Tanzania ready to start constructing Ug-Tz oil pipeline (independent.co.ug)
Dar es Salaam, Tanzania | THE INDEPENDENT) |
The construction of the $3.5 billion East African Crude Oil Pipeline (Eacop) is scheduled to start next month, Tanzanian newspaper The Citizen has reported today...
JF Doctors,
Katika mapambano dhidi yaCovid 19 kuna mtu ameniambia kwamba neem oil ukiweka drops puani kama Una dalili za Covid inapotea . Je, wataalam wa afya hii kweli iko salama ?
Neem oil = mafuta ya muarobaini
What next for Tanzania’s LNG after Equinor cuts its annual balance sheet value?
Norwegian oil and gas company Equinor has decided to reduce the annual balance sheet value of its Tanzania Liquefied Natural Gas (LNG) project which is, at this time, not competitive within their global portfolio...
Habari.
Mwenye ujuzi na masuala ya Engine Oil sahihi kwa gari tajwa hapo juu yenye CC 2990 GRS 182 maana naona kama mafundi wetu ni changamoto hivi.
Mwanzo niliweka Castrol iliandikwa 5W~20 na fundi akasema inaenda km 5000 nilivyocheck Google nikaona haipo sawa, ilivyofika km 3000 nikaimwaga...
Habari wakuu.
Ninatarajia kuchukua Nissan Dualis. Napenda kujua ni oil zipi (Brand na vipimo) na ni gereji ipi kwa hapa Dar es Salaam wana mafundi wazuri wa Nissan?
Pia kuna uzi niliusoma unasema oil ya engine inabidi iwe 5w 30, je kuna ukweli kuhusu hilo?
Na oil ya transmission, gearbox oil...
Tuzungumze kidogo kuhusu Oil za Automatic Gearbox.
Kuna makundi makubwa mawili ya Oil za Automatic Gearbox(ATF).
1. Standalone ATF
2. Universal ATF
Hebu tunagalie moja baada ya nyingine.
Universal ATF
Hizi ni zile ATF ambazo kopo lake linaandikwa msururu wa magari ambayo hiyo ATF inaweza...
Habarini ndugu zangu,
Kwa majina naitwa Ellyskywilly, nimeandika uzi huu maalum kuelezea 10 biggest Oil and Gas industry contractors.
Nitaomba kutumia lugha ya kiingereza kwasababu itakua ni nyepesi zaidi kutolea maelezo.
The biggest contractors working in the oil and gas industry today...
Wadau amani iwe kwenu.
Nina swali dogo tu ningependa kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa. Ni kwanini Oil Pressure Light inakuwa on kwa dakika 2 hadi 3 wakati wa kuwasha gari hasa gari inapokuwa imezimwa kwa zaidi ya masaa matatu na kuendelea?
Vile vile napenda kufahamu athari zinazoweza...
Pipeline deal: Oil firms set date for final investment decision
TUESDAY SEPTEMBER 15 2020
By FREDERIC MUSISI
The government and oil companies - French Total E&P, and China’s Cnooc - are eyeing December or January as the new dates for taking the final investment decision (FID) for development...
Credit: George Obulutsa; Editing by Susan Fenton
NAIROBI (Reuters) - Tanzania and Uganda signed an agreement on Sunday paving the way for the construction of a crude oil pipeline running from Ugandan oilfields to the Tanzanian port of Tanga, a Tanzanian government spokesman said. Uganda...
A Construction vessel working on Berths at the Kipevu oil Terminal | PHOTO COURTESY
The new Kipevu Oil Terminal (KOT) is expected to breathe new life to a terminal that has existed for over 50 years. ‘
The terminal will have a capacity of 100,000 metric tonnes and handle over 4 vessels at a...
Ninapenda kuifahamisha Kampuni ya Total kuwa kwa siku za karibuni wajanja wachache wameanza kuchakachua oil yao na hivyo kuwafanya wateja kuacha kununua oil ya Kampuni yao.
Kwa ujumla oil ya Kampuni ya Total ndiyo inayoongoza kwa ubora lakini sasa watu wanaanza kuogopa kununua oil kwa sababu...
New Kipevu Oil Terminal to be ready by August 2021
The new oil terminal will handle bigger volumes of fuel products.
Works have been underway since February last year. PHOTO/COURTESY
The New Kipevu Oil Terminal, whose construction is underway in Mombasa, will be ready by August next year –...
Published on: 13 July 2020
After a successful two-year period and coinciding with the Early Oil Pilot Scheme (EOPS) contract expiry period, Tullow Kenya, together with its Joint Venture Partners Total and Africa Oil confirmed the end of the EOPS contract on 2 June 2020.
The scheme had...
Upon completion, the Dangote oil refinery will have the capacity to refine 650, 000 barrels of crude oil a day making it Africa's biggest oil refinery and the world's biggest single-train facility. It will also be producing fertilizer as well as other petrochemical products.
The facility is...
Polisi jijini Dsm imewakamata wakurugenzi wakuu wa kampuni za mafuta za Puma, Total na Oryx waliokuwa kwenye kikao cha kibiashara.
Kadhalika polisi wanamsaka mkurugenzi mkuu wa Lake Oil ili aunganishwe na wenzake.
Imeelezwa wakurugenzi hao wanadaiwa kuvuruga mfumo wa usambazaji mafuta nchini...
Tullow Oil tayari wameshtuka. Wakenya janja janja yenu haitawafikisha popote.
=====
Kenya’s early oil pilot scheme carried jointly with exploration firm Tullow has come to an end.
In a statement to newsrooms, Tullow said the two year license it had for the project aimed at testing Kenya’s...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.