pain

  1. TUKANA UONE

    Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

    Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno. Tafadhali msaada wenu.
  2. MrWings

    Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

    Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
  3. Ja Mara

    Nina Tatizo la "myofascial pain -Trigger point " naombeni msaada madoctor

    Nikianza na Taarifa zangu za awali. Age: 24 Jinsia: mwanaume Kuoa: Sijaoa Urefu: 5.9ft Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg Ulemavu: Sina ulemavu Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia. Upande wa familia: Akuna mwenye shidaiyo au alishawai kuanao Kiujumla Hakuna. Ninapoishi kwa Sasa...
  4. DR HAYA LAND

    Daz Baba siku hizi anakunywa Sana Pombe, kaisha kweli

    Two weeks ago nilikuwa Chuo cha Mwalimu Nyerere kulikuwa na Event ya vipaji na ndipo nilikutana na Daz Baba Aisee huyu Jamaa amechoka Sana nadhani Pombe ndo zimemmaliza. Kiufupi wasanii Kama hawa Kina Daz-Baba Walioimba nyimbo nzuri za kuhelimisha jamii wanabidi wakumbukwe na kusaidiwa. Daz...
  5. N

    Kayumba adondosha EP ya Sweet Pain

    Dar es Salaam, 18/11/2021; -NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Kayumba Asosie almaarufu 'Kayumba' ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake ya kwanza iliyobeba jina la ‘Sweet Pain’. EP hiyo imebeba ngoma sita za moto ambazo ni ‘Mapenzi Yanauma’, ‘Bombaa Remix ft Nadia Mukami’, ‘Baishoo’, ‘Move On...
  6. Olkeriani

    A story of LOVE, PAIN & TEARS | John-Pierre Adams a French footballer, who has been in a coma for almost 39 years

    A French footballer who was born in Senegal and played for major clubs in France as well as the French national squad has been in a coma for almost 38 years due to a mistake his doctor made while putting him to sleep for surgery to repair a torn ligament. He was 34 when he went into a coma...
  7. Kasomi

    Maumivu Yasiyo kwisha (Endless Pain)

    MAUMIVU YASIYO KWISHA(ENDLESS PAIN)...!! . Sehemu ya kwanza. . Mwaka 2016 ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuingia chuoni, ilikua katika chuo cha kimataifa cha Kampala. Naikumbuka siku yangu ya kwanza nilikua naonekana mnyonge sana, hasa kutokana na ugeni wangu na kila mmoja ndani ya darasa...
  8. F

    Pain but true

    hamna namna
  9. Swahili AI

    Fahamu madhara ya kukaa kitako na Wallet yako ikiwa mfuko wa nyuma

    Wazee wa Pochi NENE mpo? Wavulana wengi wana tabia ya kuweka mkoba (WALLET) yenye inchi nusu au zaidi ikitegemeana na wingi wa vitu vilivyopo kwenye mkoba huo kwenye mfuko wao wa nyuma wa nyonga ambao unaweza kuleta maumivu ya mgongo, kiuno, misuli, mifupa na mbali zaidi kuleta madhara kwenye...
Back
Top Bottom