Watu 5 wamefariki 2 kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Noah lililokuwa likitokea Morogoro kwenda Dodoma kugongana na lori eneo la kibaigwa jijini Dodoma.
Watu watano (5)wamepoteza maisha na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea alfajili ya Leo katika eneo la...
Habari ndugu zangu,
Nahitaji gari aina ya Noah ya mkataba wa mauziano usiopungua miezi 6 yenye hali nzuri na iwe yenye namba kuanzia B au C na isizidi milioni 6 miezi ya mkataba ukiisha ndipo nakabidhiwa hatimiliki za gari.
Naombeni msaada kwa hili.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.