Ukiwauliza Wabongo wengi watakuambia duh, Tanzania twakata mbuga aisei, wengine wataisoma tu! Tuna barabara za juu kwa juu, mwendo kasi, SGR ya kisasa yaja....wataka nini tena?
Lakini waulize wengi kama wanajua kuna (hata Kiswahili chake sijui kama kipo):
1- Artificial Intelligence (AI) au...