In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".
Opportunity title: Head of Watetezi Online TV
Work Station: Dar es Salaam
The Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) is an umbrella organization of more than 180 Human Rights focused organization operating in both Tanzania Mainland and Zanzibar. The main focus of the Coalition is to...
Guys nani amewahi sajiri jina la biashara Brela kwa huu mfumo wa online? anisaidie maana nimekwama kipengere cha kujaza majina na jinsia, niki hover mouse inaniletea haka ka alama 🚫, sasa nashindwa kujazahizo sehemu. Hii imekaaje au ndo mtaalamu wa IT brela anajitolea.
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards
Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa Tanzania, ambayo yanaweza/wanaweza kufanya kazi hiyo.
Habari wadau!
Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia.
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
Sihitaji mwaliko wa sikukuu wa online..
Haiwezekani mambo yote yawe online tu; kuchat online, kutuma ujumbe online, ku-fake maisha online, uchumba wa online, Mapenzi ya ki-online n.k. Hapana, mengine hayaitaji online.....yanaitaji kuonana uso kwa uso ili yafanyike. Mambo ya online wakati...
Binafsi napenda sana biashara za mtandaoni. Kama kuna mtu anaweza nisaidia biashara ya online ambayo siyo ya kushirikisha mtu kama ilivyo Forex, kama inalipa, naahidi kumlipa pesa ili mradi anielekeze jinsi gani inafanyika na jinsi gani naweza nufaika nayo iwe na low risk.
0712083454
Najua mjamaa alikopi kutoka nchi za watu ila kakopi jambo jema. Sasa ni siri ya mtu binafsi, maana enzi zile unakatwa makato na bank mara bodi ya kahawa mara makato ya NHIF. Unaambulia kiduchu na mandezi ya masijala yanakodolea salary slips zako basi daaah.
Jipatie Timberland boots original kwa bei ya offer ya Tshs.100,000/= only.Offer hii ni ya mwezi huu tu wa 11.
Wahi kuweka order ujipatie Timbs yako Original kabisa..Unaletewa ulipo kwa Dar na mikoani utatumiwa package yako. Huduma hii ni online ..#ulipo tupo..WHATSAPP/CALL 0652015525
Habari wadau!
Naombeni msaada juu ya vitu vitatu kama kuna mtu yeyote mwenye ujuzi juu yake
1. Forwading company yenye gharama nafuu kidogo?
2. Secondly, mfano nimenunua bidhaa kutoka ama shopping market tofauti ie(aliexpress,ebay,amazon) kwakivipi naweza kuzikusanya ili hii mizigo yote iwe...
Habari wanaJF,
Mimi ni mwalimu wa kike niko Kagera. Nina degree ya elimu kutoka UDOM mwaka 2014 ndio nilimaliza nikiwa na G.P.A ya 3.4. Nina uzoefu wa miaka 4 mpaka sasa nikiwa kazini.
Mimi ni mtu ninayependa sana kujituma, kufanya kazi kwa bidii, ninauwezo mkubwa wa kutumia computer (MS word...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.