Sikia,
Umeozesha mwanao, au mdogo wako kaolewa. Elewa huyo hayupo chini ya mamlala yako tena kama ni mzazi. Pia elewa si yule mdogo wako ambaye ulikuwa ukimtuma na kumwambia hivi akawa anatiii. Au uliyemkaripia zamani na hata kuchukua fimbo kama akienda kinyume na maamrisho yako.
Yupo chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.