nyumba inauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ochoa Real Estate

    House4Sale Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" milioni 135 tu!

    Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" Eneo lina SQM 450 Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅ Nyumba ina fence ya umeme Nyumba ina paving Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina choo Choo cha public Jiko limekamilika full makabati Sebule kubwa Dinning kubwa Baraza mbili mbele na...
  2. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa ipo Madale Kwa Kawawa

    Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa, Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami, Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni, Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1 0656077998
  3. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa Goba

    Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2 0656077998 Inauzwa 90mil
  4. D

    House4Sale Nyumba inauzwa Chang'ombe, Dodoma - Bei ni Milioni 50

    Nyumba inauzwa Chang'ombe Extation Dodoma mil 50 Ina vyumba 4, 2 master. Ina sebule, jiko, public toilet na kiwanja sqm 460
  5. Princep

    Plot4Sale Nyumba ambayo bado inajengwa inauzwa

    .
  6. E

    House4Sale Nyumba zinauzwa maeneo mbalimbali

    Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo Ina Vyumba 2 kimoja master Jiko,public toilet, sebule Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20 Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000 Bei mln 19 maongezi yapo kidogo 0675 065906
  7. dalaliadam

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Beach Tsh Milioni 150

    #001. NYUMBA YA VYUMBA 3 (KIMOJA MASTA) SEBULE, SEHEMU YA KUPATA CHAKULA, JIKO NA CHOO CHA FAMILIA. LOCATION- MBEZIBEACH GOIGI MITA MIA KUTOKA BAGAMOYO ROAD BEI - TSHS 150,000,000/= (MAONGEZI YAPO) UKUBWA WA ENEO - 441 SQM UMILIKI - NI HATI SAFI YA WIZARA MAELEZO ZAIDI - 0679268006 HII...
  8. mtwa mkulu

    Nyumba inauzwa kibaha mwenda pole

    Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam. Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum. Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu...
  9. maurice99

    House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

    Nyumba ipo Kange Mkurumuzi *Rooms 3 (Viwili master) *Sebule *Dinning *public toilet *Umeme *Maji Sqm 603 Price Milioni 39 (mazungumzo yapo) Call 0679991114 / whatsapp 0763316426
  10. E

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kazi kazi Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML. Nina kiwanja maeneo...
  11. Flexi lady

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Nyumba iko Chanika, Talian. Ina vyumba vitatu tayari vimesimama, sebule na dining bado. Msingi umeinuliwa wote. Karibu bei ni kitongq inaanzia milion 10 tu. Mwenyewe anarudisha gharama tu za ujenzi ana shida.
  12. AY 5225

    House4Sale Nyumba inauzwa, ipo Michamvi, Zanzibar

    Location: Michamvi, Unguja, Zanzibar karibu na Karafuu Hotel Price: 33,000,000/= Tshs Contact: +255742004658 (WhatsApp only) •Ina vyumba viwili na vyote ni self-contained •Sebule •Dining room •Jiko •Kifusi ndani kishajazwa •Shimo la choo tayari limechimbwa
  13. Y

    Nauza magari used, viwanja na nyumba

  14. Druggist

    House4Sale Nyumba Inauzwa Nzega-Tabora

    Nyumba Inauzwa Nzega.Bei-35m Ina Vyumba 2 (Kimoja Master), Sebure,Jiko,store ndogo.Ina Umeme na Maji ya Mamlaka ya Nzega (Nzuwasa).Pia kuna Kisima cha Kuhifadhi Maji ya Mvua cha Lita 15,000.Uwanja una Ujazo wa Meta za Mraba 1027,umepimwa. Nyumba IPO Meta 150 toka Rami,Mita 600 toka Stendi kuu ya...
  15. Sonship

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Kibanda cha mkaa

    Nyumba inauzwa mbezi kibanda cha mkaa Nyumba ina vyumba vitatu,kimoja self Ina sitting& dinning room Ina kitchen na Public toilet Nyumba imeisha bado kufanya finishing tu kama utakavyohitaji wewe Bei mln 30 maongezi yapo Ipo umbali wa km 2 kutoka barabara ya morogoro road Eneo la kiwanja ni mita...
  16. Sonship

    House4Sale Nyumba inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba inauzwa kimara Temboni. Bei milioni 30 tu. Vyumba vitatu kimoja master Sebule jiko na choo cha public. Ukubwa wa eneo mita 20 kwa 20 Ukishainunua una malizia kufanya finishing tu Ina hati ya mauziano serikali ya mtaa. Umball kutoka barabara kuu kilomita 2.5 Gari inafika mpaka site...
  17. Sonship

    Nyumba inauzwa kibaha maili moja

    Nyumba ya kisasa inauzwa kibaha maili moja........ Ina vyumba vitatu kimoja self Sitting,dining,kitchen & public toilet Gypsum na tiles vyumba vyote Bei mln 46 tu Document:Sales agreement 0675 065906 Iko mtaa nzuri umeme na maji yapo
  18. Sonship

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha Msufini

    NYUMBA (BINAFSI) NZURI IMEJENGWA KISASA INAUZWA MSUFINI MLANDIZI. IKO KWENYE CORNER PLOT, NI KILOMITA 1 TU TOKA MAIN ROAD LOC : KIBAHA KARIBU NA MSUFINI MLANDIZI AREA :SQM 534 PRICE : MIL 38 UMILIKI :HATI SIFA:- -INA VYUMBA 3, MASTER 1 -SITTING ROOM -DINNING -JIKO KUBWA NA STORE -CHOO CHA...
  19. bizzle for shizzle

    House4Sale Nyumba inauzwa Mapinga Shule

    Nyumba ya kisasa inauzwa ipo MAPINGA SHULE nyumba ya kisasa YENYE idadi ya vyumba vitatu master ipo moja lakini pia kuna NYUMBA za wapangaji kwa Nyuma YANI boy kotta zenye chumba sebule x 2 pia kuna ya chumba Kimoja Chenye choo nyumba inatazama BARABARA ya mtaa Ina Uwanja wa sqmt 850 Ina hati...
  20. L

    House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni bei rafiki sana

    NYUMBA INAUZWAAA BEI CHEEEE NYUMBA IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU... Master 2 Living room 2 Kitchen 1 Public toilet 1 Dinning 1 Seating 1 Ukubwa eneo 400sqm(20*20) Bei milion 29 MAWASILIANO +255784379396 +255789782415 Email: leonapolinary@gmail.com
Back
Top Bottom