLOGU...
Habari
Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.
Nimekuwa nafuatilia masuala yangu TRA (sisemi ni wapi) hapa Dar. Wakati wahudumu wakiendelea na huduma unasikia wanasema subiri network irudi. Hapo majukumu inabidi yasimame hadi network ikae tena sawa. Ikifika hapo baadhi ya wateja huamua muahirisha kilichowapeleka pale.
Hili nimekumbana nalo...
Jamani habari nimekua nikitafuta kampuni bora ya matangazo ambayo ingenilipa vizuri kama google adsense hii ni baada ya kukataliwa na google adsense kutokana content language
ambayo ni kiswahili nimejiunga mingi ila ambayo niliipenda ni
ADSTERRA
huyu alikuwa wa moto mpaka naearn my first $1...
HII Ni hujuma ama Nini? Rudisheni mtandao nyie sio mtandao unarudi saa tisa Na foleni ya kuingia uwanjani MTU unaingia ndani dakika ya ishirini wakati mayele Kisha fanya yake
HII Ni hujuma ama Nini? Rudisheni mtandao nyie sio mtandao unarudi saa tisa Na foleni ya kuingia uwanjani unaingia ndani dakika ya ishirini wakati mayele Kisha fanya yake
Ukiitiwa Fursa Ujue wewe ni Fursa.
Je umewahi kuitiwa Fursa?Je umewahi kujiuliza kama ni fursa kweli kwa nini haitumii mwenyewe?Je umekuwa mtu wa wasi kila mara unapoona fursa na kuhisi kuwa unapoteza?Kama jibu ni Ndio Basi hauko peke yako.Wako wengi sana ambao wamejikuta katika mtego huo ni...
Week hii zimevuja sex video za Msanii mkubwa Africans Nigerian singer Tiwasavage ,akiwa na boy friend wake.
Hata hivo bado exactly ajajulikana nana kavujisha, licha ya video kurecordiwa na wao wenyewe.
Baada ya kuleak video hizo blogs ,social network, fanpage zote zimekuwa zikimfariji star...