oppo

Guangdong OPPO Mobile Telecommunications Corp., Ltd, commonly referred to as OPPO, is a Chinese consumer electronics and mobile communications company headquartered in Dongguan, Guangdong, in China, and known for its smartphones, Blu-ray players and other electronic devices. A leading manufacturer of smartphones, OPPO was the top smartphone brand in China in 2019 and was ranked No. 5 worldwide. It is a subsidiary of BBK Electronics. It is a part of BBK Electronics Corporation along with Vivo, Realme and OnePlus.

View More On Wikipedia.org
  1. Mad Max

    Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

    Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake. Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo. Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana. Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo...
  2. Kilangi masanja

    Oppo Reno 7 Chinese version

    Habari wadau humu jukwaaani, Kama pengine kuna member ana simu tajwa hapo juu maybe imekufa mashine au shida ingine. Mimi mdau mwenzake nina uhitaji wa kioo cha simu kama hiyo, kama yupo anicheki inbox au anijibu post yangu kisha tuone namna ya kuweza kufanya biashara nae. Sihitaji kuingia...
  3. Rumi96

    Phone4Sale Nahitaji simu second hand, Vivo, Oppo au Sony.

    Wakuu, hoping mko salama. Nahitaji simu second hand, isiwe ya wizi, ikiwa na receipt au used toka nje itakua vema zaidi. Iwe miongoni mwa brands tajwa hapo juu. Specs 1. Resolution iwe na 1080x2400 au zaidi 2. RAM 6 au above storage 128. 3. Battery 4000 au above 4. Dual simu (ikiwa na esim)...
  4. steve_shemej

    Phone4Sale Nauza simu za aina mbalimbali

    VIVO Y71 RAM 6 STORAGE 128 Moja tsh 100000 Jumla kuanzia tatu 92000 tu Pia unaweza kuagiza china kwa bei za viwandani Tupo kariakoo karibu dukani pia mkoani unatumiwa Call/whatsap +255713861567
  5. Lil Sanguine

    Simu za oppo kuuzwa kwa bei chini

    Kwa miezi takribani mitatu iliopita tumeshuhudia simu za oppo zikianza kuuzwa kwa bei ndogo kuliko kawaida kwenu wataalamu wa simu mnafikiri inatokana na nini?
  6. KingsStore

    Karibu ujipatie Bidhaa za kielectronic simu, PC, Tablet, Fridge, Sabufa na Tv kwa uaminifu mkubwa

    Bidhaa zote za kielectronic Simu, Pc, Tablet, Sabufa, Tv na Fridge vinapatikana kwa bei rahisi sana, simu zetu zipo used from Dubai na Full boxed mpya kabisa tunauza Iphone, Samsung, Google pixel, Sony, Oppo na Infinix warranty ni uhakika Tv pia zipo Hisense, Samsung ukubwa tofauti tofauti...
  7. Mamaya

    Xiaomi vs Oppo nichukue ipi?

    Wakuu habari, Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine nibaki kwenye brand ya oppo, lakini bado sijui ipi itanifaa ,au niende kwa redmi tu, bajeti yangu ni...
  8. DEICHMANN

    Natafuta App inaitwa dexcon tun 8

    Habarini Naomba mwenye link ya App inaitwa dexcon tun 8 nimeitafuta sijaipata bila mafanikio.
  9. Msokwa1

    Phone4Sale NAUZA SMARTPHONE OPPO R7 PLUS

    nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:- 64GB storage 4GB ram 6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana 13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora wa hali ya juu. napatikana bagamoyo pwani kwa simu nambari 0748106950 nahitaji 130k kwa hii simu...
  10. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Mwanza: Oppo A93, ram 8Gb rom 128 Gb inauzwa

    Habari waungwana. Simu tajwa hapo juu inauzwa Ipo mabatinj Mwanza unapewa na risiti * box used for 36 weeks only 290,000 Tu 0744 033 555
  11. Burnaboy

    Msaada ninunue sm gani kama upgrade ya Oppo A93?

    Solved
  12. Dr Matola PhD

    Mwenye ufahamu kuhusu hizi simu za Oppo ,A57 hebu tujuzane, nimezikuta Dubai nataka nizizowe ila sina ufahamu nazo.

    Wakuu kwenye misele yangu Dubai Mimi sio mfanyabiashara wa simu ila nimezikuta hizi simu OPPO A 57 bei zake imenivutia nizibebe kadhaa kupatia uchakavu bongo, je ubora wa hizi simu ukoje? Nisije kwenda kuwauzia watu simu Bomu nikaitwa tapeli, binafsi Mimi sizijui simu hizi.
  13. Ok9

    Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

    Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16 Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi nyuma... Nichambulieni ipi itakuwa zaidi ya mwenzake
  14. mbinda_smartphones

    Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  15. J

    Naomba msaada wa jinsi ya kuweka global rom kwenye oppo a57

    Naomba msaada oppo yangu a57 ina chinnes rom nahitaji kuweka global rom, nipatieni maelekezo zaidi
  16. Nafaka

    Apple kawashinda Xiomk, Oppo na Vivo kwenye uwanja wa nyumbani

    Kwakweli Apple na product yake ya iPhone ni kama vile ni unstoppable, iPhone 13 imefanya vizuri sana na kuirudisha apple kwenye nafasi ya 1 kwa mauzo na mapato nchini China. Kama mnakumbuka kuna kipindi ilifanyika kampeni ya kushusha mauzo ya iPhone China ili kupandisha mauzo ya simu...
  17. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Oppo A15 for sale, DSM

    Oppo A15 full box ram 3/rom 32gb used miezi mitatu tu ipo kimara mwisho, Bongo Dsm bei: 260,000. 0713096076
  18. Mesorphine

    Naomba kujua kama kuna baranch ya simu ya oppo Arusha mnisaidie location au kaskazini sehemu yoyte

    Hello wanajamvi natumaini mko njema tukiendelea kupambana na hali ya Baba Wa Taifa Kwa kifupi ndugu zangu nahitaji kununua simu aina ya Oppo lkn nilipo upatikanaj wake mdogo n kupata ile nahitaji Ila naweza fika Arusha au kati ya Arusha na moshi kununua hivyo nilikua naomba kama kuna mtu...
  19. luangalila

    Ipi simu kali kati ya Oppo vs vivo

    Wadau mlio na experience ya kutumia simu toka katika izi chapa 2 ni ipi Kali kuliko mwenzie
  20. O

    Phone4Sale Pata simu kali za oppo hapa kutoka oppo brandshop China plaza

    habari karibuni dukani kwetu ujipatie simu kali za oppo . oppo a15 ram 2 gb storage 32gb Front Camera: 5MP✅ Rear Camera:13MP + 2MP + 2MP✅ RAM: 3 gb✅ Storage:32GB✅ Battery Capacity 4230mAh✅ OSAndroid 101✅ Warranty 2year ✅ karibu sisi ndio the only oppo brandshop in tanzania Price 2GB ram...
Back
Top Bottom