Incase kuna ambaye amesalia kuwatakia mwaka mpya basi naomba niwe mimi,.
Happy new year Founder Maxence Melo na Uongozi wako mzima wa JamiiForums
Active Wand Moderator Payge Paw Mhariri Na Mods wengine niliowasahau
Nawasilisha✍✍
Happy new year 2025 wadau wote wa JF.
Kama mlivyosikia, sherehe za kupokea mwaka mpya kitaifa zimefanyika Arusha.
Wakati dar Mwamposa akivukisha watu na chao, na kule Mwanza wakiomba kutoka viwanja vya Nyamagana.
Arusha imekuwa ni habar nyingine kabisa. Vibe la kufa mtu. Mitaa inayoingia...
Jobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital.
Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi.
Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu...
Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model
Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara...
Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.
1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.
2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika...
Company Summary:
Simera Transport Ltd is a Tanzanian company under private ownership, was founded in 2012 and has since evolved into the preferred choice for road freight transport and logistics. Operating in Tanzania and Rwanda and also has a sister company in Zambia called Motion Logistics...
Shirika la ndege Tanzania- ATC Anzisheni haraka safari za kutoka Dar/Kilimanjaro kwenda JFk New York USA, sababu Kuna abiria wengi sana Toka USA kuja Tanzania. Changamkeni
Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia inakuwa kama inamiss hivi sasa sijajua kama ni ishu ya Fuel Pump au maana hata nikijaribu piga ress...
Zile taa mnaita beam kwangu usiku hazina mwanga kabisa. Yaani siwezi endesha gari usiku kwa sasa. Maana hazina Mwanga kabisa. Sielewi huyu mdogo wangu yeye alikuwa anatumiaje.
Amesafiri nami nimefika kwake nitakuwa hapa kwa 3 weeks so ni gari ambayo nitaitumia sana kabla sijarudi nchi za watu...
Ni kutoka China tena.
Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji.
Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na...
Je una swali?
Je una changamoto yoyote?
Je kuna ufafanuzi unahitaji?
Karibu hapa wakongwe wakuhudumie.. Si kila kitu tuwasumbue moderators mengine tunaweza kusaidiana hapa hapa
• Direction: Basihaya, the road to Ununio, 600 meters off Bagamoyo Road
• Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms, 1 car garage
• Plot Area: 1,122 sqm
• Document: Title deed
• Forced Value: TSH 125 million
.
✓ inauzwa na benki kwa mnada
✓ vyumba master 2 na kawaida 2; sebule; dining; jiko na public...
Mzukaa wana jamvi ? Yerereeee!!!
Naombeni wana Jf mnipokee leo nimetimiza ndoto yangu ya kujiunga Jf kutokea Umongolian .
Wanawake ninaowakubali humu ni pisi Kali BICHWA KOMWE - ,Kwa Wanamume najikubali mwenyewe .
Sishabikii timu yeyote ila napenda timu ya Yanga jinsi inavyocheza na...
This comes when God said whoever blesses Islael he will be blessed. Impliedly, whoever blesses the new 14 saints he will be blessed. Amen
Rome was filled with joy this Sunday as Pope Francis declared 14 men and women saints of the Catholic Church at the Canonization Mass in St. Peter's Square...
• Direction: Ungoni Street
• Price: USD 120,000
• Terms: 50% Upfront; the rest within 3 years
• VAT & Transfer not inclusive in price
• Monthly Service charge: TZS 180,000
.
✓ new built (not used before)
✓ lift & power backup generator
✓ unfurnished
✓ 200+ sqm
✓ 1 master & 2 common bedrooms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.