Wamefaulu kufyatua ngome zilizokuwepo na sasa wanapambana kubomoa ya mwisho ambayo Warusi walikua wamejichimbia.
Ukrainian armoured vehicles are already operating beyond the last line of Russian defensive fortifications, which Ukrainian forces are currently breaking through in the west of...
𝙏𝙊𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝘼𝙉𝙄 𝙈𝘼𝙆𝙊𝙇𝙊
Neno samahani ni dogo sana haswa kwa yule alieyefanya makosa,,Makolo msione aibu tokeni hadharani waombeni msahama tu Ngome kwasababu kudarisha logo haitoi uhalisia Kama mmekosea kutoa taarifa yenu kwa madunduka wenu.
Ombeni msamaha [emoji1666].
Cc: castor Yanga
NB: how...
Mwendo wa mpwito mpwito...
Ukrainian troops continued their offensive actions near the city of Bakhmut and in the western part of Zaporizhzhia Oblast on 7 September and they had gains on both frontlines.
Source: Institute for the Study of War (ISW)
Details: Geolocation footage published on 7...
Warusi wanaendelea kufukuziwa licha ya kujichimbia na kuwekeza nguvu kubwa kwenye kufukia mabomu kote kote, Ukraine hawachoki, wanapiga kwa matumizi ya HIMARS, storm shadows na madubwana mengine yote....
As observed by ISW’s military analysts, Ukrainian forces have made additional and...
Kwa ngome ya supapawa kupasuliwa licha ya miezi yote waliyotumia kujichimbia na kujihami sio kitu cha mchezo, wazalendo wa Ukraine wanasonga mbele kwa mbele.....
===========================
Hanna Maliar, Deputy Defence Minister, has reported that Ukrainian defenders had broken through the...
Ifahamike Urusi walikua wamejichimbia kwa kila namna ikiwemo kutegeshea mabomu mengi sana ardhini, hivyo kupasua ngome mpaka kuwafukuzia na kukomboa maeneo kwa kweli ni shughuli, ila uzuri Ukraine wanapigania ardhi yao, hivyo wana kila sababu za kuendelea kushambulia, je Warusi wanafia nini...
Hayawi hayawi huwa, wazalendo wapasua ngome ya kwanza, Warusi washindwa kuhimili mapigo....twende kazi
=========
Ukraine has broken through Russia’s first line of defence in several places, 48 hours after launching its long-awaited counter-offensive, the Ministry of Defence has said...
Wadau nipo hapa nimetulia nikasema niwachokoze kidogo
Dar sasa hivi ipo chini ya himaya ya wahehe baada ya chalamila kuwa mkuuu wa mkoa wahehe wanajidai sana nimeona kwenye magroup yao WhatsApp.
Kwa sasa kwenye ulingo wa siasa kutoka iringa anawika sana ni chalamila hivyo ngome...
Kwenye maisha kumbuka jambo moja, wenzako wanapoleta mezani chakula halafu wewe huleti, inawezekana wewe ukawa ndiyo chakula chenyewe. Unaelewa hilo? Duniani hakuna kitu cha bure zaidi ya salamu, ukiona unatumia kitu cha bure, inawezekana wewe ndiyo ukawa bidhaa yenyewe.
Ndugu zangu hakuna kitu...
Hapa nchini kumekuwa na fikra kwamba kaskazini kote ni ngome imara ya upinzani kwa majimbo karibu yote ila kwa tunaofahamu vizuri hiyo kanda tuko tofauti kidogo. Ni kweli wapinzani wamesimika mizizi kwenye baadhi ya majimbo ila mengi hayako imara kusimama na upinzani kwenye chaguzi zote.
Kwa...
JENGO JIPYA MAKAO MAKUU YA ACT WAZALENDO NGOME YA MAENDELEO NA AMANI
Naangalia picha ya jengo la Makao Makuu ya ACT Wazalendo lililoko Magomeni Mikumi.
Jengo hili limepewa jina la Maalim Seif Sharif Hamad.
Hakika ni jengo la kisasa linalovutia sana.
Nina kawaida kila nionapo jambo basi mimi...
Hakuna kuachia, moto ni ule ule....
Ukrainian troops have broken through Russian positions on the Dnieper river north-east of Kherson, a strategic Russian-held city in southern Ukraine.
The advance was reported by the Russian military and Russian-installed officials in the region. There is...
Hivi vita kuna wakati vinakua kama kioja, kuna maeneo Ukraine wanaingia fulu combat wakiwa tayari kupambana na kukuta yamekimbiwa na kubaki kama ghost town.
IZIUM, Ukraine (Reuters) -Ukraine said its troops have marched farther east into territory recently abandoned by Russia, paving the way...
Wazalendo wa Ukraine waendelea na mashambulizi makali, wamelipua ngome ya Urusi iliyokua na ghala kadhaa za silaha, na wanajeshi na ndege na zana zingine nyingi, Warusi walikua wamejichimbia kwamba hapo ndio mwisho wa Ukraine, ila kilichowakuta ni balaa....
The General Staff of the Armed...
Warusi waliokimbia mapambano waliungana na wenzao na kujichimbia upande wa pili wa mto Oskil na kusuburi, ghafla wazalendo wa Ukraine wakawasili kama kawaida kishujaa na kufyatua kila kitu hadi wakavuka mto na kuendelea kupokeza kichapo.....vilianzia Crimea vitaishia Crimea....vijana wanajitoa...
Hali imekua sio, hawaoni umuhimu wa kufia kwenye nchi ya watu.....
Russian troops are reportedly abandoning their positions in Kharkiv amid reports of a Ukrainian counteroffensive in the currently occupied region.
Military analyst Rob Lee shared what he called a "pessimistic" account from a...
Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,
Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,
Habari wakuu, kaa kichwa kinavyosema, swali langu ni hii, je ni mikoa gani ambayo unaweza pata mbuzi wengi zaidi, na ngombe wa kununua, yaani kwa ufupi ni mikoa a wilaga gani zina mbuzi na ngombe wengi zaidi?
Natanguliza shukrani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.