norway

  1. Boqin

    SI KWELI Tangazo la fursa za masomo nchini Norway 2022/2023

    Tovuti moja inadai kutangaza nafasi za ufadhili wa masomo katika chuo kikuu nchini Norway na kusambaa katika mitandao ya kijamii. Tovuti hiyo ina ujumbe wa Kiingereza ulioandikwa vibaya unaotafsirika: "Kasome Nchini Norway Kozi Yoyote Uliyochagua Bila Malipo kwa Muda wote wa programu"...
  2. MK254

    Poland, Denmark na Norway waanza maandalizi ya bomba la gesi, kwaheri Urusi

    Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana... "The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe...
  3. MK254

    Norway yaipiku Urusi kwenye usambazaji wa gesi

    Pia yaongeza uzalishaji, yaani Urusi anatumbukia kwenye shimo la kujitakia, gesi yake atabaki nayo. Norway now supplies Europe with more natural gas than Russia does after Moscow cut flows, per Reuters. Its gas production is set to rise 8% this year, on track for a record, as Europe shuns...
  4. G-Mdadisi

    Mradi wa Ubalozi Norway waainisha Mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo wanawake kushika nafasi za Uongozi Zanzibar

    JUMLA ya wananchi 3,222 kisiwani Pemba wakiwemo wanawake 1,971 na Wanaume 1,251 wamefikiwa kupitia mikutano mbali mbali inayofanywa na wahamasishaji jamii ambayo inalenga kuhamasisha jamii kuacha dhana potofu na kuunga mkono jitihada za wanawake ili kupata haki ya kushiriki katika demokrasia na...
  5. M

    Poland inachekesha, Wakati yenyewe imegoma kununua gesi toka Urusi, inaitaka Norway iwagawie faida wanayopata kwa kuwauzia gesi kwa bei ya juu

    Huwezi kuamini mawazo na akili ya Viongozi wa Poland!! Wam,eamua kuachana na gesi ya urusi ya bei rahisi kwa kuwa wanaweza kununua gesi pia toka Norway na nyingine toka Ujerumani (inayopata gesi toka urusi). Lakini wanailalamikia Norway kuwa inawauzia gesi kwa bei kubwa sana karibuni mara NNE...
  6. Sky Eclat

    Mazungumzo yanafanyika kwa Norway kuongeza uzalishaji wa mafuta na gas

    Mawaziri wa nishati wanaishauri Norway kuongeza uzalishaji wa gas na mafuta ili kuziba pengo la gas na mafuta kutoka Urusi. Bulgaria na Poland wanategemea kiasi kikubwa cha nishati kutoka Urusi. Hata hivyo hatua za kuongeza uzalishaji zinahitaji michakato, mpaka kufikia michakato hiyo labda...
  7. Kasomi

    Norway waja na Basi lisilo na Dereva

    Nchini Norway sasa yaja na basi lisilo na Dereva urefu hivyo litajiendesha lenyewe kwa kutumia technology na hakutakuwa pia na hata makondakta hivyo basi litakuwa linasima kwa kila kituo na litakuwa na sensor kama kuna mtu mlango hautajifunga na kila kituo mlango. Utajifungua na kusimamia kwa...
  8. Analogia Malenga

    Taliban waanza mazungumzo na Maafisa wa Magharibi nchini Norway

    Wajumbe wa Taliban wanakutana na maafisa wa nchi za magharibi nchini Norway kwa ajili ya mazungumzo ya kwanza Ulaya tangu kundi hilo lichukue udhibiti wa nchi ya Afghanstan. Mazungumzo hayo, yaliyopangwa kufanyika kwa muda wa siku tatu, yatakijita katika suala la haki za binadamu pamoja na...
  9. Per Diem

    Nitaendelea kuwajuza ndugu zangu kuhusu Norway

    Ni miezi imepita kidogo toka niwe nawajuza kuhusu Norway, hii ni kutokana na nilikuwa nasoma short course ya mambo ya Ship Surveying, nashukuru nimemaliza. Kazi za bandari ndio nyingi huku, hivyo ilinibidi kujiongeza ili kujiweka sehemu nzuri zaidi na sio kila mara kuwa kibarua. Japo najua...
  10. Cannabis

    Waziri wa Nishati, January Makamba afanya kikao na mabalozi wa Norway, Sweden na Saudi Arabia

    Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati. Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea...
  11. Ileje

    Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

    Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na...
  12. J

    Norway imeituhumu China kwa kushambulia Barua Pepe za Bunge lake

    Serikali ya Norway imeituhumu China kwa kuhusika na mashambulio ya kimtandao katika mifumo ya Bunge lake mnamo mwezi machi 2021. Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Ine Eriksen Soereide amesema uchunguzi umebaini kuwa mashambulizi hayo kwenye mfumo wa barua pepe yalifanywa kutoka China. Asema...
  13. Per Diem

    Back in Norway: Nina furaha kwa nilichopata. Uliza swali lolote

    Moja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi. Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha. Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea...
  14. Per Diem

    Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

    Nimeona watu wengi sana wakiogopa kazi ambazo ni risk. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa kazi ambazo zina risk kubwa ndio zenye pesa nyingi. Simaanishi huku Norway kazi ambazo hazina risk hazina pesa, hapana. Kwanza kazi zenye pesa ni zile za wale skilled ambazo kwa mhamiaji huwezi kupata...
  15. Per Diem

    Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

    Moja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula. Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe. Mimi mwanzo kabisa...
  16. Per Diem

    Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

    Moja ya vitu ambavyo sikuwahi kukubaliana navyo ni ile dhana ya kusema eti maisha ya Europe ni ya upweke. Upweke unautengeneza mwenyewe tu, ila ukweli ni kuwa maisha ya Ulaya ni mazuri Sana hasa Norway. Bongo bado Sana, tusiongopeane na kujipa moyo. Anayeweza kuja aje ashuhudie. Na inapaswa...
  17. Per Diem

    Watanzania mnaopenda kuja Norway kutafuta maisha chukua ushauri huu, kazi nyingi ni za bandarini

    Waswahili wenzangu huwa wanapenda kusema kizuri kula na nduguyo. Najua wengi tu wanapenda kuishi Europe, pengine sio kwa sababu ya ugumu Sana uliopo bongo Bali ni sababu ya maisha ya huku yalivyo. Nitaongelea zaidi Norway kwa kuwa ndio nipo. Kwanza kabisa ugumu upo popote pale hivyo usije...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)

    Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power) Kwenye suala la umeme uchaguzi wa kutumia umeme wa maji (hydroelectric power) ni bora zaidi ukilinganisha na vyanzo vingine vya umeme. Nchi ya Norway ni moja ya...
  19. BAK

    Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway

    Chiku Mkalu Ali: 'Mtanzania' Diwani Jimbo la Berjen Norway *Alikwenda kwa shughuli za sanaa, hakurudi akaolewa huko huko *Bado anaenzi nyumbani, amejenga shule ya msingi kwao Singida Na Rashid kejo Mwananchi MARA baada ya Richa Adhia kutangazwa kuwa Mrembo wa Tanzania mwaka huu, mengi...
Back
Top Bottom