niger

Niger or the Niger ( or ; French: [niʒɛʁ]), officially the Republic of the Niger, is a landlocked country in West Africa named after the Niger River. Niger is bordered by Libya to the northeast, Chad to the east, Nigeria to the south, Benin to the southwest, Mali to the northwest, Burkina Faso to the southwest, and Algeria to the northwest. Niger covers a land area of almost 1,270,000 km2 (490,000 sq mi), making it the largest country in West Africa. Over 80% of its land area lies in the Sahara Desert. The country's predominantly Muslim population of about 22 million live mostly in clusters in the far south and west of the country. The capital and largest city is Niamey, located in Niger's southwest corner.
Niger is a developing country, which consistently ranks near the bottom in the United Nations' Human Development Index (HDI); it was ranked 187th of 188 countries for 2015 and 189th out of 189 countries in the 2018 and 2019 reports. Many of the non-desert portions of the country are threatened by periodic drought and desertification. The economy is concentrated around subsistence, with some export agriculture in the more fertile south, and export of raw materials, especially uranium ore. Niger faces serious challenges to development due to its landlocked position, desert terrain, inefficient agriculture, high fertility rates without birth control and resulting overpopulation, the poor educational level and poverty of its people, lack of infrastructure, poor healthcare, and environmental degradation.
Nigerien society reflects a diversity drawn from the long independent histories of its several ethnic groups and regions and their relatively short period living in a single state. Historically, what is now Niger has been on the fringes of several large states. Since independence, Nigeriens have lived under five constitutions and three periods of military rule. After the military coup in 2010, Niger became a democratic, multi-party state. A majority of the population lives in rural areas and has little access to advanced education.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Shirika la Msalaba Mwekundu lapigwa marufuku nchini Niger

    Mamlaka nchini Niger zimeliamuru shirika la msalaba mwekundu kusimamisha shughuli zake nchini humo na kufunga ofisi zake mara moja .Vilevile, Niger imevunja mikataba iliyoruhusu shirika hilo kuendesha shughuli zake nchini Niger. Baada ya kupokea amri hiyo kutoka serikalini, ofisi zote za...
  2. S

    Ramani mpya ya ECOWAS baada ya Mali, Niger na Burkina faso kujitoa

    Sasa ni rasmi kuwa Mali, Niger na Burkina Faso si wanachama wa jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu nchi hizo zitoe taarifa rasmi ya kujitoa kwao. Kwa taratibu za ECOWAS, uanachama hukoma takribani mwaka mmoja baada ya nchi mwanachama...
  3. The Watchman

    Burkina Faso, Mali na Niger zajiondoa rasmi Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Nchi zinazoongozwa na utawala wa kijeshi, ikiwemo Burkina Faso, Mali na Niger, zimejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS). Taarifa iliyotolewa na ECOWAS leo Jumatano, Januari 29, 2025, imeeleza licha ya kujiondoa kwao, imetaka mshikamano wa kikanda na...
  4. S

    Akiri kuahidiwa kiasi cha euro 50000 ( zaidi ya milioni 124 za tz) na ufaransa ili kufanya vitendo vya ugaidi nchini Niger

    Katika hali iliyoshtua wengi, raia wa Algeria aitwaye Mohammed Amine Aissaoui mwenye umri wa miaka 35, amekiri kwamba aliahidiwa kiasi cha Euro 50000 sawa na zaidi ya Shilingi Milioni 124 za Tz ili akafanye vitendo vya ugaidi nchini Niger. Mohammed ambaye miongoni mwa raia wa Algeria...
  5. S

    Kampuni ya Ufaransa yapoteza udhibiti mwingine wa mgodi wa Uranium nchini Niger

    Kampuni ya Orano ya nchini Ufaransa imepoteza udhibiti wa mgodi wa Uranium wa Airlit wa nchini Niger uliokuwa ukiendeshwa na Kampuni tanzu ya Orano iitwayo Somair. Orano ambayo ni kampuni inayomilikiwa na serikali ya Ufaransa, ilikuwa inamiliki asilimia 63.4 ya hisa za Somair huku serikali ya...
  6. S

    Wakuu wa majeshi wa nchi zinazounda Umoja wa Sahel (AES) wakutana nchini Niger

    Wakuu wa Majeshi kutoka nchi za Niger, Mali na Burkina Faso zinazounda umoja wa nchi za Sahel ( AES ) wamekutana na kufanya kikao nchini Niger jana tarehe 3 Disemba 2024. Wakuu hao wa majeshi walifanya tathmini ya mwenendo wa mapamabano dhidi ya magaidi wanaozisumbua nchi zote tatú. Baada ya...
  7. S

    Mapinduzi ya Niger yaisababishia hasara kubwa kampuni ya uchimbaji URANIUM kutoka Ufaransa

    KAMPUNI ya Orano kutoka nchini Ufaransa imepata hasara kubwa kulingana na taarifa yake ya fedha ya nusu mwaka ( Januari hadi Juni 2024) iliyochapishwa na Yahoo Finance. Taarifa hiyo inaonesha kwamba kampuni hiyo ilipata faida ya Euro Milioni 12 pekee ikilinganishwa na faida ya Euro Milioni 260...
  8. A

    Jana: Nigeria 1-2 Rwanda, Ghana 1-2 Niger Kwanini mnakuwa wazito kuamini Tanzania anashinda leo

    Hivi wasiwasi unatoka wapi, Huyo Guinea Alikaa mchezo wa kwanza akiwa kwao.. Mpira ndugu zangu umebadirika pakubwa.. Mlitegemea Comoro angeweza kufuzu kwa kuongoza kundi mbele ya Giant Tunisia.. Mlitegemea jana Rwanda kuifunga Nigeria kwake na kufikisha alama 8 sawa na Benini. Naomba tuwe...
  9. Money Penny

    Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

    Majanga, na wao, wahala! Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria? Kwani wadada wa Tz wana shida gani? Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri Angalia current girl friend jamaan Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu...
  10. LINGWAMBA

    Wanajeshi wa Russia waingia kambi ya wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Wanajeshi wa Russia wameingia katika kambi ya Jeshi la Anga la Niger ambayo pia ina wanajeshi wa Marekani baada ya serikali ya Niger kuamuru vikosi vya jeshi la Marekani kuondoka nchini humo. Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin amethibitisha tukio hilo leo Ijumaa huku akisema kuwa hakuna...
  11. L

    Marekani yakubali kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger

    Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Marekani imekubali kuwaondoa wanajeshi wake zaidi ya elfu moja nchini Niger kufuatia agizo la serikali ya mpito ya nchi hiyo. Mjumbe maalum wa zamani wa Marekani katika eneo la Sahel J. Peter Pham alisema, "Marekani na washirika wake wamepoteza mali...
  12. Webabu

    Marekani yazidi kubembeleza ili ibaki Niger

    Watawala wapya wa Niger wamefuta mahusiano na taifa la Ufaransa ambalo ndilo lilikuwa mkoloni wao. Ufaransa baada ya kusita sita hatimae ilishindwa hoja na ikaamua kuongoka. Marekani nayo imetakiwa ifanye kama hivyo lakini imekuwa king'anng'anizi ikidai kuwa inalinda maeneo ya jangwa la Sahel...
  13. M

    Maandamano makubwa yafanyika Niger kuitaka Marekani na mataifa mengine kuondoka Niger

    Idadi kubwa ya watu walijitokeza katika mji wa Yamai, mji mkuu wa Jamhuri ya Niger, wakitaka wanajeshi wa Marekani na nchi nyingine kuondoka nchini humo. Niger tayari imefuta makubaliano ya kijeshi na Marekani mwezi uliopita, na hii inakuja miezi michache baada ya mamlaka ya kijeshi ya nchi...
  14. rr4

    Russia Officially in Niger

    DAKAR, Senegal — Russian soldiers arrived in Niger this week, according to Nigerien state television, less than one month after the military junta announced that it was ending military agreements with the United States. Russian soldiers in military fatigues said in the report that they would be...
  15. Kaka yake shetani

    African laguages and their families

    AFRICAN LANGUAGES AND THEIR FAMILIES What is Language? language is a system of conventional spoken, manual (signed), or written symbols by means of which human beings, as members of a social group and participants in its culture, express themselves. What is Language family? A language family is...
  16. BARD AI

    Burkina Faso, Mali na Niger zatangaza kujiondoa ndani ya Umoja wa ECOWAS

    UPDATE: Ecowas yawaondolea Vikwazo Guinea, Mali, Niger na Burkinafaso Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imeamua kuondoa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa kwa Niger, Mali, na Burkina Faso Hatua hii ni kufuatia majadiliano ya muda mrefu ya viongozi wa kikanda katika...
  17. OMOYOGWANE

    FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

    Mechi inapogwa muda huu, mpaka sasa ni kipindi cha mapumziko Niger 0 Tanzania 0 == Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeanza vizuri Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Niger goli 1-0, mfungaji akiwa ni Charles M’mombwa katika mchezo wa Kundi E. Mtanange huo umepigwa...
  18. D

    Kila la kheri Taifa Stars katika mchezo wa Niger vs Tanzania

    Sina shaka na mechi ya leo, kwani historia inatubeba! Tumekutana na Niger mara mbili na tumeshinda mechi moja na droo mechi moja! Kwa kikosi tulichonacho Stars leo lazima tuwatembezee kichapo hawa Niger. Tayari Sokabet Nao washafanya yao huko! Ushindwe wewe tu kupiga mkwanja! Wanacheza, Unashinda!
  19. BARD AI

    Marekani yatangaza kuzifuta Uganda, Afrika ya Kati, Gabon na Niger kwenye Mpango wa Biashara na Afrika (AGOA)

    Rais Joe Biden amesema Nchi hizo zitaondolewa katika Mpango wa Ukuaji na Fursa Afrika (AGOA) ulioanzishwa mwaka 2000 kutokana na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu pamoja na Kutopiga Hatua za kuelekea katika Utawala wa Kidemokrasia. Biden amesema "Licha ya majadiliano makubwa kati ya Marekani...
  20. Mhaya

    Wanajeshi wa ufaransa wameanza kuondoka rasmi Nchini Niger

    Wanajeshi kutoka nchi ya Ufaransa walioletwa Niger kulinda usalama dhidi ya vikundi vya kigaidi wanaonekana kwenye video hapo nchini wakifungasha virago maeneo ya Airport ambapo ndege yao ilitua hili kuanza mchakato wa kuondoka nchini humo baada ya kauli ya kiongozi wa kijeshi nchini Niger...
Back
Top Bottom