Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Nikianza na Taarifa zangu za awali.
Age: 24
Jinsia: mwanaume
Kuoa: Sijaoa
Urefu: 5.9ft
Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg
Ulemavu: Sina ulemavu
Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia.
Upande wa familia: Akuna mwenye shidaiyo au alishawai kuanao Kiujumla Hakuna.
Ninapoishi kwa Sasa...
Two weeks ago nilikuwa Chuo cha Mwalimu Nyerere kulikuwa na Event ya vipaji na ndipo nilikutana na Daz Baba Aisee huyu Jamaa amechoka Sana nadhani Pombe ndo zimemmaliza.
Kiufupi wasanii Kama hawa Kina Daz-Baba Walioimba nyimbo nzuri za kuhelimisha jamii wanabidi wakumbukwe na kusaidiwa.
Daz...
Dar es Salaam, 18/11/2021; -NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Kayumba Asosie almaarufu 'Kayumba' ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake ya kwanza iliyobeba jina la ‘Sweet Pain’.
EP hiyo imebeba ngoma sita za moto ambazo ni ‘Mapenzi Yanauma’, ‘Bombaa Remix ft Nadia Mukami’, ‘Baishoo’, ‘Move On...
A French footballer who was born in Senegal and played for major clubs in France as well as the French national squad has been in a coma for almost 38 years due to a mistake his doctor made while putting him to sleep for surgery to repair a torn ligament.
He was 34 when he went into a coma...
MAUMIVU YASIYO KWISHA(ENDLESS PAIN)...!!
.
Sehemu ya kwanza.
.
Mwaka 2016 ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuingia chuoni, ilikua katika chuo cha kimataifa cha Kampala.
Naikumbuka siku yangu ya kwanza nilikua naonekana mnyonge sana, hasa kutokana na ugeni wangu na kila mmoja ndani ya darasa...
Wazee wa Pochi NENE mpo?
Wavulana wengi wana tabia ya kuweka mkoba (WALLET) yenye inchi nusu au zaidi ikitegemeana na wingi wa vitu vilivyopo kwenye mkoba huo kwenye mfuko wao wa nyuma wa nyonga ambao unaweza kuleta maumivu ya mgongo, kiuno, misuli, mifupa na mbali zaidi kuleta madhara kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.