ngos

  1. Superbug

    Naiomba serikali na ngos zianzishe program kwenye media zote kuwatia aibu wanawake wote waomba hela kwa wanaume hususani mizinga ya kutongozwa.

    Nimeshindwa kuvumilia hili ni janga la taifa wanawake wanaomba hela mnooooo mpaka inatia kinyaa kiukweli naanza kuwachukia mno wanawake hususan mabinti ambao Yani unamtongoza saa 12:00pm ukiambiwa ni saa 12:07 anakuwa hajala 12:15 anatakiwa asuke nywele saa 12:20 mtoto anatakiwa dawa nk . Hii...
  2. jingalao

    Rais Samia anajua mbinu za NGOs itakuwa ngumu kumchafua kimataifa

    Kipindi hiki chadema inadeal na Nguli aliyepitia mashirika yasio ya kiserikali yaa NGOs ambazo hunena lugha inayoeleweka kimataifa hivyo ule mtindo wa kutengeneza matukio na kwenda kuomba huruma ya vyombo vya habari utashtukiwa mapema sana. #CNNachauongo
  3. Nyanswe Nsame

    NGO's zaomba kukutana na Rais Samia

    NGO's zaomba kukutana na Rais Samia Mashirikaka yasiyo ya kiserikali Kanda ya ziwa yameomba kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MH. Samia Suluhu Hassan ili kueleza kero na changamoto zinazowakabili. Miongoni mwa changamoto ambazo masharika hayo yameeleza ni zile zinazochangia...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Naomba kujuzwa orodha ya NGO's za Social Work zilizopo Dar es Salaam

    Habari za leo ndugu zangu, Kabla ya yote naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu nyote ndugu zangu wana JamiiForums. Nimeandika huu uzi kwenu kuomba mnijuze orodha ya NGOs za Social work (kazi za Jamii) zilizopo Dar es Salaam. Naheshimu mchango wenu
  5. MK254

    263 NGOs up against Eacop, and six major banks have already opted out

    The East African Crude Oil Pipeline (Eacop) project took a new twist on Monday when 263 non-governmental organisations sought to persuade at least 25 banks listed as potential financiers of the $3.5 billion development not to participate, citing environmental and social risks. The NGOs in their...
  6. Furia Consulting Ltd

    PMP Exam Prep- Weekdays- After Office Hours Monday to Friday 5PM to 8PM Dar Es Salaam

    As a Founder and Principal Consultant of Furia Consulting Ltd, I cordially introduce you to Furia Consulting Ltd. We offer project management and consulting services in Tanzania and internationally. We categorize our services into Consulting and Training services. Following the Project...
Back
Top Bottom