ngo

Organizations which are independent of government involvement are known as non-governmental organizations or non-government organizations, with NGO as an acronym. NGOs are a subgroup of organizations founded by citizens, which include clubs and associations that provide services to their members and others. NGOs are usually nonprofit organizations, and many of them are active in humanitarianism or the social sciences. Surveys indicate that NGOs have a high degree of public trust, which can make them a useful proxy for the concerns of society and stakeholders. However, NGOs can also be lobby groups for corporations, such as the World Economic Forum. According to NG😵rg (the non-governmental organizations associated with the United Nations), "[an NGO is] any non-profit, voluntary citizens' group which is organized on a local, national or international level ... Task-oriented and driven by people with a common interest, NGOs perform a variety of service and humanitarian functions, bring citizen concerns to Governments, advocate and monitor policies and encourage political participation through provision of information."Russia had about 277,000 NGOs in 2008. India is estimated to have had about two million NGOs in 2009 (approximately one per 600 Indians), many more than the number of the country's primary schools and health centers. The term "NGO" is used inconsistently; it is sometimes a synonym for a civil society organization, any association founded by citizens. NGOs are known in some countries as nonprofit organizations, and political parties and trade unions are sometimes considered NGOs. NGOs are classified by orientation and level of operation; orientation refers to the type of activities an NGO undertakes. Activities may include human rights, consumer protection, environmentalism, health, or development. An NGO's level of operation indicates the scale at which an organization works: local, regional, national, or international.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE?

    Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE? Naam naombeni jibu hapo
  2. Replica

    Marekani: Rais Samia akutana na CEO wa NGO ya Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na HIV hasa kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ya Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation, Charles Lyons. EGPAF iliasisiwa mwaka 1988 na taarifa za...
  3. BigTall

    Serikali yatangaza kufuta NGO 29 baada ya kuomba kwa hiari

    Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kwa mujibu wa kifungu cha 7 (1) (e) cha Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Sura ya 56 ya mwaka 2002 inaujulisha umma kuwa imefuta NGOs 29 kuanzia Aprili 22, 2022 kama ifuatavyo; Source: Malunde
  4. M

    Nahitaji NGO ya kushirikiana nayo miradi ya maswala ya afya

    Habari JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii. Hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza...
  5. Suley2019

    Rais Samia awa mgeni rasmi katika Mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO) Dodoma

    Rais Samia: Nakushukuru Waziri wa Maendeleo ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Uongozi wa baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kunialika kwenye mkutano huu wa mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali nataka nikiri kuwa nimefurahi sana kushiriki katika mkutano huu. Rais Samia...
  6. Mr Excel

    Nawezaje kupata TIN Certificate ya taasisi (Registered NGO)?

    Habari za Asubuhi Naomba mnisaidie utaratibu ili niweze kupata TIN certificate. Kwa ajili ya Organization imesajiliwa kisheria ngazi ya Kitaifa. Ahsante.
  7. Mboka man

    Nahitaji walimu wa kujitolea: Nataka kufungua NGO inayohusika na maswala ya elimu tufanye kazi

    Kama kichwa cha habari kinavyojielezea nipo njiani kufungua NGO yangu ambayo itakuwa ina deal na maswala ya ELIMU YA TANZANIA Kazi tutakazokuwa tunafanya ni kama ifuatavyo: 1. Kufundisha mashuleni kwa mfumo wa club 2. Kuandaa matamasha mbali mbali ya kielimu mashuleni 3. Kutoa mafunzo kwa...
  8. M

    Habari! Kwanamna gani unaweza kuomba ufadhili wa kusomeshwa au kufadhiliwa masomo kwenye NGO Kama help to help

    Unawezaje kuomba ufadhili wa masomo diploma kwa NGO help to help
  9. T

    Tender Advertisement

    Je, ungependa kufanya kazi na Shule ya St Jude? Kama una uzoefu wa kusambaza vitu mbalimbali katika mashirika yasio ya kiserikali au umeshawahi kufanya kazi katika mazingira ya shule, bofya hapa chini kwa ajili ya kujua vigezo vinavyohitajika kwa ajili ya tender hii.
Back
Top Bottom