oppo

Guangdong OPPO Mobile Telecommunications Corp., Ltd, commonly referred to as OPPO, is a Chinese consumer electronics and mobile communications company headquartered in Dongguan, Guangdong, in China, and known for its smartphones, Blu-ray players and other electronic devices. A leading manufacturer of smartphones, OPPO was the top smartphone brand in China in 2019 and was ranked No. 5 worldwide. It is a subsidiary of BBK Electronics. It is a part of BBK Electronics Corporation along with Vivo, Realme and OnePlus.

View More On Wikipedia.org
  1. Mtafiti77

    OPPO F15 halisi na mpya unaipata kwa bei gani hapo mjini kwenu?

    Ndugu Mashabiki wa OPPO nipo katika savey ya simu tajwa. Ninalinganisha bei nipate uelewa. Je, kwa sasa simu hizi zikiwa mpyaa, OG zinacheza shilingi ngapi hapo mjini kwenu? Wale mliopo jirani na maduka makubwa tafadhali ninaomba msaada kufahamu. Shukrani
  2. MR LINKO

    Phone: Wapenzi wa simu za Oppo

    hizi ni aina tofauti za simu aina ya OPPO unaweza angalia na kusafisha machoo.. Nimeangalia hadi zimenichanganya akili.
  3. monotheist

    Phone4Sale Nauza oppo A9 2020

    Ram 8gb ROM 128gb Betty 5000mAh Double line Chpset Snapdragon (11nm) Tsh 280,000 Inacrecks kidogo haina atizo lolote zaidi inapiga kazi freshi 0692402211
  4. monotheist

    Msaada: Jinsi ya ku-update Android 10 to Android 11/12 kwenye Oppo A9 2020

    Wajuvi natumia Oppo A9 2020 yenye RAM 8gb na ROM 128gb Mimi ni mgeni kwenye hizi simu yeyoye anayejua Jinsi ya ku-update Android kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nawasilisha.
  5. BUMIJA

    Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

    Wadau naomba mnijuze, Je, ni simu gani hapo ina ubora zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
  6. Kimbioko

    Watumiaji wa sim za OPPO

    Nimenunua simu aina ya oppo A37f kwa wachina wa Kikuu. Tatizo kila nikijaribu kuwasha data naona hairespond kabsa japokuwa inaonesha kwenye bar 3G. Je tatizo linaweza kuwa ni simu au settings tu. Mweny ujuz na uzoefu na hili msaada please.natumia line ya voda
  7. Almendezz

    OnePlus, Oppo, Huawei, Samsung na Sony zote zashinda tuzo za EISA 2020-2021

    Kamati ya EISA imekagua simu janja ambazo zilizindua mwaka huu na kuzawadiwa bora zaidi kati yao - hapa ndio washindi. The OnePlus 8 Pro walipata tuzo bora ya Smartphone. Jopo la waamuzi lilifurahishwa na jinsi kifaa huchanganya muundo na cutting edge, ikionyesha display ya 120 Hz 1440p +...
  8. Niache Nteseke

    Phone4Sale Oppo F1s ipo sokoni wakuu

    Heshima kwenu wakuu, Natumai mpo vyema kabisa simu tajwa hapo juu ipo sokoni na ipo vizuri kabisa haina tatizo lolote. Internal memory 64 GB Ram 4 GB Simu ipo Tabata, bei 230,000/-. Karibuni.
  9. The Assassin

    Wataalamu wa simu ipi kali kati ya One Plus 8 Pro na Oppo Find X2 Pro

    Natamani ku-test the difference kwenye hizi simu za kichina. Mimi ni mpenzi wa hizi display za Samsung za curved na amoled au oled screen. Sasa hizi brand za kichina zina-offer the same screen design and displays. Na pia zinatoa premium specifications kwa bei ya chini ya hizi za Samsung au...
  10. J

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    MAANA YA ku-ROOT ku-ROOT maana yake ni kuweza kupata uwezo au access ya system files zilizopo kwenye simu yako ambazo kwa kawaida zinakuwa zimejificha au kuzuiwa kwa mtumiaji ili asiweze kuzifikia , kwa kiingereza naweza kusema its an ability to obtain administrative access or rights on the...
Back
Top Bottom