Pango (stylized as Παν語) is a text (i.e. glyph) layout engine library which works with the HarfBuzz shaping engine for displaying multi-language text.Full-function rendering of text and cross-platform support is achieved when Pango is used with platform APIs or third-party libraries, such as Uniscribe and FreeType, as text rendering backends. Pango-processed text will appear similar under different operating systems.Pango is a special-purpose library for text and not a general-purpose graphics rendering library such as Cairo, with which Pango can be used. The Cairo documentation recommends Pango be used to "render" text rather than Cairo for all but the simplest text "rendering".
Habarini wanajukwaa!!
Nimepata kero hapa mpaka nashindwa kutatua, naombeni kufahamishwa.
Ni hivi nimenunua umeme hapa Ila nimekatwa Makato ambayo sio stahiki Mana mara ya mwisho nilinunua November mwaka jana .
Sasa Leo nimenunua wa 15000 nashangaa wanakata deni 10500 napewa umeme wa 4500 sawa...
Wakuu kuna jambo naomba tuwekane sawa, haswa kwa wale ambao wameshakaa nchi tofauti tofauti kuna taarifa nimeiona huko USA, kuna watu wanaishi kwenye magari kwasababu hawana uwezo wakulipa pango ya nyumba!
Inakuwaje mtu anaweza kumudu kuwa na gari na akalihudumia lakini akashindwa kukodi nyumba...
Wadau hamjamboni nyote?
Kumekucha hukoo
"CCM sio kichaka wala pango la wanyang’anyi. Viongozi wala rushwa na wezi ndani ya CCM sintocheka na nyie na nitawataja na kuendelea kuwasema hadharani daima"
"Bora nifukuzwe kabisa kuliko kukalia kimya rushwa na ufisadi unaofanywa kwa wachache na...
Mgomo wa wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mafinga lililopo Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wa kufunga maduka, umeingia siku ya pili leo Agosti 24, 2024 ukisababisha adha kwa wananchi kukosa huduma.
Mwananchi limefika sokoni hapo na kushuhudia milango ya maduka hayo imefungwa huku baadhi ya...
Hapa kuna ujumbe kwenu:
Alama ya pango la Plato
Katika pango, watu ambao wameishi maisha yao wakielekea nyuma kuelekea mwanga unaoingia kutoka nje, wanauona tu vivuli vya wanyama, watu, na vitu mbele yao.
Vivuli hivi ndivyo ukweli pekee kwa watu hawa ambao hawajawahi kuona sura zao halisi.Siku...
Pango la Voronya, eneo la karibu zaidi katikati mwa Dunia.
Pango la Voronya, pia linajulikana kama Pango la Krubera, ndilo pango lenye kina kirefu zaidi ulimwenguni.
Pango, Krubera-Voronya, inachukuliwa kuwa "Everest ya mapango". lina Urefu wa jumla wa vifungu vya pango hufikia mita 13,232...
Yesu alisema,"Vipi Hekalu limegeuzwa kuwa pango la wezi na wanyang'anyi?"
Kwa wale ambao sio Wakristu tuseme kwamba Yesu akawaona wati wanafanya dili nyingi za pesa.
Akasema,"Baba yangu aliamuru hii iwe nyumba ya sala, lakini mmeibadili kuwa pango la wezi"
Ndio tunajiuliza serikali imekuwa...
Wadau kuna kitu hakipo sawa.
Suala la TRA kukadilia kodi kwa kuangalia mtaji wako pamoja na unalipa pango kiasi gani kwenye biashara yako sio sawa.
Chukulia una mtaji wa milioni 10, na kodi unalipa milion 3.6 kwa mwaka. Kimsingi hii hela ya kodi inatakiwa itoke kwenye faida ya biashara lakini...
Katika barua kitume yenye mtindo wa Motu Proprio Baba Mtakatifu anafafanua jina jipya la Pango hifadhi la Nyakara za Kitume Vatican kuwa linashindwa kueleweka kutokana na uhusiano wa neno la siri na ambalo kwake linaonesha wazi uhusiano wa karibu kati ya Makao makuu ya Kitume na nyaraka zilizo...
Habari ya mdaa huu viongozi mnaendeleaje, mrejesho.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni pia mbarikiwe Wana jf wote Kwa mawazo ushauli n.k nilikuwa kwenye wakati mgumu sana lakini hatimaye solutions imepatikana Kwa kuanza na service ambazo zimebaki na mda si mrefu kuanza na kazi katika eneo Hilo
Katika matangazo yanayotolewa Kuna Kodi zinatajwa Kwa wadaiwa sugu.
Ile inayokatwa kwenye umeme na inayodaiwa ikalipwe wizara ya ardhi zinatofaiti ipi.
Wananchi sijamuona hata mmj anayekwenda kulipa hizi Kodi.
Msaada wa utambuzi
Mwezi wa tano tumelipia 150,000 kodi ya jengo mwezi huu tena nataka kununua Luku naambiwa nadaiwa tena 30,000 Tanesco watueleweshe nini kinaendelea.
Nchi ngumu sana hii
Haiwekani mimi nimepanga frem labda laki moja kwa mwezi, nakuja kutaka tin namba mnaniambia niletee mkataba wa pango, nikasheleta mnaniambia nilipe 10% ya Kodi niliyolipa kwa mwaka halafu mimi nikamdai mwenye fremu.
Kwanini TRA msiweke utaratibu wa wenye fremu kulipa Kodi wenywewe? Inaumiza...
Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi...
“Kodi ya pango itakusanywa na TRA” Mwigulu"
Waziri wa fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba amesimama Bungeni leo September 20, 2022 na kutoa kauli ya Serikali kuhusu tozo ambapo ameeleza marekebisho yatakayofanyika a kuanza kutumika kuanzia October 1, 2022.
Waziri Mwigulu amesema “Serikali...
Kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi kupitia Ukurasa wake wa Instagram, imeeleza kuwa;
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesisitiza wapangaji kuwa wazalendo na kulipia asilimia 10 ya kodi wanazokuwa wakilipa kwa wenyenyumba ili kulipia kodi ya pango.
Akiwa katika mafuzo ya wafanyabiashara juu ya...
Wakuu Salam!
Moja kwa moja kwenye mada! Hivi karibuni akiwa ziarani katika moja ya mikoa ya kanda ya ziwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan alizitaka mamlaka za kodi kuacha kudai kodi za kuanzia miaka miwili (2) nyuma, huku akibainisha wazi kuwa kitendo cha kodi hizo kulimbikizwa ni uzembe wa...
Wakuu naomba kujuzwa hii imekaaje kisheria , endapo nimempangisha mtu chumba akakitumia kwa muda mrefu bila kunilipa kodi na hakuna mkataba wa maandishi tuliofanya, Je, nguvu ya kudai malipo yangu ya kodi ikoje kisheria ?
Mhe. Ahmed Mabukhut Shabiby, Mbunge wa Gairo, juzi bungeni uliongea kwa uchungu saana wakati unachangia, lengo la mchango wako ilikuwa ni kuvunjwa kwa utaratibu wa kuagizwa kwa mafuta kwa pamoja (bulk procurement) na kisha kila mfanyabiashara mwenye uwezo wa kupata mafuta kwa bei anayoweza aende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.