George Alfred Grant, popularly known as Paa Grant (15 August 1878 – 30 October 1956), was a merchant and politician in the Gold Coast who has been called "the father of Gold Coast politics". As a political activist, he was a founder and the first president of the United Gold Coast Convention (UGCC) in August 1947. He was also one of Ghana's Founding Fathers. He paid for Kwame Nkrumah to return to Ghana from the United States.
Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka...
Uvunaji wa maji ya mvua husaidia sana kuondoa shida ya maji. Kwa paa kama hili ni rahisi kukusanya maji na kuyahifadhi katika kisima ulicho kiandaa.
Wakati wa ujenzi unapanga sehemu ya vyoo na mabafu yawe upande mmoja na septic tanks ziwe upande huo. Upande wa pili unandaa kusima cha maji...
Wale mabingwa wa uezekaji paa, wanaojua kuweka mlalo mzuri wa kupendezesha nyumba,kwa mabati ya muundo wa vigae, tuwekeeni sample, ikiwezekana na bei ili wateja tujichange kwa kazi.
Nyumba za contemporary au hidden roofing zimekuwa ni moja ya staili ya nyumba ambazo watu wengi kwa sasa wanapenda kuzijenga haswa vijana maana ndizo zilizo za ‘kisasa’ kwa sasa! Nyumba hizi zimekuwa zinavutia watu wengi sababu ya mwonekano wake wa boksi, ubapa na kona nzuri zilizoibeba nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.