ngome

Ngome Forest is situated to the east of Vryheid, KwaZulu-Natal, South Africa.
This is a unique forest, being transitional between Mistbelt Forest and Coastal Scarp Forest. The area has been protected since 1905, and forms part of the Ntendeka Wilderness Area.
Trees here grow up to 30m tall and include yellowwoods (Afrocarpus falcatus and Podocarpus latifolius), Natal hard pear (Olinia radiata), forest waterberry (Syzygium gerrardii), bastard stinkwood (Ocotea kenyensis), Terblanz beech (Faurea macnaughtonii) and green hazel (Trichocladus grandiflorus).
A species of dwarf chameleon (Bradypodion sp.) lives here known as the Ngome dwarf chameleon.
A survey of ground‐living spiders was conducted over a one‐year period at Ngome State Forest. Five different habitat types, namely grass, open forest, dense forest, ecotone and pine, were sampled with 180 pitfall traps. The grass, open forest and dense forest represented indigenous vegetation while the pine represented exotic vegetation. The ecotone consisted of a mixture of indigenous forest plants and pine trees. Pine had the lowest spider diversity while grass had the highest spider diversity. However, variation in spider diversity within habitat types was considerable and an analysis of variance found no significant difference in mean values of spider diversity between habitat types. Consequently, the results do not unambiguously support the hypothesis that exotic vegetation has lower ground‐living spider diversity than indigenous vegetation.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Ukraine waelekea kubomoa ngome ya mwisho ya Warusi, tayari wameingia

    Wamefaulu kufyatua ngome zilizokuwepo na sasa wanapambana kubomoa ya mwisho ambayo Warusi walikua wamejichimbia. Ukrainian armoured vehicles are already operating beyond the last line of Russian defensive fortifications, which Ukrainian forces are currently breaking through in the west of...
  2. Labani og

    Simba iombeni radhi Ngome FC

    𝙏𝙊𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝘼𝙉𝙄 𝙈𝘼𝙆𝙊𝙇𝙊 Neno samahani ni dogo sana haswa kwa yule alieyefanya makosa,,Makolo msione aibu tokeni hadharani waombeni msahama tu Ngome kwasababu kudarisha logo haitoi uhalisia Kama mmekosea kutoa taarifa yenu kwa madunduka wenu. Ombeni msamaha [emoji1666]. Cc: castor Yanga NB: how...
  3. Greatest Of All Time

    Ngome Fc yakanusha kufungwa 6-0 na Simba

    Hii ndio taarifa ya Ngome Fc. Klabu hiyo imekanusha kufungwa goli 6 na wameiomba Simba Sc kuwaomba radhi.
  4. MK254

    Ukraine wazidi kupasua ngome za Warusi kwenye counteroffensive

    Mwendo wa mpwito mpwito... Ukrainian troops continued their offensive actions near the city of Bakhmut and in the western part of Zaporizhzhia Oblast on 7 September and they had gains on both frontlines. Source: Institute for the Study of War (ISW) Details: Geolocation footage published on 7...
  5. MK254

    Ukraine wajongea kwenye ngome ya pili ya Warusi baada ya ushindi kwenye ngome ya kwanza

    Warusi wanaendelea kufukuziwa licha ya kujichimbia na kuwekeza nguvu kubwa kwenye kufukia mabomu kote kote, Ukraine hawachoki, wanapiga kwa matumizi ya HIMARS, storm shadows na madubwana mengine yote.... As observed by ISW’s military analysts, Ukrainian forces have made additional and...
  6. MK254

    Ukraine wapasua ngome ambayo Warusi walikua wamejichimbia na kujihami balaa

    Kwa ngome ya supapawa kupasuliwa licha ya miezi yote waliyotumia kujichimbia na kujihami sio kitu cha mchezo, wazalendo wa Ukraine wanasonga mbele kwa mbele..... =========================== Hanna Maliar, Deputy Defence Minister, has reported that Ukrainian defenders had broken through the...
  7. MK254

    Ukraine wafaulu kupasua ngome ya Urusi na kukomboa maeneo

    Ifahamike Urusi walikua wamejichimbia kwa kila namna ikiwemo kutegeshea mabomu mengi sana ardhini, hivyo kupasua ngome mpaka kuwafukuzia na kukomboa maeneo kwa kweli ni shughuli, ila uzuri Ukraine wanapigania ardhi yao, hivyo wana kila sababu za kuendelea kushambulia, je Warusi wanafia nini...
  8. MK254

    Ukraine wafaulu kupasua na kufumua ngome ya kwanza ya Urusi

    Hayawi hayawi huwa, wazalendo wapasua ngome ya kwanza, Warusi washindwa kuhimili mapigo....twende kazi ========= Ukraine has broken through Russia’s first line of defence in several places, 48 hours after launching its long-awaited counter-offensive, the Ministry of Defence has said...
  9. Ashampoo burning

    Dar iko chini ya amri kutoka ngome ya Wahehe Iringa

    Wadau nipo hapa nimetulia nikasema niwachokoze kidogo Dar sasa hivi ipo chini ya himaya ya wahehe baada ya chalamila kuwa mkuuu wa mkoa wahehe wanajidai sana nimeona kwenye magroup yao WhatsApp. Kwa sasa kwenye ulingo wa siasa kutoka iringa anawika sana ni chalamila hivyo ngome...
  10. Intelligent businessman

    Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

    Kwenye maisha kumbuka jambo moja, wenzako wanapoleta mezani chakula halafu wewe huleti, inawezekana wewe ukawa ndiyo chakula chenyewe. Unaelewa hilo? Duniani hakuna kitu cha bure zaidi ya salamu, ukiona unatumia kitu cha bure, inawezekana wewe ndiyo ukawa bidhaa yenyewe. Ndugu zangu hakuna kitu...
  11. MamaSamia2025

    Karatu: Ngome imara ya upinzani (CHADEMA) kwa upande wa bara

    Hapa nchini kumekuwa na fikra kwamba kaskazini kote ni ngome imara ya upinzani kwa majimbo karibu yote ila kwa tunaofahamu vizuri hiyo kanda tuko tofauti kidogo. Ni kweli wapinzani wamesimika mizizi kwenye baadhi ya majimbo ila mengi hayako imara kusimama na upinzani kwenye chaguzi zote. Kwa...
  12. matunduizi

    Hii ni ngome ya underground Yenye uwanja wa ndege chini ya Ardhi ya Jeshi la iran.

    Iran imeonyesha pic picha za Uwanja wa ndege wa chini ya ardhi .
  13. Mohamed Said

    Jengo Jipya la Makao Makuu ya ACT Wazalendo Ngome ya Maendeleo na Amani

    JENGO JIPYA MAKAO MAKUU YA ACT WAZALENDO NGOME YA MAENDELEO NA AMANI Naangalia picha ya jengo la Makao Makuu ya ACT Wazalendo lililoko Magomeni Mikumi. Jengo hili limepewa jina la Maalim Seif Sharif Hamad. Hakika ni jengo la kisasa linalovutia sana. Nina kawaida kila nionapo jambo basi mimi...
  14. MK254

    Warusi waikimbia ngome nyingine kaskazini kwa Kherson, kama kawa Ukraine waendeleza kipigo

    Hakuna kuachia, moto ni ule ule.... Ukrainian troops have broken through Russian positions on the Dnieper river north-east of Kherson, a strategic Russian-held city in southern Ukraine. The advance was reported by the Russian military and Russian-installed officials in the region. There is...
  15. MK254

    Wazalendo wa Ukraine wakuta ngome zimekimbiwa, waliingia huku wamejiandaa kwa mapambano

    Hivi vita kuna wakati vinakua kama kioja, kuna maeneo Ukraine wanaingia fulu combat wakiwa tayari kupambana na kukuta yamekimbiwa na kubaki kama ghost town. IZIUM, Ukraine (Reuters) -Ukraine said its troops have marched farther east into territory recently abandoned by Russia, paving the way...
  16. MK254

    Ukraine walipua ngome tano za Urusi na kusababisha hasara kubwa

    Wazalendo wa Ukraine waendelea na mashambulizi makali, wamelipua ngome ya Urusi iliyokua na ghala kadhaa za silaha, na wanajeshi na ndege na zana zingine nyingi, Warusi walikua wamejichimbia kwamba hapo ndio mwisho wa Ukraine, ila kilichowakuta ni balaa.... The General Staff of the Armed...
  17. MK254

    Ukraine wafaulu kupasua ngome mpya ambayo Warusi wanaokimbia mapambano walikua wamejichimbia

    Warusi waliokimbia mapambano waliungana na wenzao na kujichimbia upande wa pili wa mto Oskil na kusuburi, ghafla wazalendo wa Ukraine wakawasili kama kawaida kishujaa na kufyatua kila kitu hadi wakavuka mto na kuendelea kupokeza kichapo.....vilianzia Crimea vitaishia Crimea....vijana wanajitoa...
  18. MK254

    Wanajeshi wa Urusi waanza kutelekeza ngome zao Kharkiv, huku Ukraine wakiingia ndani

    Hali imekua sio, hawaoni umuhimu wa kufia kwenye nchi ya watu..... Russian troops are reportedly abandoning their positions in Kharkiv amid reports of a Ukrainian counteroffensive in the currently occupied region. Military analyst Rob Lee shared what he called a "pessimistic" account from a...
  19. J

    Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

    Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu, Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,
  20. T

    Ni mikoa gani ambayo ina mbuzi wengi na ng'ombe wengi zaidi?

    Habari wakuu, kaa kichwa kinavyosema, swali langu ni hii, je ni mikoa gani ambayo unaweza pata mbuzi wengi zaidi, na ngombe wa kununua, yaani kwa ufupi ni mikoa a wilaga gani zina mbuzi na ngombe wengi zaidi? Natanguliza shukrani?
Back
Top Bottom