padri

The Padri War (also called the Minangkabau War) was fought from 1803 until 1837 in West Sumatra, Indonesia between the Padri and the Adat. "Padri" were Muslim clerics from Sumatra who wanted to impose Sharia in Minangkabau country in West Sumatra, Indonesia. "Adat" comprised the Minangkabau nobility and traditional chiefs. The latter asked for the help of the Dutch, who intervened from 1821 and helped the nobility defeat the Padri faction.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Nigeria: Padri aliyetekwa auawa, mwingine afanikiwa kutoroka

    Watekaji wamemuua Padri John Mark Cheitnum katika Jimbo la Kaduna Nchini Nigeria ikiwa ni siku chache tangu iliporipotiwa kuwa ametekwa Julai 15, 2022. Tamko lililotolewa na Kanisa Katoliki la Kafanchan limetangaza msiba huo huku padri mwenzake ambaye walitekwa pamoja, Donatus Cleophas...
  2. Sol de Mayo

    Kenya: Mwehu avamia misa na kumpiga padri

    Mwanaume aliyechanganyikiwa akili (mwehu), amevamia kanisani wakati misa ikiendelea na kumpiga padri kisha kupora biblia. Video ya tukio hilo imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ambapo taarifa zinaeleza kuwa limetokea Kisumu nchini Kenya katika kanisa moja la Kikatoliki.
  3. Mwanamayu

    Mwezi Aprili 2022 ilikuwa Dar, sasa Juni 2022 Padri wa White Fathers kukutwa amekufa kwenye mazingira ya kutatanisha Mbeya

    Jijini Dar es Salaam, mwezi wa nne mwaka huu Padri wa Shirika la White Fathers, Kanisa Katoliki, alitoweka na mwili wake kukutwa kwenye tank la maji akiwa hana uhai. Padri huyo alikuwa ni Raia wa Zambia. Jijini Mbeya, mwezi huu Padri mwingine wa shirika hilo hilo kutokea Malawi alitoweka na...
  4. D

    Uchambuzi na upelelezi wa tukio la kifo cha padri Francis uanzie hapa

    Katika upelelezi wa matukio kama haya huwezi kuacha kuangazia (last moment ya marehemu) Marehemu padri Francis katika mahubiri yake ya misa takatifu jumapili ya matawi! Sehemu kubwa ya mahubiri yake alilalamika jamii kusema vibaya watu, alisisitiza kwamba yeye kama paroko anasemwa vibaya sana...
  5. Mukulu wa Bakulu

    Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

    Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana. Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi. Soma mwenyewe hapa
  6. Inside10

    Ufafanuzi wa Meja, Padri, Dr Henry Rimisho

    Jambo kubwa lililopamba mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu Ardhi (ARU) yaliyofanyika juzi, ni uwepo wa mhitimu wa Shahada ya Uzamivu, ambaye ni padri aliyepitia pia mafunzo ya kijeshi. Padri huyo, Dk Henry Rimisho wa Shirika la Mitume wa Yesu la Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, amevuta...
  7. B

    Historia ya Kanisa Katoliki Tanzania

    HISTORIA YA KANISA KATOLIKI TANZANIA Jubilei ya Miaka 150 ya uinjilishaji Tanzania: Furaha ya Injili KANISA Jubilei ya Miaka 150 ya Uinjilishaji Tanzania: Furaha ya Injili Kanisa lililo hai ni lile, linalojiweza katika uinjilishaji, utawala na kujitegemeza. Kanisa la Tanzania limepiga hatua...
Back
Top Bottom