Kwa wale ambao huwa mnapita maeneo ya magereji kama vile Tandale, Mwananyamala, Ilala na Kko bila shaka umeshawahi kuwaona watu wakipita na baiskeli au mikokoteni wakikusanya Madumu/ Chupa za oil za magari na pia wakikusanya oil chafu na kuondoka nayo.
Baada ya utafiti kidogo inasemekana oil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.