new

  1. Leejay49

    Happy New Year Max

    Incase kuna ambaye amesalia kuwatakia mwaka mpya basi naomba niwe mimi,. Happy new year Founder Maxence Melo na Uongozi wako mzima wa JamiiForums Active Wand Moderator Payge Paw Mhariri Na Mods wengine niliowasahau Nawasilisha✍✍
  2. M

    RC makonda akinukisha Arusha, shamrashamra za new year 2025 za fana.

    Happy new year 2025 wadau wote wa JF. Kama mlivyosikia, sherehe za kupokea mwaka mpya kitaifa zimefanyika Arusha. Wakati dar Mwamposa akivukisha watu na chao, na kule Mwanza wakiomba kutoka viwanja vya Nyamagana. Arusha imekuwa ni habar nyingine kabisa. Vibe la kufa mtu. Mitaa inayoingia...
  3. kante mp2025

    Happy New Year Mzena Hospital

    Jobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital. Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi. Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu...
  4. Pdidy

    Heri ya Mwaka Mpya kwa Wana CCM wote, kazi iendelee

    Kidumu chama cha mapinduzI Nawatakia hapoye new year Wana CCM wote katika Bwana Mkawe na MWAKA WA furaha na baraka
  5. NyegereBOY

    Hivi kwanini Subaru Impreza new model kuanzia 2012 huuzwa mapema baada ya kununuliwa ! Zinachangamoto Gani ? Mwenye ujuzi atujuze tafadhali

    Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara...
  6. Rozela

    Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

    Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA. 1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100. 2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika...
  7. Jamii Opportunities

    4 exciting new vacancies at Simera Transport Limited including Tire Inspector, Welding Mechanic and more - December, 2024

    Company Summary: Simera Transport Ltd is a Tanzanian company under private ownership, was founded in 2012 and has since evolved into the preferred choice for road freight transport and logistics. Operating in Tanzania and Rwanda and also has a sister company in Zambia called Motion Logistics...
  8. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Shirika la ndege Tanzania- ATC Anzisheni haraka safari za kutoka Dar/Kilimanjaro kwenda JFk New York USA, sababu Kuna abiria wengi sana Toka USA kuja Tanzania. Changamkeni
  9. tajiri wa fikra

    Computer4Sale Laptop brand new

    chuma hiki hapa,mpya📌 DELL LATITUDE 3380 14inch Display, 7th Generation Intel Core i5, 2.7GHz RAM 8Gb DDR4 Storage 500Gb HDD Battery Health: 100% 6 Month Warranty *Price 520,000/- Phone:0712793505
  10. M

    Ushauri: Gari Toyota Spacio New Model kukosa nguvu pindi ninapokutana na mlima

    Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia inakuwa kama inamiss hivi sasa sijajua kama ni ishu ya Fuel Pump au maana hata nikijaribu piga ress...
  11. T

    Msaada: Taa za Toyota Wish New Model hazina mwanga

    Zile taa mnaita beam kwangu usiku hazina mwanga kabisa. Yaani siwezi endesha gari usiku kwa sasa. Maana hazina Mwanga kabisa. Sielewi huyu mdogo wangu yeye alikuwa anatumiaje. Amesafiri nami nimefika kwake nitakuwa hapa kwa 3 weeks so ni gari ambayo nitaitumia sana kabla sijarudi nchi za watu...
  12. Mad Max

    New Guinness World Record: Hybrid kutoka China imetembea Kilometa 2,200 bila kuongezwa mafuta!

    Ni kutoka China tena. Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji. Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na...
  13. Mshana Jr

    JF new members only

    Je una swali? Je una changamoto yoyote? Je kuna ufafanuzi unahitaji? Karibu hapa wakongwe wakuhudumie.. Si kila kitu tuwasumbue moderators mengine tunaweza kusaidiana hapa hapa
  14. Kasri Homes Tz

    House4Sale Boko: New 4 Bedrooms House For Auction Sale - Dar

    • Direction: Basihaya, the road to Ununio, 600 meters off Bagamoyo Road • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms, 1 car garage • Plot Area: 1,122 sqm • Document: Title deed • Forced Value: TSH 125 million . ✓ inauzwa na benki kwa mnada ✓ vyumba master 2 na kawaida 2; sebule; dining; jiko na public...
  15. Ghayo TheMongo Barbarian

    New Member From Mongolian Family

    Mzukaa wana jamvi ? Yerereeee!!! Naombeni wana Jf mnipokee leo nimetimiza ndoto yangu ya kujiunga Jf kutokea Umongolian . Wanawake ninaowakubali humu ni pisi Kali BICHWA KOMWE - ,Kwa Wanamume najikubali mwenyewe . Sishabikii timu yeyote ila napenda timu ya Yanga jinsi inavyocheza na...
  16. D

    Today the new 14 saints are being canonized in vatican. Let's pray in their names and we will be blessed

    This comes when God said whoever blesses Islael he will be blessed. Impliedly, whoever blesses the new 14 saints he will be blessed. Amen Rome was filled with joy this Sunday as Pope Francis declared 14 men and women saints of the Catholic Church at the Canonization Mass in St. Peter's Square...
  17. Wauzaji wa containers

    INAUZWA Kuna Heavy duty balance scale tonnes 80 used na tonnes 60 new karibu sana

    Heavy Duty Scale Balance 1. 80 Tonnes (Used) - Tsh 76.3M 2. 60 Tonnes (New) - Tsh 81.75M Karibu
  18. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kariakoo: 200+ Sqm New 3 Bdrm Apartments For Sale - Dar

    • Direction: Ungoni Street • Price: USD 120,000 • Terms: 50% Upfront; the rest within 3 years • VAT & Transfer not inclusive in price • Monthly Service charge: TZS 180,000 . ✓ new built (not used before) ✓ lift & power backup generator ✓ unfurnished ✓ 200+ sqm ✓ 1 master & 2 common bedrooms...
  19. Kasri Homes Tz

    House4Sale Tegeta: New 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Wazo Hill, 1 km off Madale Road • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms • Plot Area: 1069 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 180 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 2 na kawaida 2; sebule kubwa; dining kubwa; jiko; stoo na public washroom ✓ ina malumalu, gypsum...
  20. Faana

    A City in Africa that is cleaner than New York

    https://www.facebook.com/reel/1609621916563225
Back
Top Bottom