nyerere day

Public holidays in Tanzania are in accordance with the Public Holidays Ordinance (Amended) Act, 1966 and are observed throughout the nation.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyerere Day 2025: Mwalimu Anastahili Sifa

    https://youtu.be/GR0DQyhAdHs?si=0zwCfmI-Z0MLnRNp
  2. Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

    Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu Hadi analalamika wasanii kutumia jina la baba yake, Mbona familia ya Dangote hawalalamiki Kwa Diamond platnumZ, Mbona familia ya Bakhresa...
  3. Z

    Hivi leo ni Nyerere day au samia day?

    Naangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere. Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote. Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
  4. Leo ni kumbukumbu ya miaka 25 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius K Nyerere, unakumbuka nini kuhusu huyu mzee?

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanganyika (baadaye Tanzania), alikuwa kiongozi mwenye ushawishi mkubwa barani Afrika na duniani. Katika kumbukumbu ya miaka 25 ya kifo chake, haya ni mambo 7 muhimu kuhusu Nyerere: 1. Muanzilishi wa Taifa la Tanzania: Nyerere...
  5. Nyerere Day: Maktaba Inavyomuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999)

    NYERERE DAY: MAKTABA INAVYOMUADHIMISHA BABA WA TAIFA Leo ni Nyerere Day. Leo ni siku ya mapumziko. Taifa linamuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Mwalimu Nyerere. Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed...
  6. K

    Maajabu kumbukumbu ya Hayati Mwalimu Nyerere kila mwaka Mwanza na sio Mara

    Nyerere anatumika kwa kiki za kisiasa na familia yake haifurahishwi na siasa kwenye swala la kitaifa. Sherehe za Nyerere zifanyike alikotokea Mara au kama kama ni kwa mzunguko basi zifanyike sehemu tofauti. Lakini hizi sherehe zimekuwa kama ni za Mwanza day! kufanya kampeni za siasa Mwanza...
  7. Nyerere Day iadhimishwe bara zima la Afrika kumuenzi Baba wa Afrika

    Tarehe 28 September 1999 redio SAFM (South Africa) ilitangaza kifo cha Mwl Nyerere. Tena wakarudia kutangaza 11 October 1999 kuwa Mwl ametutoka huko Uingereza, Tena wakatangaza 14/10-1999. Baada ya kila tangazo waliomba radhi kwa taarifa zisizosahihi lakini kinachoshangaza ni kwanini redio ya...
  8. Mwalimu Nyerere alinyimwa VISA na taifa kubwa akaiasa Afrika kufanya mabadiliko

    Tunapoelekea katika mwezi wa kumbukizi ya Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni vyema kutafakari kila neno alilowahi kulitoa. Katika moja ya hotuba zake kwa wanahabari aliwahi kugusia madhila aliyowahi kupata kama kiongozi wa nchi kwa kunyimwa visa na TAIFA KUBWA. Hakika...
  9. Nyerere day 13-4- na siyo 14-10-? Je, ikumbuke siku ya kufa au kuzaliwa?

    Happy birthday Mwalimu Nyerere #Tanzania We will appreciate your contribution to the building of the Nation and Africa Miaka 102 iliyopita alizaliwa Julius Kambarage Nyerere! Leo ndo ilitakiwa iwe #NyerereDay Archive: Siku ya leo ndio ingefaa kuwa Nyerere Day au ile ya Mwezi wa kumi? Je, siku...
  10. Echo of Ujamaa: Unravelling Nyerere's Legacy Amidst Silence

    Straight to the point There has been several claims laid out in many posts and threads herein, claiming "Many people died" During the resettlement of citizens- "Walikufa raia wengi sana wakati wa Vijiji vya Ujamaa" Did many people die Under Ujamaa? Despite claims, where is the concrete...
  11. S

    Tuifute Nyerere day ili nchi ipate mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kisiasa

    Nyerere alifanya jambo moja tu zuri ktk taifa hili, nalo ni kuondoa ukabila na ukanda, hivyo kuwafanya watanzania kuwa wamoja. Lakini mengine yote alikosea. Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:- 1. Muungano. Lengo...
  12. Vijana wa Rorya wamuenzi Baba wa Taifa kwa kushiriki katika Bonanza la Nyerere Day

    Katika kuenzi miaka 24 ya kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Juma Chikoka ameandaa bonanza la michezo mbalimbali kwa vijana wilayani hapo. DC Chikoka anasema kuwa lengo la bonanza hilo ni kuendeleza kutoa elimu na mwamko kwa vijana kukumbuka...
  13. Robertinho hawezi kufika Nyerere Day kama kocha wa Simba kwa aina hii ya soka

    Kitakachomfanya asifike ni yafuatayo; 1. Kulazimisha Chama na Saidoo kucheza pamoja 2. Kumpanga Saidoo kwa dakika 90 huku akiwa hana uwezo huo kwa umri wake 3. Kumpanga mara kwa mara Kibu ambaye hana utulivu kabisa 4. Kucheza soka butua butua ambalo sio utamaduni wa Simba Sports
  14. Nyerere DAY 2022: Picha adimu

    NYERERE DAY 2022: MWANZO WA HARAKATI ZA KUDAI UHURU - UCHAGUZI WA TAA 1953 (NYONGEZA YA PICHA) Katika video iliyotangulia kipindi cha Zumari watu wengi wamevutiwa na historia ya uchaguzi wa TAA wa 1953 katika ya Abdul Sykes na Julius Nyerere. Maswali yamekuwa mengi kwangu kuwa imekuwaje miaka...
  15. Nyerere Day 2023: Mwanzo wa harakati za kudai uhuru

  16. Nyerere Day 2022: Kevin Lameck Bongo TV na Mohamed Said Sehemu ya Pili

  17. Nyerere Day 2022: Nyumba ya Bi. Mwamtoro bint Chuma Mtaa wa New Street na Kariakoo

    NYUMBA ALIYOJENGA NA ALIYOISHI MWALIMU MTAA WA IFUNDA MAGOMENI 1958 Tulipomaliza mahojinao yetu nje ya nyumba ya Bi. Mwamtoro bint Chuma nyumba ambayo iko nyuma ya Ofisi Ndogo ya CCM tukaelekea Magomeni Mtaa wa Ifunda kwenye nyumba aliyojenga Mwalimu mwaka wa 1958 na akaishi pale kwa kipindi...
  18. Nyerere Day 2022: Special branch na tasjila ya TANU

  19. Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953

    Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953
  20. Nyerere Day 2022: Mwalimu na Edouard Masengo 1958

    NYERERE DAY 2022: EDOUARD MASSENGO ALIPOKUTANA NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE Jioni hii rafiki yangu moja kutoka Ulaya kanipitia kunijua hali na kaniletea CD ya muziki wa Edouard Masengo na Mwenda Jean Bosco. Ikawa kanikumbusha kuwa Masengo alipata kuja Dar es Salaam wakati akiwa katika kilele...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…