Nimeshindwa kuvumilia hili ni janga la taifa wanawake wanaomba hela mnooooo mpaka inatia kinyaa kiukweli naanza kuwachukia mno wanawake hususan mabinti ambao Yani unamtongoza saa 12:00pm ukiambiwa ni saa 12:07 anakuwa hajala 12:15 anatakiwa asuke nywele saa 12:20 mtoto anatakiwa dawa nk .
Hii...
Kipindi hiki chadema inadeal na Nguli aliyepitia mashirika yasio ya kiserikali yaa NGOs ambazo hunena lugha inayoeleweka kimataifa hivyo ule mtindo wa kutengeneza matukio na kwenda kuomba huruma ya vyombo vya habari utashtukiwa mapema sana.
#CNNachauongo
NGO's zaomba kukutana na Rais Samia
Mashirikaka yasiyo ya kiserikali Kanda ya ziwa yameomba kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MH. Samia Suluhu Hassan ili kueleza kero na changamoto zinazowakabili.
Miongoni mwa changamoto ambazo masharika hayo yameeleza ni zile zinazochangia...
Habari za leo ndugu zangu,
Kabla ya yote naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu nyote ndugu zangu wana JamiiForums.
Nimeandika huu uzi kwenu kuomba mnijuze orodha ya NGOs za Social work (kazi za Jamii) zilizopo Dar es Salaam.
Naheshimu mchango wenu
The East African Crude Oil Pipeline (Eacop) project took a new twist on Monday when 263 non-governmental organisations sought to persuade at least 25 banks listed as potential financiers of the $3.5 billion development not to participate, citing environmental and social risks.
The NGOs in their...
As a Founder and Principal Consultant of Furia Consulting Ltd, I cordially introduce you to Furia Consulting Ltd. We offer project management and consulting services in Tanzania and internationally. We categorize our services into Consulting and Training services.
Following the Project...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.