Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea kutokea Kijitonyama.
Binafsi ni miezi 6 tangu nifike Tabata, route zangu zilikuwa hazinipeleki kule.
Ila kila tukikunja kona, ninashangaa jinsi mji ilivyobadilika. It’s just not the same.
Maduka mengi yamevunjwa na kuwekwa kisasa...