Kama kuna kitu kinaudhi nchi hii ni namna mambo yanavyofanyka kiajabuajabu ukiachikia mbali yale mataifa yanayotuzidi sana kiuchumi hata hawq jirani zetu unagundua wako serious sana na mambo yao.
Wenzetu wamepekeka wanamichezo wengi sana ambao ndo wahusika hasa lakini sisi tunepeleka watu ambao...
Kwema Wakuu!
Nimetulia zangu na-enjoy zangu, Kwa Raha zangu naburudika na Mashindano ya Olimpiki Paris 2024 yanayofanyika huko Ufaransa.
Nafurahi zangu lakini ghafla nagundua kuna Jambo halipo Sawa hapa. Kila Mashindano ñàona Hakuna weñye umri kama wàngu. Jàmani! Jàmani!
Nikabadili zangu...
Watanzania ni watu wa ajabu sana yaani wizara ya michezo naambiwa imepeleka wanamichezo 7 kwenye michezo ya Olympic ufaransa ambao nao hawana uhakika wa medali kutokana na mazingira duni ya namna wanavyoandaliwa.
Badala waziri aumize kichwa na kuangalia ni namna gani atapeleka wachezaji wa...
Wanamichezo watatu wa Tanzania walioko Paris kwenye michezo ya 33 ya Olimpiki ya majira ya joto ya Paris 2024 wameendelea na mazoezi makali chini ya makocha wao, wakijiandaa kwa michuano yao inayoanza rasmi kesho Jumatatu Julai 29, 2028.
Tanzania itatupa karata yake ya kwanza kwenye michuano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.