Pambano limepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Wembley, Aprili 29, 2023 lakini halitakuwepo baada ya Oleksandr Usyk kumtupia lawama Fury.
Timu ya Usyk imedai licha ya Fury kunufaika katika mgawanyo wa malipo kwa asilimia 70-30 lakini ametoa masharti mengi ambayo yameonekana kumkwaza Usyk...
Kumbuka pambano la Mandonga halikuwa pambano kuu, lilikuwa ni pambano la ufunguzi tu hivyo pesa aliyopewa inaweza isifikie hata iliyotajwa/
Pambano lilijaza nyomi ya wakenya zaidi ya elfu 6 waliojaza ukumbi wa KICC jijini Nairobi.
Kwa wale ambao hawakuweza kufika hasa wa Mombasa, Nakuru...
KENYA: MANDONGA AMCHAKAZA MKENYA KWA TKO
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi huo wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati ‘Super-middleweight’
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo...
Licha ya kusubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa mchezo wa ndondi, pambano hilo limeishia Raundi ya Kwanza kutokana na Iddy Pialali kupata majeraha baada ya kugongana na mpinzani wake.
Wakati wakirushiana makonde Pialali alionekana akilalamika, baada ya mwamuzi kusimamisha ndipo ikabainika...
Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa (TPBRC) imemsimamisha kwa muda Mwamuzi Habib Mohammed 'Mkarafuu' ambaye alichezesha pambano kati ya Karim Mandonga dhidi ya Salim Abeid hadi atakapopata Mafunzo ya Uamuzi.
Wali, Rais wa TPBRC, Chaurembo Palasa aliufuta mchezo huo wa Septemba 24, 2022 kutokana na...
Bondia Floyd Mayweather leo amerudi ulingoni dhidi ya Bondia Mjapan Mikuru Asakura katika pambano la maonesho la uzito huru lililochezwa Japan.
Katika pambano hilo Mayweather amefanikiwa kushinda kwa KO round ya 2 na kufanya pambo hilo limalizike, Mayweather kabla ya pambano hilo alikuwa...
Rais wa Ndondi Tanzania, amefuta pambano la Karim Mandonga na Salim Ally kutoka Tanga. Pambano lilikuwa la round nne ambalo walipambana hadi mwisho.
Hata hivyo Rais amefuta pambano hilo baada ya referee kutochezesha pambano kwa usawa, ikiwemo kutomuhesabia Mandonga alipoangushwa.
Hello,
Kuna muda hasa utotoni na tukiwa vijana wadogo huwa ni kawaida mtu ajitetee kwa kupigana, Hata wanyama hupigana ili kutafuta haki ama kuonyesha dominance.
Sasa katika mapambano haya kuna muda unakuta huna tofauti na mtu alievamia mtumbwi wa vibwengo, unaishia kuchapika mbele ya hadhara...
Wakuuu hii entertainment inanichosha sana skuizi umekuwa ya kiwaki sana. Mapambano yote bingwa anasaidiwa tuuu inabore sana hawa jamaa watapoteza mashabiki mno.
Kumbuka ukiwa una insult inteligence ya watu kwa kujiona we mjanja kuna wajanja zaidi yako , utaooongea yooote lakini hii issue wazee wa kazi waseme waingilie kati wafatilie hata bettings za nchi mbalimbali kuna aibu nyuma yake
sasa hata bondia aliyekupiga kabaki na butwaa..he
Liam Smith left...
Mabondia Karim Mandonga na Shaban Kaoneka wamerudi tena kwenye headlines kufuatia kauli ya Shaban Kaoneka aliyoitoa jana akizungumza na Wasafi.
"Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa habari wakati mwingine mnakuwa wanafiki, mimi niliyeshinda nakuwa masikini aliyepigwa anakuwa...
Watu wote ambao mnahitaji fundi makini kwa bei nafuu sana, Fundi Umeme na ujenzi SAMICO kashusha bei kwa OFA.
OFA Inaitwa Jenga kwa elfu 50 kwa chumba! Hii ni ofa kwa watu watano tu mwezi wa nane! (Kila chumba kwenye nyumba yako tutachaji elfu 50 tu kufunga kila kitu hadi kukabidhi)!
Ofa hii...
Bondia wa Tanzania Twaha Kassim Lubaha anapambana na Alex Kabangu kutoka Congo DRC kushindania mkanda wa UBO Super Middle weight, African Title ambao hauna mwenyewe
===================
Twaha Kiduku ampiga Alex Kabangu, ashinda Mkanda wa UBO, Mkoani Morogoro
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku...
Mchezo unachezwa Ubungo Plaza kutakuwa na jumla ya bouts 10, mabondia ni wa nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania, Malawi, Zambia na Congo DR
Main card ni Kidunda Vs Katompa. Kidunda hadi sasa ana rekodi ya kushinda kwa KO mapambano yake yote 7. Erick Tshmanga Katompa
Mapambano ya Utangulizi...
Wale wapenzi wa boxing unaweza kuangalia sasa pambano la Canelo vs Plant kupitia link hii Boxing : Canelo Alvare vs Caleb Plant - HesGoal.Com Sports News
Bondia wa ngumi za kulipwa Evander Holyfield(58) ambaye alistaafu mwaka 2011 alirejea ulingoni na kupambana Septemba 12, 2021 katika pambano la maonesho ambapo alipambana na Vitor Belfort(44)
Katika pambano hilo Evander hakuweza kurusha hata ngumi moja dhidi ya mpinzani wake ambapo akapoteza...
Hassan Mwakinyo Vs Julius Indongo
Rounds: 12
Winner: Mwakinyo kwa KO
Title: African Boxing Union Super Welter
Stay there! Matokeo yatawekwa yote ya mapambano ya utangulizi hadi main card
Pambano la kwanza la utangulizi
Fighters: Kazumba Vs Ayoub Athuman
Rounds: 6
Winner: Ayoub Athuman kwa KO...
Na K.S.K
Heshima yenu wana jamvi,
binafsi nimefurahishwa sana na ushindi wa kiduku kwa mara nyingine tena mbele ya dulla mbabe, na baada ya kiduku kubeba crown kumekuwa na hoja nying ya team kiduku wakimtaka/tukimtaka mwakinyo,binafsi sio muumin sana wa kutaka pambano hilo lifanyike mapema ešp...
Au mnasemaje wadau?
====
9 Sep 2020
Bondia namba mbili kwa ubora Tanzania Twaha Kiduku amesisitiza kuhitaji pambano na Hassan Mwakinyo ili afahamike nani bingwa wa nchi.
Kauli hii aliitoa wiki mbili zilizopita ameirudia tena siku ya jumatano alipokuwa anafanya mahojiano na moja ya kituo...
Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amepoteza pambano lake dhidi ya Pavel Silyagin lililopiganwa Moscow, Urusi wakiwa wanawania mkanad wa Asian Pacific mkanda wa WBO ambapo alishindwa kwa points.
Aidha Twaha Kassimu (Twaha Kiduku) amepoteza kwa points katika pambano lake dhidi ya Bek...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.