Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nimetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavyoonekana kwenye risiti. Nimekabidhi ofisi ya Mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehemu ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 Januari ufike...
Habari za jioni wakuu,
Nauza begi la laptop jipya halijatumika kabisa. Nipo DSM
Bei: 30,000
Value price estimated between 70,000 - 100,000
PM if you need. Photos below
Salute comrades!
Most people always tend to set their new year resolution ( s) at the beginning of every year.They always aim to achieve their new objectives with a success rate of 💯 percent.
Bt unfortunately, most of them let's say 70% of them fail to realize their resolutions even at the...
Mimi ni mkazi wa DSM eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.
Hivi karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikuwa ina leakage na nozzle zilikuwa hazi spray mafuta vizuri kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.
Nimepeleka gari kwa fundi hivi...
This picture speaks thousands words!.
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
Wenyeviti...
Wakuu poleni na hongereni kwa heka heka za xmass. Pia heri ya mwaka mpya 2023.
Niko njiani naelekea mwanza kwa mapumziko ya week moja then ntarudi dar es salaam kupambana na maisha.
Kwakweli Mwanza imekuwa nyumba yangu ya pili....mwanza is my bae ♥.
This time around nitatamani kuona vivutio...
Wadau wote wa jukwaa la uchumi, wapambanaji wote, waumini wote wa kesho bora, wafuasi wa mawazo chanya, timu ya JF na wadau wengine , kwa niamba ya film Evigt_water tunawatakia christmas njema na mwaka mpya wenye furaha.
Bila kuwasahau wateja waliotusupport kufika tulipo,ASANTENI SANA.
Klaus schwab wef 1024x538 1
There are two ways to build communism.
And don’t take the “it can never be done, Nobody has ever succeeded’ road. History doesn’t matter to the people who are building it, and if they get to the point where someone will discuss this plan as another failure, your and...
Nimetengeneza hii leo kama unahitaji logo kali ni cheki tuongee
MIMI GHARAMA ZANGU ZA LOGO DESIGNING NI NAFUU SANA NA LOGO NI NZULI
WATAALAMU !
nahitaji msaada wa mawazo pamoja na mwongozo wa hili nina Tsh 300k (laki tatu) je naweza kupata laptop nzuli yenye uwezo wa kunisaidia Graphic...
New WHO pandemic treaty which is in final stages, would overrule Constitutions of World Governments and unleash medical dictatorship around the World, warns Dr. Francis Boyle
Tuesday, November 22, 2022
Natural News
Today we bring you a truly bombshell interview and critical story about the...
Habari ya usiku wakuu.
Nimekuja tena kijana wenu kwani naamini JF ni uwanja wa suluhisho.
🔥Ninahitaji TOYOTA RAUM NEW MODEL iwe na engine ya 1490cc.
🔥Gari iwe na namba kuanzia DW, DX, DY, na kuendelea.
🔥 Iwe katika hali safi kabisa isiyo na tatizo lolote
🔥ISIWE rangi nyeupe.
🔥Iwe na nyaraka...
NYUMBA ALIYOJENGA NA ALIYOISHI MWALIMU MTAA WA IFUNDA MAGOMENI 1958
Tulipomaliza mahojinao yetu nje ya nyumba ya Bi. Mwamtoro bint Chuma nyumba ambayo iko nyuma ya Ofisi Ndogo ya CCM tukaelekea Magomeni Mtaa wa Ifunda kwenye nyumba aliyojenga Mwalimu mwaka wa 1958 na akaishi pale kwa kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.