Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂
Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂
Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita...