Tovuti moja inadai kutangaza nafasi za ufadhili wa masomo katika chuo kikuu nchini Norway na kusambaa katika mitandao ya kijamii.
Tovuti hiyo ina ujumbe wa Kiingereza ulioandikwa vibaya unaotafsirika: "Kasome Nchini Norway Kozi Yoyote Uliyochagua Bila Malipo kwa Muda wote wa programu"...
Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...
"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe...
Pia yaongeza uzalishaji, yaani Urusi anatumbukia kwenye shimo la kujitakia, gesi yake atabaki nayo.
Norway now supplies Europe with more natural gas than Russia does after Moscow cut flows, per Reuters.
Its gas production is set to rise 8% this year, on track for a record, as Europe shuns...
JUMLA ya wananchi 3,222 kisiwani Pemba wakiwemo wanawake 1,971 na Wanaume 1,251 wamefikiwa kupitia mikutano mbali mbali inayofanywa na wahamasishaji jamii ambayo inalenga kuhamasisha jamii kuacha dhana potofu na kuunga mkono jitihada za wanawake ili kupata haki ya kushiriki katika demokrasia na...
Huwezi kuamini mawazo na akili ya Viongozi wa Poland!! Wam,eamua kuachana na gesi ya urusi ya bei rahisi kwa kuwa wanaweza kununua gesi pia toka Norway na nyingine toka Ujerumani (inayopata gesi toka urusi).
Lakini wanailalamikia Norway kuwa inawauzia gesi kwa bei kubwa sana karibuni mara NNE...
Mawaziri wa nishati wanaishauri Norway kuongeza uzalishaji wa gas na mafuta ili kuziba pengo la gas na mafuta kutoka Urusi.
Bulgaria na Poland wanategemea kiasi kikubwa cha nishati kutoka Urusi. Hata hivyo hatua za kuongeza uzalishaji zinahitaji michakato, mpaka kufikia michakato hiyo labda...
Nchini Norway sasa yaja na basi lisilo na Dereva urefu hivyo litajiendesha lenyewe kwa kutumia technology na hakutakuwa pia na hata makondakta hivyo basi litakuwa linasima kwa kila kituo na litakuwa na sensor kama kuna mtu mlango hautajifunga na kila kituo mlango.
Utajifungua na kusimamia kwa...
Wajumbe wa Taliban wanakutana na maafisa wa nchi za magharibi nchini Norway kwa ajili ya mazungumzo ya kwanza Ulaya tangu kundi hilo lichukue udhibiti wa nchi ya Afghanstan.
Mazungumzo hayo, yaliyopangwa kufanyika kwa muda wa siku tatu, yatakijita katika suala la haki za binadamu pamoja na...
Ni miezi imepita kidogo toka niwe nawajuza kuhusu Norway, hii ni kutokana na nilikuwa nasoma short course ya mambo ya Ship Surveying, nashukuru nimemaliza.
Kazi za bandari ndio nyingi huku, hivyo ilinibidi kujiongeza ili kujiweka sehemu nzuri zaidi na sio kila mara kuwa kibarua.
Japo najua...
Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati.
Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea...
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na...
Serikali ya Norway imeituhumu China kwa kuhusika na mashambulio ya kimtandao katika mifumo ya Bunge lake mnamo mwezi machi 2021.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Ine Eriksen Soereide amesema uchunguzi umebaini kuwa mashambulizi hayo kwenye mfumo wa barua pepe yalifanywa kutoka China.
Asema...
Moja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi.
Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha.
Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea...
Nimeona watu wengi sana wakiogopa kazi ambazo ni risk. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa kazi ambazo zina risk kubwa ndio zenye pesa nyingi.
Simaanishi huku Norway kazi ambazo hazina risk hazina pesa, hapana. Kwanza kazi zenye pesa ni zile za wale skilled ambazo kwa mhamiaji huwezi kupata...
Moja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula.
Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe.
Mimi mwanzo kabisa...
Moja ya vitu ambavyo sikuwahi kukubaliana navyo ni ile dhana ya kusema eti maisha ya Europe ni ya upweke. Upweke unautengeneza mwenyewe tu, ila ukweli ni kuwa maisha ya Ulaya ni mazuri Sana hasa Norway.
Bongo bado Sana, tusiongopeane na kujipa moyo. Anayeweza kuja aje ashuhudie. Na inapaswa...
Waswahili wenzangu huwa wanapenda kusema kizuri kula na nduguyo.
Najua wengi tu wanapenda kuishi Europe, pengine sio kwa sababu ya ugumu Sana uliopo bongo Bali ni sababu ya maisha ya huku yalivyo.
Nitaongelea zaidi Norway kwa kuwa ndio nipo.
Kwanza kabisa ugumu upo popote pale hivyo usije...
Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)
Kwenye suala la umeme uchaguzi wa kutumia umeme wa maji (hydroelectric power) ni bora zaidi ukilinganisha na vyanzo vingine vya umeme.
Nchi ya Norway ni moja ya...
Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway
*Alikwenda kwa shughuli za sanaa, hakurudi akaolewa huko huko
*Bado anaenzi nyumbani, amejenga shule ya msingi kwao Singida
Na Rashid kejo
Mwananchi
MARA baada ya Richa Adhia kutangazwa kuwa Mrembo wa Tanzania mwaka huu, mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.