In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".
Wakuu, Ninaombeni maelekezo kuhusu kufanya masters online kwa vyuo vya ulaya na marekani, Ni njia gani rahisi ya kufanya hivyo? Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu na hayo mambo.
Ni chuo gani kilicho Bora na Cha uhakika?
Mafunzo yanapatikana kwa muda gani?
Ni majira gani ya kufanya...
Wadau najiuliza swali naomba mwenye jibu aniambie hivi nani anaelipa kodi kwa Serikali ya Tanzania mtumiaji wa hii mitandao au mmiliki wa hii mitandao.
Kama ni miliki kivipi na kama si kweli kwanini asilipie mmiliki, na kama TZ hatufanyi nchi gani zinafanya hivyo? Kwa sababu ingekuwa vizuri...
Salam wapendwa.
Naomba kujuzwa na wajuzi.
Utaratibu wa kusajili hizi blog na website pamoja online TV huko kunakoitwa TCRA.
Je, ni aina gani ya blog? (Inayojihusisha na nini?)
Je, vipi upande wa chennel ya YouTube?
Na je, vip kuhusu website?
NAOMBA KUJUZWA JAPO KWA UCHACHE
Wakuu,
Wadau na wapenzi wa games njoeni tupeane maujanja ya kucheza Dream league game online,offline na local multiplayer.
Natumia kikosi cha Liverpool hiki hapa
Sifa ya wachezaji wangu wote wana urefu wa 204CM inaniwezesha kucheza kwa kujiamini wana kasi,mipira ya juu naichukua vizuri.
Pia...
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA) ikitumika vizuri katika sekta ya elimu itasaidia kujenga mazingira mazuri na kuwezesha kuwepo kwa mbinu bora katika ufundishaji na ujifunzaji. Nimetembelea tovuti mbalimbali za elimu hapa TANZANIA, Nimeona mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu hasa...
Kumekuwa na tabia ambayo ni very common haswa kwenye hizi online media sio zote lakini asilimia kubwa ya kuandika kichwa Cha habari ambacho akiendani na content ya hiyo video na imekuwa Kama fashion unaweza kukuta kichwa Cha habari kinasema "Country Boy amtolea kauli chafu Ommy Dimpoz" ukifungua...
Mwaka huu namalizia diploma yangu ya civil engineering Mungu akioenda. Malengo yangu niunganishe degree ya kozii hii, ila kwa online university huku nafanya kazi za civil engineering technician.
Je, inawezekana? Na kama itawezekana ni vyuo gani hapa duniani ambavyo vyeti vyake vitakubalika na...
According to the university management, more than 20 students taking Master of Arts in Environmental Law and Master of Arts in Environmental Policy sat their examinations from the comfort of their homes.
“We used Google platforms to administer our exams-first we invited our students to Google...
Kwemaa ,wakuu ..
Naomba msaada nahitaji application au website za kuangalizia mechi online, maana nipo sehemu ambayo hakuw uinyeshaji wa mpira, kwa week kadhaa nmekuwa namiss bundesliga
Ila leo nimepania nisikose game
Uzi tayari, nawasilisha
Ni jambo la kisikitisha sana RC wa Dar es Salaam kutoona umuhimu wa elimu kwa watoto katika kipindi hiki cha mlipuko wa Corona na kudakia mambo ya wabunge yasiyomhusu.
RC Mtaka anapambana watoto wasome online kipindi hiki, huku RC DSM anapoteza muda mwingi katika media kwa mambo yasiyo ya...
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania kuiptia Kamati ya Maudhui imesitisha leseni ya utoaji wa huduma za maudhui mtandaoni ya Mwananchi Newspaper kwa kipindi cha miezi sita, na kuwapiga faini ya Tshs milioni 5.
Adhabu hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa Aprili 13 kupitia mitandao ya kijamii...
Footage has emerged of Barack Obama giving a clear and concise way for the United States to effectively combat a pandemic – back in 2014.
As Donald Trump continues to deflect blame for the spread of coronavirus in the US, it would appear that his predecessor already had a plan in place to fight...
Utangulizi
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
A new draft law that could make it easier for foreigners to gain permanent residency in China has stirred up a torrent of xenophobia online.
The proposal, released by the justice ministry last week, has been gathering billions of views and a flood of angry posts on social media, targeting...
Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na inawezekana kufanya hivyo ila kikwazo ni Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa ku withdraw hela . Kwakuwa...
Fortune favours the bold and Ivy Kungu is one girl who decided to go after her fortunes from a tender age.
Born in Baltimore, Maryland, her everyday looks and creative makeup concept have made her a huge hit across all her social media platforms.
According to networthstats.com, the young...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.