olimpiki

FC Olimpiki Tbilisi is a Georgian football team, which were playing in the capital, Tbilisi. The club were playing their home games at Olimpi Stadium.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Wanaojitolea kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanateleza kwenye theluji kwa ajili ya ukumbusho

    Wafanyakazi wanaohudumia Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kwa karibu mwezi mmoja walifurahia kwa kucheza kwenye theluji kwa mitindo mbalimbali tofauti katika uwanja wa mashindano kusherehekea baada ya michezo hiyo kumalizika kwa mafanikio wiki iliyopita. Na wakapiga picha ya...
  2. L

    Wahudumu zaidi ya elfu mbili wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wapiga picha ya pamoja ya ukumbusho

    Wafanyakazi na wanaojitolea zaidi ya elfu mbili wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wamepiga picha ya pamoja ya ukumbusho tarehe 21 mwezi huu katika Uwanja wa Michezo wa Taifa mjini Beijing, China baada ya michezo hiyo kumalizika. Waliosimama kwenye barafu ni wahudumu...
  3. L

    Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing yachangia urithi wa kipekee

    Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imefungwa kwa mafanikio makubwa. Beijing ambao ni mji wa kwanza ulioandaa Michezo yote ya Olimpiki ya Majira ya Joto na ya Baridi duniani, kwa mara nyingine tena iliishangaza dunia. Kauli mbiu ya michezo hii ni “Pamoja: Kwa Mustakabali wa...
  4. L

    Maonesho ya taa yaliyofanyika katika Mnara wa Olimpiki wa Beijing wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi yapendeza sana

    Maonesho ya taa yaliyofanyika katika Mnara wa Olimpiki wa Beijing wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi yapendeza sana.
  5. L

    Vijana wa kujitolea kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanatengeneza sanamu ya mtu wa theluji

    Vijana wa kujitolea kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wanatengeneza sanamu ya mtu wa theluji.
  6. L

    Februari 13, Maonesho ya Taa ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi yamefanyika katika Uwanja wa Michezo wa Kitaifa mjini Beijing, unaojulikana ka

    Februari 13, Maonesho ya Taa ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi yamefanyika katika Uwanja wa Michezo wa Kitaifa mjini Beijing, unaojulikana kama The Bird's Nest, ambayo yaling’ara sana.
  7. L

    Nchi za Afrika zashiriki kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi

    Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi inayoendelea imevutia macho ya dunia. Jumla ya nchi tano za Afrika, ambazo ni Kenya, Nigeria, Madagascar, Morocco na Eritrea zimeshiriki kwenye michezo hiyo. Kwa nchi za Afrika, kushiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi, sio tu ni ishara ya...
  8. L

    Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing yafunguliwa

    Hafla ya ufunguzi wa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imefanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa taifa wa Beijing. Rais Xi Jinping wa China atatangaza kufunguliwa kwa michezo hiyo. Wakuu wa mashirika ya kimataifa wakiwemo mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki Bw...
  9. L

    Afrika yajumuika na China katika michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi

    Hatimaye mwaka mpya wa jadi wa China ambao ni mwaka wa chuimilia umefika! Mwaka huu umeanza kwa kishindo, matumaini na macho ya dunia yakielekezwa China. Kwa mara nyingine tena Beijing ni mwenyeji wa wageni kutoka pembe zote za dunia wanaojumuika kwa ajili ya olimpiki ya majira ya baridi maudhui...
  10. L

    Nchi za Afrika zinaunga mkono Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing

    Hassan zhou Awamu ya 24 ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi itafunguliwa Beijing mnamo Februari 4. Kutokana na hali ya hewa ya joto kwa mwaka mzima katika maeneo mengi ya Afrika, inaeleweka kuwa ni nchi chache tu, zikiwemo Eritrea, Ghana, Madagascar, Morocco na Nigeria ndizo...
  11. L

    Kususia michezo ya Olimpiki ya Beijing ni kukiuka haki za binadamu

    Na Caroline Nassoro Maandalizi ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi itakayofanyika Beijing yamekamilika, na wanariadha wanaofanya majaribio katika viwanja vitakavyotumika kwa mashindano hayo, wametoa maoni chanya kuhusu maeneo yote yatakayotumika katika mashindano hayo. Si hivyo tu...
  12. L

    Beijing ina kila la kujivunia kwa maandalizi yake kabambe ya michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya 2022

    Julai 31 mwaka 2015 mji wa Beijing China ulijawa na furaha, shamrashamra, nderemo na vifijo baada ya Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa kuutangaza kuandaa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi pamoja na michezo ya Olimpiki ya walemavu ya majira ya baridi mwaka 2022, kwenye kinyang’anyiro...
  13. L

    Beijing kuvutia tena macho ya watu duniani kutokana na Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi

    Mwezi Agosti mwaka 2008, mji wa Beijing uliandaa michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto, ambayo ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa, na kupongezwa na jamii ya kimataifa. Miaka 13 baadaye, mwezi wa Agosti kwa mara nyingine tena, baada ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Tokyo, mji wa Beijing umevutia...
  14. L

    Changamoto za nchi za Afrika kwenye michezo ya Olimpiki

    Kwenye michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020 iliyomalizika hivi karibuni, kumekuwa na mambo mengi mapya ya kushangaza na kufurahisha, ikiwa ni pamoja baadhi ya nchi kupata medali kwa mara ya kwanza kwenye baadhi ya vitengo, na hata uwakilishi wa baadhi ya nchi kwenye michezo hiyo kuwa wa...
  15. Sam Gidori

    Tokyo: Mashindano ya Olimpiki 2020 yakamilika

    Baada ya kushuhudia wiki mbili za mashindano ya aina yake katika historia, hatimaye Michezo ya Olimpiki mjini Tokyo nchini Japan imeahirishwa hii leo na kijiti kukabidhiwa kwa Paris, muandaaji wa mashindano hayo mwaka 2024. Mashindano ya mwaka huu yalikuwa ya tofauti kutokana na maambukizi ya...
Back
Top Bottom