Orlando Pirates Football Club (often known as Pirates) is a South African professional football club based in the Houghton suburb of the city of Johannesburg and plays in the top-tier system of Football in South Africa known as Premier Soccer League, The team plays its home matches at Orlando Stadium in Soweto.
The club was founded in 1937 and was originally based in Orlando, Soweto. They are named 'Pirates' after the 1940 film The Sea Hawk starring Errol Flynn. Orlando Pirates are the first club since the inception of the Premier Soccer League in 1996 to have won three major trophies in a single season back to back, having won the domestic league ABSA Premiership, the FA Cup Nedbank Cup and the Top 8 Cup MTN 8 during the ABSA Premiership 2010–11 season and domestic league ABSA Premiership, the League Cup Telkom Knockout and the Top 8 Cup MTN 8 during the ABSA Premiership 2011–12 season. They are one of only two South African teams with Mamelodi Sundowns to win the CAF Champions League, which they won in 1995. They are the runners-up of 2015 CAF Confederation Cup.Orlando Pirates drew an average home attendance of 14,533 in the 2016-17 domestic league season. It became the second-highest in the league.
Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2022 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, waamuzi watatumia msaada wa video (Video Assistant Referee-VAR) ili kuhakikisha maamuzi...
Akiivusha Simba SC kwenda Nusu Fainali ya CAFCC dhidi ya Orlando Pirates FC atakuwa ameponya Kufukuzwa (kuwa Sacked) Msimbazi, ila tayari Matajiri wa Orlando Pirates FC nao wameshampa Ofa (tena Kubwa tu) kama akikubali kutua Kwao muda wowote kuanzia sasa.
GENTAMYCINE ningekuwa ndiyo Kocha Pablo...
Kama kawaida yenu ili muaminike Kinafiki, mpewe Vipesa vya hapa na pale na muhaidiwe kuwemo katika 'Trip' ya South Africa mmeshaanza sasa katika Redio zenu, Mitandao yenu na Magazetini Kwenu Kuisifia ( Kuipamba ) Simba SC na Kuwadharau Wapinzani wao akina Orlando Pirates FC ya Afrika Kusini...
Amini usiamini Pirates wamefanya vizuri kwenye kundi lao lakini mashabiki wao hawana imani na wachezaji wengi team na haswa kocha wao sasa kumbe CEO wa pirates alikuwa busy kumpa offer nono Bwana Pablo ambaye kakataa akiamini analo jukumu la kukamilisha simba
Siku nasikia kocha huyu wa zamani...
Droo ya Robo fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kufanyika leo saa 10 jioni.
Simba Sports Club wakiwa Wawakilishi pekee wa Tanzania Wanataraji kukutana na timu moja ya TP Mazembe ya DR Congo, Al Ahly Tripoli ya Libya na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Soma...
Si tunajiamini kuwa Simba ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC jana Aprili 4, 2022 kwa uwezo wetu na tuna jeuri ya kucheza na timu yoyote Afrika, sasa kwa nini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates...
Ni vile tu tumezungukwa na majinga sana nchi hii ila simba kwa sasa ishajiweka kwenye level fulani kubwa sana soma mwenyewe comments za wana orlando pirates wakitamani wasipangwe na simba kwenye draw ya kesho.
Breaking: Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe.
Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote kwa kufilisiwa baada ya kuachana na mkewe Thando Maseke ambaye ni raia wa Afrika kusini.
Taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.