north korea

  1. C

    SI KWELI Kiongozi Mkuu wa North Korea asilimu kuwa Muislam

    Tizama hi video kwa makini kabla ya ku-comment. Kiongozi wa Korea kasikazini amelegeza mashariti kwa dini moja tu uko nchini kwake baada ya kushuhudia great miracle en Wisdom katika kitabu cha Qur"an tukufu, wakati anaingia madarakani 2011 Uislamu kama dini zingine zilikua marufuku nchini...
  2. Mindyou

    Bila Marekani na washirika wake, Tanzania kisiasa tungekuwa kama North Korea

    Wakuu, Ni dhahiri shahiri kuwa hakuna kitu Sisiemu wanaogopa kama Marekani na nchi za Ulaya. Kwa haya yanayoendelea ikiwemo wizi wa kura na kuua wapinzani ni wazi kuwa ingekuwa ni amri yao CCM ingekuwa imeshafuta upinzani. The only reason they are not doing it (kufuta upinzani) it's because...
  3. Mindyou

    Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

    Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao...
  4. green rajab

    North Korea kupeleka Wanajeshi 100,000 kuwafyeka wanamgambo wa NATO

    North Korea inapeleka wanajeshi 100000 Nchini Russia kusaidia kuwaminya kende wanamgambo wa NATO ⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️ 🇰🇵 | 𝗡𝗼𝗿𝗲𝗮 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮 𝘁𝗼 𝘀𝗲𝗻𝗱 𝘁𝗿𝗼𝗼𝗽𝘀 𝘁𝗼 𝗳𝗶𝗴𝗵𝘁 𝗨𝗸𝗿𝗮𝗶𝗻𝗲… 𝗡𝗼𝗿𝘁𝗵 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮 has reportedly offered to send 𝗥𝘂𝘀𝘀𝗶𝗮 up to 𝟭𝟬𝟬,𝟬𝟬𝟬 troops to 𝗳𝗶𝗴𝗵𝘁 𝗨𝗸𝗿𝗮𝗶𝗻𝗲. Early reports indicate 𝗡𝗼𝗿𝘁𝗵 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮...
  5. ward41

    From G8 to Kims North Korea. Anguko kubwa

    Miaka kama kumi hivi iliyopita, Russia ilikuwa member wa G8. viongozi wa Russia tulikuwa tukiwaona kwenye mikutano mikubwa ya maamuzi ya dunia. Ghafla Mambo yamebadilika, Raisi wa Russia anawapigia magoti viongozi wa North Korea, Iran, Venezuela nk. Putin hatumuoni tena ulaya, USA, Japan...
  6. HERY HERNHO

    Ziara ya Rais Putin nchini Korea Kaskazini imejaa mengi

    Rais wa Shirikisho la Urusi Putin amefanya ziara yake ya kwanza Korea Kaskazini katika kipindi cha miaka 24 iliyopita akiahidi kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kiusalama na taifa hilo lililotengwa lenye silaha za nyuklia na kuliunga mkono dhidi ya Marekani. Mkutano kati ya viongozi hao...
  7. M

    Iran, China, Russia and North Korea are providing weapons to Hamas in the fight against lsrael

    As per an Associated Press analysis, sniper rifles from Iran, AK-47 assault rifles from China and Russia and North Korean rocket-propelled grenades have been found in Gaza. Read More Iran, China, Russia and North Korea Providing Weapons to Hamas Amid Gaza War: Report Gaza Strip: As the...
  8. M

    North Korea Banned Laughing, Drinking And Shopping For 11 Days To Observe Anniversary Of Kim Jong Un's Father's Death — Those Caught Were 'Taken Away

    North Korea Banned Laughing, Drinking And Shopping For 11 Days To Observe Anniversary Of Kim Jong Un's Father's Death — Those Caught Were 'Taken Away And Never Seen Again' benzinga.comDec 21, 2023 9:00 PM In a move reflecting the government’s tight control over its populace, North Korea banned...
  9. Mto Songwe

    Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

    Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe. Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania. NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe...
  10. Venus Star

    Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

    Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU. Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na...
  11. Venus Star

    Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

    Wana JF leo nimeamua kuanza kuielezea North Korea. Kuna watu wengi sana wanaijua North Korea kwa mambo hasi(Negatives) kutokana na propaganda nyingi sana za watu wa magharibi. Nitaongelea yafuatayo:- 1. North Korea Infrastructure 2. Majengo marefu 3. Michezo na Utamaduni 4. Elimu 5. Kilimo...
  12. D

    Mambo 8 ya kushangaza kuhusu Korea Kaskazini

    (1) Kalenda ya Korea Kaskazini inategemea mwaka wa kuzaliwa wa mwanzilishi wa nchi hiyo, Kim Il-Sung. Mwaka huu 2023, Korea Kaskazini itaadhimisha mwaka wa 112, kwa vile Kim Il-Sung alizaliwa mwaka 1912. (2) Korea Kaskazini ina mfumo wake (operating system) kwenye upande wa computers zao...
  13. Naanto Mushi

    Nimejiridhisha kwamba CCM imekita mizizi, kama vyama vya kikomunist vya China na Korea Kaskazini

    Hii ni baada ya kuzunguka kwenye taasisi kubwa za kielimu hapa nchini na kubaini kwamba asilimia kubwa ya hawa tunawaita wasomi wa ngazi za juu ni wana CCM kindakindaki na bado wana imani kubwa na dola iliyopo. Ukitembea kwa walala hoi mikoa mbali mbali, huwaambii kitu kuhusu CCM. Ukija kwenye...
  14. Narumu kwetu

    Urusi yaishiwa silaha yaamua kuagiza North Korea

    Super power mandonga aishiwa silaha, sasa akipigana miaka 2 si ataishiwa mpaka bunduki, hahaaaa super power wa mchongo anachekesha. Russia to buy North Korean artillery shells, rockets: Report Declassified intelligence from the US says that Moscow is turning to isolated state to secure weapons...
  15. S

    Korea Kaskazini yakataa ofa ya Korea Kusini ya kuacha nyuklia ili ipewe misaada ya kiuchumi, yamwambia rais huyo afunge mdomo wake

    North Korea imemwambia rais wa South Korea afunge domo lake kufuatia rais huyo kuiomba North Korea iache silaha zake za nyuklia kisha South Korea itaipatia misaada kedekede ya uchumi. Majibu hayo kuntu yametolewa na dada yake Kim Jong-Un aitwaye Kim Yo Jong ambapo pia akaongezea kuwa South Korea...
  16. Gama

    Kim Jong-un wa North Korea atiwa wasiwasi na maputo yaanayorushwa na mahasimu wake

    Wapinzani wa mtawala wa North Korea ambao wengi wao wako korea ya Kusini wamekuwa wakipeleka misaada jamaa zao walioko Korea ya Kiduku kwa kutumia maputo maalum yaliyojajwa hewa ya helium. Misaada amabayo imekuwa ikipelekwa kwa njia hiyo ni pamoja na madawa, barakoa na tembe za Vitamin c...
  17. Mathanzua

    #COVID19 North Korea reports 99.98 percent COVID recovery rate without vaccination

    North Korea says 99.98% of its nearly 5 million "fever patients" since late April have fully recovered. The country has a near 0% COVID vaccination rate. North Korea is reporting that 99.98 percent of their nearly five million COVID-19 “fever patients” have recovered from the disease since...
  18. ward41

    North Korea Cars

    Umaskini wa kujitakia
  19. Nafaka

    Wale wanaoicheka North Korea

    Utasikia North Korea maisha magumu, north korea iko hoi kiuchumj. Hebu tazama mji wao mkuu utaulinganisha na mji wa nchi gani Afrika? Halafu nchi ambayo huruhusiwi kujenga au kuuza makazi, makazi yanajengwa na serikali na kuwa assigned kwa familia ikiwa ina maana kwao makazi ni kapaumbele. Muda...
  20. bernard10

    Korea Kaskazini yafanya majaribio makubwa tangu 2017

    Korea kaskazini imeripotiwa kufanya majaribio yake makubwa zaidi ya makombora yake ya (Intercontinental ballistic missiles) makombora yenye uwezo wa kuvuka bara moja hadi jingine Majaribio haya nimakubwa zaidi tangu Mara yamwisho kufanya hivyo mwaka 2017, huku makombora hayo yakiwa na uwezo...
Back
Top Bottom