Natumaini mu wazima wa afya.
Natafuta kazi ya online.
Si kwamba hata ya kufika eneo la kazi siiwezi,bali jukumu limetaiti sana.
Kwa sasa nipo na watoto wawili wadogo,na kila kitu kuhusu wao ni mimi tu. Hapo nyuma kidogo mambo yalienda ovyo, mama yao akaamuwa kuwaacha. Ni bado wadogo,miaka...