Mmmh, Haleluya
Huwaapia moyo
Nitakulinda
Maana najua kwamba kuna chemichemi
Nitakujengea boma uwe salama
Adui akija asikuweze
Usiruhusu maneno yakuvuruge
Usiruhusu hasira ikae kwako
Namuweka mlinzi awe ngome yako
Akupiganie ubaki salama
Bwana naomba utete nao wale
Wanaoteta nami
Naomba upigane...