Ikiwa leo ni siku tunakumbuka kifo cha Baba wa Taifa hili hatuna budi kumuenzi kwa kuyafuata yale aliyokuwa akiyapigania
1. Kupambana na Rushwa na Ufisadi (Uhusani kwenye uchaguzi tuwakatae MAFISADI)
2. Tupige vita UDINI (Hususani kwenye UCHAGUZI, Kiongozi mwenye nasba na Udini tumkatae)
3...