olympics 2024

  1. o_2

    Tanzania tunakwama wapi kutengeneza wakina Beatrice Chebet kama ilivyo Kenya?

    Kushinda aje? Baada ya mizunguko yangu ya leo, nimerudi magetoni nawasha Tv supersport 9 nakutana na highlights za mashindano mbalimbali ya olimpiki yanayoendelea nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Ghafla nakutana na mdada BEATRICE CHEBET kutoka Kenya. Ameshindana marathon M 5,000 na M...
  2. greater than

    MSIMAMO WA MEDALI ZA OLYMPICS 2024 KWA NCHI ZA AFRIKA

    Michezo ya Olympic inaendelea,Washindi katika kila michezo wanazidi patikana... Angalia orodha ya nchi za Afrika zilizopata medali mpaka.... Kenya - Medali 6,Riadha Afrika Kusini - 5,Kuogelea+Mbio fupi+Rugby+Baiskeli Uganda - 2,Riadha Algeria- 2,Ndondi + Gymnastics Morocco- 2 , Mpira + kuruka...
  3. W

    Mwafrika wa Kwanza kushinda Medali ya Dhahabu Mbio za 200 kwa Wanaume Olympics 2024

    Letsile Tebogo (21) kutoka Botswana amekuwa Mwafrika wa kwanza kushinda medali ya dhahabu mbio za mita 200 kwa wanaume kwenye Michezo ya Olimpiki Agosti 8, 2024. Amefanikiwa kuvunja rekodi ya Kenny Bednarek na Noah Tyles na kutajwa kama “Mwanaume mwenye kasi zaidi duniani” Alifanikiwa kushinda...
  4. Lady Whistledown

    Olympics 2024: Faith Kipyegon’s medal reinstated after dramatic 5,000m

    Faith Kipyegon's initial disqualification during in the Paris 2024 Olympics 5,000m race sparked uproar but Kenya successfully appealed In a dramatic turn of events at the Paris 2024 Olympics, Kenya’s appeal has been successful, and Faith Kipyegon’s silver medal position in the women’s 5,000...
  5. I am Groot

    Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

    Ufunguzi huo uliosheheni nakshi nashi za namna yake umepigwa vikali na vikundi vya watu wenye imani kali; wakiishutumu Ufaransa ambaye ndiye mwenyeji wa michezo hiyo mwaka huu kuwa maonyesho yalijaa viashiria vya kukashifu ukristo na ushetani mwingi. Mfano maigizo yaliyoiga namna Yesu...
Back
Top Bottom