network

  1. teac kapex

    Msaada juu ya data network ya hii Galaxy note 9.

    Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
  2. Ziroseventytwo

    Kuna tofauti kati ya network ya kupiga simu na network ya internet?

    Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje. Naomba ufafanuzi kwenye hili. Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
  3. N

    Internet ya Vodacom imekuwa na kasi ndogo

    Tangu nianze kutumia laini ya Vodacom natamani nidiriki kusema hii speed yao ya Internet siielwi kabisa. Mwanzoni ilikuwa kilio cha vifurushi-- Ila kwa bahati nzuri vifurushi-- nafuu vimerudishwa Mana naweza pata 1GB kwa 1000/= Ila shida imekuwa kwenye speed ya internet, speed n ndogo sana...
  4. FRANCIS DA DON

    Nini kinaendelea Airtel tatizo la network?

    Je, Airtel mmefikia wapi kutatua hilo tatizo la voice call na sms kugoma kwa asilimia kubwa? Yaani tunaishi kwa network ya kubahatisha, why?
  5. Usipanic buana nakutania

    Ushauri kuhusu Network marketing

    Habari wakuu Moja kwa moja kwenye mada, nina mpango wa kuingia katika biashara ya mtandao(Network Marketing), asilimia 80% ya maoni niliyoyapata kwa watu wa karibu ni negative; yaani wanaamini huko nitaenda kutapeliwa. Ninaombq wana JF wale ambao mna ufahamu wa kutosha na huenda mlio kwenye...
  6. Gibeath-Elohimu

    Halotel, Network yenu leo ina shida gani?

    Enyi mtandao wa halotel, network yenu leo haisomi kabisa. Shida ni nini au tatizo ni katelephone kangu.Au ndo maboresho ya vifurushi. Naomba muongozo wenu katika hili.
  7. Jamii Opportunities

    Human Resource Assistant at The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST)

    Overview The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital. Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
  8. M

    Nauza Tecno Camon X

    SOLD
  9. Waziri wa Kaskazini

    Hivi kwanini Wilaya ya Rombo kuna tatizo kubwa sana la Network?

    Sijawahi kuelewa kwanini hii Wilaya mitandao ya sim inasumbua sana network, ukiwa na smartphone network kuipata hadi uende sehemu yenye mnara wa simu. - Miaka ya nyuma nilikuwa natumia laini ya safaricom ya Kenya nilikuwa napata network na Internet ya uhakika. - Ukija upande wa radio ndiyo...
  10. spoto2

    100 technological innovation networks affecting the world s IT industry economic and social network service platform e commerce research center e bus

    (E-Commerce Research Center) 1. IBM PC 5150 computer hardware in 1981 IBM company the first personal computer IBM PC 5150 is the originator of modern PC, marking that personal computer has really entered people's work and life. The price of IBM 5150 is 2880 US dollars. Only one month after...
  11. B

    Kwaheri TIGO Mobile Network, Unachosha kwa Usanii!

    Huu mtandao sasa basi, unatia kichefuchefu hadi kutapika. Kwao wateja si watu wa kuthaminiwa tena. Wameshiba utajiri waliochuma kwa wateja wanaowadharau na kuwapuuza. Unaripoti tatizo kwao (customer care) halitatuliwi. Baadhi ya kero za TIGO Mobile: 1. Unalipia kifurushi (data au muda wa...
  12. QUALIFIED

    Network unlock

    Habari wakuu, Mwenye network unlocking code za Motorola e5 locked by Verizon anisaidie tafadhali. Imei yake 351838090697861.
  13. josias

    Network marketing (biashara mtandao), sekta muhimu kwa uchumi ambayo inahitaji kutolewa elimu na kutungiwa sera

    WTF
  14. Scars

    Tupeane ujuzi namna ya ku-unlock network hizi simu za kijapan SHARP ANDROID ONE S3-SH

    Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane...
  15. Pastory Kimaryo

    Msaada: "Sign in network" inanikera

    Wadau wa JF tech habarini za asubuhi, bila kupoteza muda na kwa ufupi naomba kuaddress swala langu, e bhana ee kila nikiwasha data kwenye simu yangu inakuja hii notification "sign in to network" inanikera sana, nimejaribu kwenda ku-mute notification kwenye android system lakini naambiwa kwa hiyo...
  16. Teknocrat

    How Police Secretly Took Over a Global Phone Network for Organized Crime "EncroChat"

    Something wasn't right. Starting earlier this year, police kept arresting associates of Mark, a UK-based alleged drug dealer. Mark took the security of his operation seriously, with the gang using code names to discuss business on custom, encrypted phones made by a company called Encrochat. For...
  17. Kevin85ify

    Looting and vandalism in South Africa (Nothing remains in Gauteng's rail network)

    With the continued economic problems in sadc's largest economy and the second largest economy in Africa, residents have turned to looting the rail infrastructure. Overhead electrical wires have been stolen and train stations are stripped bare. Already struggling with a crumbing road network...
  18. Heavy User

    Nawezaje kuenable disabled network bands kwenye android Engineer Mode?

    Angalia picha, hiyo ni Band Mode option kwenye setting ya Engineer Mode ya simu za android , nataka kutick baadhi ya bands lakini siwezi kwakuwa zimelokiwa. Je, kuna namna ya kuzifungua ili niweze kuzitiki?
  19. Francesco lupenza

    Soko la Network Engineering Tanzania

    Wadau naomba ushauri juu ya soko (kwa upande wa ajira) mimi nasoma Bachelor of Computer Engineering, MUST, siko interested sana na coding. Nafkiria kuspecialize na Network & System Administration kwenye suala la ajira iko vp hii? Na ni sector zipi zina uhitaji wa ao watu wa network?
  20. Jamii Opportunities

    Private Sector Network Consultant at Resonance

    Vacancy Title: Private Sector Network Consultant (Generalist) Jobs at: Resonance Deadline of this Job: 31st July, 2020 Duty Station: Within Tanzania , Dar es Salaam , East Africa JOB DETAILS: Private Sector Network Consultant (Generalist) Tanzania Private Sector Landscape Assessment (PSLA)...
Back
Top Bottom