Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A"
Eneo lina SQM 450
Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅
Nyumba ina fence ya umeme
Nyumba ina paving
Nyumba ina umeme na maji
Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina choo
Choo cha public
Jiko limekamilika full makabati
Sebule kubwa
Dinning kubwa
Baraza mbili mbele na...
Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa,
Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami,
Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni,
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1
0656077998
Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2
0656077998
Inauzwa 90mil
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
#001. NYUMBA YA VYUMBA 3 (KIMOJA MASTA) SEBULE, SEHEMU YA KUPATA CHAKULA, JIKO NA CHOO CHA FAMILIA.
LOCATION- MBEZIBEACH GOIGI MITA MIA KUTOKA BAGAMOYO ROAD
BEI - TSHS 150,000,000/= (MAONGEZI YAPO)
UKUBWA WA ENEO - 441 SQM
UMILIKI - NI HATI SAFI YA WIZARA
MAELEZO ZAIDI - 0679268006
HII...
Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam.
Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum.
Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu...
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumbanyumbainauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanja
viwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
Nyumba iko Chanika, Talian. Ina vyumba vitatu tayari vimesimama, sebule na dining bado. Msingi umeinuliwa wote. Karibu bei ni kitongq inaanzia milion 10 tu. Mwenyewe anarudisha gharama tu za ujenzi ana shida.
Location: Michamvi, Unguja, Zanzibar karibu na Karafuu Hotel
Price: 33,000,000/= Tshs
Contact: +255742004658 (WhatsApp only)
•Ina vyumba viwili na vyote ni self-contained
•Sebule
•Dining room
•Jiko
•Kifusi ndani kishajazwa
•Shimo la choo tayari limechimbwa
Nyumba Inauzwa Nzega.Bei-35m
Ina Vyumba 2 (Kimoja Master), Sebure,Jiko,store ndogo.Ina Umeme na Maji ya Mamlaka ya Nzega (Nzuwasa).Pia kuna Kisima cha Kuhifadhi Maji ya Mvua cha Lita 15,000.Uwanja una Ujazo wa Meta za Mraba 1027,umepimwa.
Nyumba IPO Meta 150 toka Rami,Mita 600 toka Stendi kuu ya...
Nyumba inauzwa mbezi kibanda cha mkaa
Nyumba ina vyumba vitatu,kimoja self
Ina sitting& dinning room
Ina kitchen na Public toilet
Nyumba imeisha bado kufanya finishing
tu kama utakavyohitaji wewe
Bei mln 30 maongezi yapo
Ipo umbali wa km 2 kutoka barabara ya morogoro road
Eneo la kiwanja ni mita...
Nyumba inauzwa kimara Temboni. Bei milioni 30 tu.
Vyumba vitatu kimoja master
Sebule jiko na choo cha public.
Ukubwa wa eneo mita 20 kwa 20
Ukishainunua una malizia kufanya finishing tu
Ina hati ya mauziano serikali ya mtaa.
Umball kutoka barabara kuu kilomita 2.5 Gari inafika mpaka site...
Nyumba ya kisasa inauzwa kibaha maili moja........
Ina vyumba vitatu kimoja self
Sitting,dining,kitchen & public toilet
Gypsum na tiles vyumba vyote
Bei mln 46 tu
Document:Sales agreement
0675 065906
Iko mtaa nzuri umeme na maji yapo
NYUMBA (BINAFSI) NZURI IMEJENGWA KISASA INAUZWA MSUFINI MLANDIZI. IKO KWENYE CORNER PLOT, NI KILOMITA 1 TU TOKA MAIN ROAD
LOC : KIBAHA KARIBU NA MSUFINI MLANDIZI
AREA :SQM 534
PRICE : MIL 38
UMILIKI :HATI
SIFA:-
-INA VYUMBA 3, MASTER 1
-SITTING ROOM
-DINNING
-JIKO KUBWA NA STORE
-CHOO CHA...
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo MAPINGA SHULE nyumba ya kisasa YENYE idadi ya vyumba vitatu master ipo moja lakini pia kuna NYUMBA za wapangaji kwa Nyuma YANI boy kotta zenye chumba sebule x 2 pia kuna ya chumba Kimoja Chenye choo nyumba inatazama BARABARA ya mtaa Ina Uwanja wa sqmt 850 Ina hati...
NYUMBA INAUZWAAA BEI CHEEEE
NYUMBA IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU...
Master 2
Living room 2
Kitchen 1
Public toilet 1
Dinning 1
Seating 1
Ukubwa eneo 400sqm(20*20)
Bei milion 29
MAWASILIANO
+255784379396
+255789782415
Email: leonapolinary@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.