Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje.
Naomba ufafanuzi kwenye hili.
Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
Tangu nianze kutumia laini ya Vodacom natamani nidiriki kusema hii speed yao ya Internet siielwi kabisa.
Mwanzoni ilikuwa kilio cha vifurushi-- Ila kwa bahati nzuri vifurushi-- nafuu vimerudishwa Mana naweza pata 1GB kwa 1000/= Ila shida imekuwa kwenye speed ya internet, speed n ndogo sana...
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye mada, nina mpango wa kuingia katika biashara ya mtandao(Network Marketing), asilimia 80% ya maoni niliyoyapata kwa watu wa karibu ni negative; yaani wanaamini huko nitaenda kutapeliwa.
Ninaombq wana JF wale ambao mna ufahamu wa kutosha na huenda mlio kwenye...
Enyi mtandao wa halotel, network yenu leo haisomi kabisa. Shida ni nini au tatizo ni katelephone kangu.Au ndo maboresho ya vifurushi.
Naomba muongozo wenu katika hili.
Overview
The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital. Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
Sijawahi kuelewa kwanini hii Wilaya mitandao ya sim inasumbua sana network, ukiwa na smartphone network kuipata hadi uende sehemu yenye mnara wa simu.
- Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika.
- Ukija upande wa radio ndiyo...
(E-Commerce Research Center) 1. IBM PC 5150
computer hardware
in 1981
IBM company
the first personal computer
IBM PC 5150 is the originator of modern PC, marking that personal computer has really entered people's work and life. The price of IBM 5150 is 2880 US dollars. Only one month after...
Huu mtandao sasa basi, unatia kichefuchefu hadi kutapika. Kwao wateja si watu wa kuthaminiwa tena. Wameshiba utajiri waliochuma kwa wateja wanaowadharau na kuwapuuza. Unaripoti tatizo kwao (customer care) halitatuliwi.
Baadhi ya kero za TIGO Mobile:
1. Unalipia kifurushi (data au muda wa...
Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa
Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed
Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane...
Wadau wa JF tech habarini za asubuhi, bila kupoteza muda na kwa ufupi naomba kuaddress swala langu, e bhana ee kila nikiwasha data kwenye simu yangu inakuja hii notification "sign in to network" inanikera sana, nimejaribu kwenda ku-mute notification kwenye android system lakini naambiwa kwa hiyo...
Something wasn't right. Starting earlier this year, police kept arresting associates of Mark, a UK-based alleged drug dealer. Mark took the security of his operation seriously, with the gang using code names to discuss business on custom, encrypted phones made by a company called Encrochat. For...
With the continued economic problems in sadc's largest economy and the second largest economy in Africa, residents have turned to looting the rail infrastructure. Overhead electrical wires have been stolen and train stations are stripped bare.
Already struggling with a crumbing road network...
Angalia picha, hiyo ni Band Mode option kwenye setting ya Engineer Mode ya simu za android , nataka kutick baadhi ya bands lakini siwezi kwakuwa zimelokiwa.
Je, kuna namna ya kuzifungua ili niweze kuzitiki?
Wadau naomba ushauri juu ya soko (kwa upande wa ajira) mimi nasoma Bachelor of Computer Engineering, MUST, siko interested sana na coding.
Nafkiria kuspecialize na Network & System Administration kwenye suala la ajira iko vp hii? Na ni sector zipi zina uhitaji wa ao watu wa network?
Vacancy Title: Private Sector Network Consultant (Generalist)
Jobs at: Resonance
Deadline of this Job: 31st July, 2020
Duty Station: Within Tanzania , Dar es Salaam , East Africa
JOB DETAILS:
Private Sector Network Consultant (Generalist)
Tanzania Private Sector Landscape Assessment (PSLA)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.