odinga

Odinga is a surname. Notable people with the surname include:

Jaramogi Oginga Odinga (1911–1994), Kenya's first vice-president and later opposition leader.
Raila Odinga (born 1945), Former Prime Minister of Kenya, son of Jaramogi Oginga Odinga
Ida Odinga (born 1950), Kenyan businesswoman, activist and educator, wife of Raila Odinga
Oburu Odinga (born 1943), MP, son of Jaramogi Oginga Odinga
Norman Odinga (born 1963), Canadian association football player
Sekou Odinga, American activist from the Black Liberation Army

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kenya 2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    Mzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa chumba cha uhalifu akimaanisha haamini mchakato wa uhakiki
  2. Poppy Hatonn

    Kenya 2022 Raila Odinga ni chaguo la Mbinguni. Chebukatii amtangaze kuwa Rais

    Nilikuwa Kenya wakati ule, kulikuwa na kampeni na mimi nilikuwa Nairobi, nadhani just for a day and a night. Kulikuwa na some complaints kuhusu Raila, complaints in the media,na mimi nilikuwa very dejected,natafakari hayo mambo as I was falling asleep. Nilikuwa katika guest house. Nikaamka...
  3. BARD AI

    Kenya 2022 Raila Odinga apindua matokeo mchana huu Ruto aporomoka

    Mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga amefanikiwa kumpita William Ruto kwa idadi ya Kura baada ya kuwa nyuma kwa masaa kadhaa Hadi kufikia leo saa 6:30 mchana Odinga alikua na kura 6,431,752 (49.46) akifuatiwa na William Ruto mwenye Kura 6,389,957 (49.14%) Prof. Wajackoyah Kura 56,430...
  4. MSAGA SUMU

    Lipumba: Odinga ananipa moyo kurudi ulingoni 2025

    "Mimi na Odinga tunafanana Sana kwenye historia ya maisha yetu ya siasa. Nilikuwa na mpango wa kutokugombea uchaguzi ujao lakini kwa jinsi ninavyoona matokeo ya urais nchini Kenya na jinsi Odinga anavyokimbiza, Nina kila sababu ya kurudi ulingoni kwenye uchaguzi wa 2025". Maneno ya Prof Ibrahim...
  5. M

    Kenya 2022 Raila Odinga: King'ang'anizi katika kuutaka urais wa Kenya, uchaguzi huu anagombea kwa mara ya tano (5)

    Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77. Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbali mbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA. Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza...
  6. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Kikwete ambaye 'comfortably' ameweza kuwakutanisha 'mahasimu' Odinga na Ruto, ila mwaka 2020 alishindwa kuwakutanisha Magufuli na Lissu

    Halafu wenye akili kuwazidi tukiwa tunasema hapa hamna mtu bali kuna Profesa wa unafiki Tanzania nzima mnasema tuna chuki nae binafsi, tunatumika au ni wadini na wakabila. Mliokuwa wavivu wa kufikiri na mnaompenda mnamuita mwamba wa siasa na diplomasia. Hivi inaingia akili mwamba na bingwa wa...
  7. Roving Journalist

    Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya na Raila Odinga

    Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa nyakati tofauti, amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya Kwanza, na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama vya...
  8. crankshaft

    Diamond Platnumz kutumbuiza mkutano wa Raila Odinga

    Msanii Diamond Platnumz yupo nchini Kenya na anatarajiwa kutumbuiza katika mkutano wa mwisho wa kampeni wa azimio la umoja wa Raila Odinga. Source:bbc swahili
  9. masopakyindi

    Kenya 2022 Namtakia Raila Odinga ushindi mwema na wa uhakika.

    Ni wazi Raia Odinga 'Baba' atashinda uchaguzi mkuu utakaofanyika huko Kenya hivi karibuni. Raila amepigana hiyo vita toka enzi za baba yake Oginga Odinga, na sasa inafika hitimisho. Nampongeza na Uhuru kwa kufanya uteuzi wa mgombea ulio sahihi kwa Kenya. Miaka 10-20 ijayo sifa hii iatwabeba...
  10. beth

    Kenya 2022 Mdahalo wa Urais: Ruto amkaanga Odinga, asema hana la kuwaambia Wakenya

    William Ruto amekosoa uamuzi wa Mpinzani wake, Raila Odinga kutoshiriki Mdahalo wa Wagombea Urais katika Uchaguzi wa Agosti akisema kitendo hicho ni kuepuka Uwajibikaji Amesema Raila si Mgombea halisi na hajashiriki Mdahalo kwasababu anaepuka Maswali magumu. Ruto amedai Mpinzani wake hana...
  11. JanguKamaJangu

    Kenya 2022 Kalonzo Musyoka arejea Azimio, akubali kumuunga mkono Odinga

    Kiongozi wa Chama cha Wiper Democratic Movement, Kalonzo Musyoka amerejea katika Umoja wa Azimio ikiwa ni wiki mbili tu tangu alipotangaz akujiondoa na kusema kuwa yupo tayati kumuunga mkono, Martha Karua aliyeteuliwa kuwa Mgombea Mwenza wa Raila Odinga Aliondoka katika umoja huo baada ya...
  12. U

    Binti wa Raila Odinga, Rosemary ni mfano wa kuigwa

    Rosemary ni Binti mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Mhesh Raila Odinga Ni mfano wa kuigwa kwa namna anavyojishughulisha kiuchumi bila kujali nafasi kubwa ya Babake anayeongoza kwa kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya Agosti 2022. Hongera Kwake
  13. JanguKamaJangu

    Kenya 2022 Raila Odinga amzidi William Ruto kwa umaarufu kuelekea uchaguzi mkuu

    Umaarufu wa Mgombea Urais Nchini Kenya anayewakilisha Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, umeongezeka mara baada ya kumchagua Martha Karua kuwa mgombea Mwenza. Odinga amepata kura 39% wakati mpinzani wake katika uchaguzi huo William Ruto ambaye alimtaja Rigathi Gachagua kuwa Mgombea...
  14. Chachu Ombara

    Kenya 2022 Raila Odinga Names His 'Dream Team'

    Azimio La Umoja coalition leader Raila Odinga has announced a list of nominees who will be part of his Cabinet if he ascends into power in the August General Election. He was speaking on Monday at the Kenyatta International Conference Center (KICC) as he unveiled his presidential running mate...
  15. Chachu Ombara

    Kenya 2022 Martha Karua ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga

    Akizungumza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta, Bw Odinga alimsifu Bi Karua kwa bidii na rekodi yake ya haki za binadamu. "Nilimhitaji Joshua wa kweli kwenye kando yangu, ambaye hatakuwa koti la ziada. Baada ya kutafuta na kutafakari, pamoja na mashauriano, nimefikia uamuzi...
  16. Feld Marshal Tantawi

    Kenya 2022 Kati ya Raila Odinga na William Ruto - nani yuko juu hadi sasa?

    Mwaka huu kenya moto utawaka moto kati ya wapinzan wawil wakubwa Luto na Odinga huku Odinga akiungwa mkono na Rais aliepo madarakani. Kinachonogesha siasa za safar hii ni kitendo cha rais na makamu wake kutofautiana hadharan na kila mtu kuamua kufata njia yake Najua mlimpo kenya mna wakat mgum...
  17. J

    Kwa kauli hii Raila Odinga ataiharibu Kenya kama Magufuli alivyoharibu Tz

    Eti kuna mtu kakamatwa anaiba chakula, na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria zao Jamaa anaamrisha mtu huyo aachiwe haraka kisa eti kuna wanasisa wezi wapo free mtaani Njia sahihi nafikiri ingekuwa kumlipia faini asifungwe na kama kuna haja ya kurekebisha sheria aahidi kufanya hivyo akiingia...
  18. Kifurukutu

    Raila Odinga apigwa mawe huko kenya, Ruto kuchukua nchi

    Hakika Kenya haiko na unafiki! Raila hatakiwi na wakenya mpaka wameamua kumpiga mawe kwamba hawamtaki Hii inaonesha dhahiri kwamba Ruto anaenda kujichukulia kiti cha urais kiulaini
  19. Q

    Tufungue Ukurasa Mpya: Tujifunze siasa za Kenya. Leo Uhuru anampigia kampeni Odinga

    Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania. Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu. Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya...
  20. Chachu Ombara

    Kenya 2022 Raila Odinga atoa wimbo wakati kampeni za uchaguzi zikishika kasi

    Magombea Urais nchini Kenya, Raila Odinga ametoa video ya wimbo alioshirikishwa, wakati kampeni za uchaguzi nchini humo zikishika kasi. Odinga ambaye ndiye mpinzani mkuu kwenye uchaguzi huo ametoa video hiyo ya wimbo unaokwenda kwa jina la Leo ni Leo (Remix).
Back
Top Bottom