orlando pirates

Orlando Pirates Football Club (often known as Pirates) is a South African professional football club based in the Houghton suburb of the city of Johannesburg and plays in the top-tier system of Football in South Africa known as Premier Soccer League, The team plays its home matches at Orlando Stadium in Soweto.
The club was founded in 1937 and was originally based in Orlando, Soweto. They are named 'Pirates' after the 1940 film The Sea Hawk starring Errol Flynn. Orlando Pirates are the first club since the inception of the Premier Soccer League in 1996 to have won three major trophies in a single season back to back, having won the domestic league ABSA Premiership, the FA Cup Nedbank Cup and the Top 8 Cup MTN 8 during the ABSA Premiership 2010–11 season and domestic league ABSA Premiership, the League Cup Telkom Knockout and the Top 8 Cup MTN 8 during the ABSA Premiership 2011–12 season. They are one of only two South African teams with Mamelodi Sundowns to win the CAF Champions League, which they won in 1995. They are the runners-up of 2015 CAF Confederation Cup.Orlando Pirates drew an average home attendance of 14,533 in the 2016-17 domestic league season. It became the second-highest in the league.

View More On Wikipedia.org
  1. Singasinga

    Msaada link ya final NEDBANK CUP Mamelodi vs Orlando Pirates

    Wakuu msaada tafadhali wa link niweze kuangalia mechi hiyo kupitia simu.
  2. B

    Asanteni sana Orlando Pirates kwa kunipa furaha siku ya leo

    Orlando Pirates ndio timu ninayo ipenda kuliko timu yoyote ile duniani. Asanteni sana kwa kuwapiga Amakhosi goli moko leo. Credit: Ukurasa wa instagram wa Likudd wa Jamii Forums. Cc LIKUD Kumbe Likud ni shabiki wa Pirates? Sikujua hilo
  3. N

    Kuanzia round ya kwanza: tuwaombee njaa Orlando Pirates wako uwanjani muda huu

    Yaani tungeingia nusu fainali , hizi habari za kuombeana njaa wala zisingekuwepo kwa kweli maana kama siyo namba 9 tungekuwa wa 10. Anyway wakati dua mbaya tunaelekeza kwa Etoile du sahel ya Tunisia na Es Setif ya Algeria kumbe wale wapuuzi wa soweto Orlando pirates walikuwa na viporo vitatu na...
  4. N

    Habari mbaya kwa Makanjanja: kocha chizi la Orlando Pirates aiomba msamaha Simba na CAf

    Habari hii ndugu zangu wana jukwaa hamtaisikia ikiongelewa kwenye "media" zetu za HOFYOHOFYOOOOOO makanjanja huko yalipo yamekunja hadi sura maana week hii wamejaribu kufanya yooote kutingisha wana simba waapiiii raia wamekausha tu kimya lengo lao la kuleta mgogoro limeshindikana Team kushika...
  5. Ibrahim daud

    FT: RS Barkene 1-1 (5-4) Orlando Pirates final

    HT 0-0 Orlando 77% to win Zbc live Kipindi Cha pili kimeanza ========================== RS Berkane yatwaa ubingwa kwa penati RS Berkane ya Morocco imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuifunga Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwa penati 5-4 katika fainali iliyochezwa...
  6. kavulata

    Orlando Pirates na RS Berkane wanacheza final ya champions ingawa zote zilifungwa kwa Mkapa. Hii ina maana gani?

    Timu za Berkane na Orlando Pirates zimefika hatua ya final mashindano ya caf championship, Hii ni mara ya pili kwa timu ambazo zilifungwa na Simba kwenye uwanja wa Mkapa kufika hatua ya kucheza fainali kwenye mashino ya CAF. Hii ina maana gani kwa timu ya Simba, uwanja wa Mkapa na timu zetu za...
  7. K

    Kitendo cha Simba kuwasha moto uwanjani dhidi ya Orlando Pirate hakitawaharibia?

    Kabla ya mchezo baina ya Simba na Orlando Pirates Simba walifanya kituko cha kuwasha moto na kuweka duara kwa kuzunguka ule moto. Je, hiki kituko hakitawaharibia?.
  8. M

    Wachezaji wa Kigeni wa Kubakia Simba SC kwa Jicho langu Kali la Kiufundi baada ya Kufurumushwa rasmi na Orlando Pirates FC jana ni hawa tu....

    1. Joash Onyango 2. Henock Inonga 3. Clatous Chama 4. Pape Ousmane Sakho 5. Bernard Morrison 6. Peter Banda Ambao sijawataja hapa waachwe upesi sana Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ukimalizika tafadhali kwani hawana Jipya, hawa Msaada kwa Timu na Wameshachoka. Sina desturi ya Kukosea Kiuchambuzi.
  9. M

    Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

    1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake 2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini 3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani 4. Ana Utoto mwingi 5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu 6. Anajiamini sana mpaka kujisahau 7. Ana Ushamba ambao haujifichi Nina uhakika kwa Ball Control yake...
  10. Ghazwat

    Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

    Kabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup (CAFCC), hatua ya robo fainali kuendelea kutimua vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates anapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika...
  11. M

    Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM: Malalamiko ya Kipuuzi ya Kocha wa Orlando Pirates FC hayayahusu Simba SC hata kidogo na popote pale

    "Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu kupata Usumbufu Uwanja wa Ndege hayo ni ya UHAMIAJI na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kucheleweshwa Barabarani hayo ni Masuala ya Jeshi la Police na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu Hoteli...
  12. M

    Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

    Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza. Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la...
  13. Little brain

    Kocha wa Orlando Pirates aapa kulipiza kisasi kwa hujuma alizofanyiwa na Simba

    Hawaja tu-treat vizuri, unaweza ukashangaa V.A.R Imewekwa lakini haijafanya kazi...! Kiufupi hawakustahili kushinda lakini Nina swali kwao Iwapo na sisi tutawafanyia hivyo mechi ijayo watajisikiaje? Kocha wa Orlando Pirates, Mandla Cinkazi.
  14. Little brain

    Kilichotukera Orlando Pirates sio Penati ya kubebwa au maamuzi ya V.A.R kilichotukwaza ni vile vitochi vya kishamba

    Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi Banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote. Karibuni South Africa.
  15. Little brain

    Natabiri yatakayotokea kwenye mechi ya leo Kati ya simba na orlando pirates

    Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba. Lwanga atapewa kadi mbili za njano Kapombe au sakho mmoja atapata injury Kennedy juma atachomesha goli 1 Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
  16. Christopher Wallace

    Tutangulize Uzalendo mbele kwenye mchezo wa Simba Vs Orlando Pirates

    naweka silaha chini, kila la heri mnyama mkubwa kesho dhidi ya Orlando Pirates. Mkipata goli 3 itakuwa advantage kubwa sana kuelekea mchezo wa marudiano na hatua muhimu kuelekea robo fainali. Wito kwa sisi mashabiki wa Yanga, tujitunze kuwasapoti watani zetu katika hatua hii muhimu, baada ya...
  17. Dr Matola PhD

    Kuelekea mechi ya kesho dhidi ya Simba Orlando pirates wamepata advantage kubwa ya match fitness kutoka kwa Mamelodi Sundowns.

    Save water drink beer. 🥃🥃 Pasaka njema mimi nimeshaanza kuzitwanga.
  18. Christopher Wallace

    Hii ndio rekodi ya Orlando Pirates katika michuano ya Kombe la Shirikisho msimu huu

    Rekodi hii imenitisha, mpaka utumbo umecheza kwa zile beki zile ambazo hazijui kuruka mipira ya krosi kuna maafa makubwa sana. Naiona balaa kubwa sana, yajayo hayafurahishi
  19. W

    Imekuwaje Kenya iliyosimamishwa na FIFA kujihusisha na shughuli za kimichezo imetoa muamuzi wa kisimamia mechi ya CAF CC ya Simba Vs Orlando Pirates?

    Habari wana jukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu, Mnamo tarehe 22/02/2022 shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) lilizipiga marufuku nchi za Kenya na Zimbabwe kujihusisha na shughuli zozote za soka kutokana na Serikali zao kuingilia mashirikisho ya soka ya nchi hiyo kitu...
  20. Ghazwat

    CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

    Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limeruhusu mashabiki 60,000 kuingia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mtanange, hatua ya Robo Fainali kati ya Simba SC kutoka mitaa ya Msimbazi Jiji Dar es salaam, dhidi ya Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa...
Back
Top Bottom