Nyumba inauzwa chanika mwisho senta milion 22, (imeshuka bei njoo hata na nusu anapokea maana ana shida) ina viumba v2 kimoja masta sebule jiko na pablic toile. Full tiles and gypsum umeme tayari. Bei inapungua njoo site
Kutoka chanikamwisho hadi kwenye nyumba dk5 kwa mguu
Call 0743257669
Nyumba Inauzwa Bahari Beach, Dar es Salaam.
Mahali: Br. Simba, Mtaa wa Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara ya ununio.
*Ina Vyumba vitano vya kulala(vyote ni master).
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Milioni 900. Mazungumzo...
650k USD
Maongezi yapo tuwasiliane 0769619500 rasta majumba
Mita 600 kutoka beach
Ipo wa mtaa wa pili kutoka mwai kibaki road
Ukiwa gorofa ya kwanza unaona bahari
Eneo lenye nyumba iliyofikia umaliziaji inauzwa Goba, Dar.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Eneo:
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina Vyumba vitatu vya kulala, chumba...
Nyumba yenye ukubwa wa almost sqm 300 inauzwa Kimara Matosa:
LOCATION: KIMARA KWA KOMBA KAMA UNAENDA MATOSA
4 BEDROOMS HOUSE
3 BATHROOMS
1 SITTING ROOM
1 DINNING AREA
KITCHEN
STORE
PARKING
NB:barabara ta gari ipo mpaka eneo husika,ukubwa wa eneo ni square meter 400
BEI NI 80M
Umiliki ni karatasi...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
NYUMBA INAUZWA
MKOA: Dar es Salaam, Tanzania
WILAYA: Kinondoni
MAHALI: Bunju Beach, Moga
NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO
BEI: TZS Milioni 550
MAONGEZI YAPO
UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600
UMILIKI: Ina hati safi
NYUMBA KALI SANA INAUZWA
SIFA ZA NYUMBA:
Vyumba 4 vikubwa vya...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter
vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko
Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami
Bei 230M mazungumzo yapo
Hatimiliki ipo
Mawasiliano 0737148766
Karibuni
ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI
LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE
ENEO NI SQM 356
ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA
CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi
BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
**
Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam.
Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba
Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki
Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula
Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi
Bei: 130mil Maelewano yapo
Kwa...
Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo
Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE
-Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet
Nyumba ipo 3Kms kutoka morogoro rd na ipo kwenye barabara ya mtaa (Hondogo)
-Plot size Sqm 1044...
Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school
Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters
Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko
Inatank la maji la lita 3000
Bei ni 170M
Karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.