parachichi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pakawa

    Mwaka 2025 wakulima wa zao la Parachichi hawana soko - Njombe

    Nauliza tu! Kwa nini wageni ndio wanapanga bei ya kuuza maparachichi? Jirani zetu wananunua maparachichi kilo shillingi elfu mbili wanaenda kuweka label product of…. Hii ni dhambi kubwa sana! Waziri wa Kilimo na Mkuu wa Mkoa lini mtawasaidia wakulima?
  2. GRACE PRODUCTS

    Faida za Parachichi kwa Nywele: Kutoka Grace Hair and Body Gardener

    Parachichi ni tunda ambalo limesheheni virutubisho muhimu kama potassium, amino acids, na protein, ambavyo ni muhimu kwa mwili wa binadamu. Leo, nitazungumzia umuhimu wa parachichi katika nywele na jinsi ya kutumia bidhaa ya Grace Hair and Body Gardener ambazo zimetengenezwa na mafuta ya...
  3. M

    Kilimo Cha parachichi wilayani Rungwe

    Ni kwa namna gani Hawa Wawekezaji wa kigeni katika zao la parachichi wameweza kuwa shawishi vijana kuingia katika kilimo hicho?
  4. Nyanda Banka

    Parachichi moja Ufaransa Tsh 6000

    Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu, yaani parachichi moja hapo Ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6 Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu #msaka_ajira
  5. The Puncher

    Shamba ekari 60 linauzwa Mufindi, linafaa kwa Parachichi au Miti ya mbao

    Habari wakuu, Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi. Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na...
  6. Two ten

    Biashara ya parachichi Hass

    Habari za Leo wakuu.. Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi? Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar. Shukran
  7. chama mpangala

    Majabu ya mbegu ya parachichi katika kutibu magonjwa

    MBEGU za PARACHICHI hutibu magonjwa ya fuatayo. 🌿High blood pressure 🌿High cholesterol 🌿Asthma 🌿Low immunity 🌿Cancer of the blood 🌿Obesity 🌿Candidiasis Unachotakiwa kufanya ni kuchukua MBEGU ya PARACHICHI na kuisaga alafu utapata Unga. Matumizi: Utakuwa unachemsha maji anaweka kwenya kikombe...
  8. BARA BARA YA 5

    Parachichi aina ya fuerte inastawi wilaya ya urambo,tabora?

    Ndugu, katika pitapita kwenye magroup ya wahangaikaji, nimekuta mtu anasema kilimo cha parachichi (aina ya fuerte) kinastawi Wilaya ya Urambo Tabora...Vipi kuna ukweli?? asante
  9. C

    Urasimu Bandari ya Dar, wafanyabiashara wa Parachichi wakimbilia Mombasa

    Hapo bandarini Dar wanashindwaje ku-handle mzigo wa ku-export Parachichi (cold room)? Yaan Parachichi litoke Njombe likasafirishwe Mombasa port? NB: nalazimika kukodi trucks za MAERSK kutokea Mombasa hadi njombe Kubeba Parachichi tu.
  10. N'yadikwa

    Wakulima wa chai na parachichi Rungwe ni wakati wa kuifufua Tukuyu Stars

    Safari ya Tukuyu Stars na Isuzu Lao -Kikosi cha Tukuyu Stars, timu iliyopanda daraja mwaka 1985, katika kituo cha Shinyanga na kuja kucheza Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara wakati huo na kuchukua ubingwa kwa kupoteza mechi tatu tu. -Mwaka huo wa kupanda daraja wa 1985, Tukuyu Stars hadi...
  11. GoldDhahabu

    Mchanganyiko wa nyanya, parachichi na vitunguu maji ni sahihi kiafya?

    Nimepanga niwe ninaula huo mchanganyiko mara tatu kwa wiki. Ni kachumbari ya nyanya, parachichi na vitunguu maji. Japo naweza kuitumia bila ya kuiwekea chumvi, ikiwekwa alau kidogo ladha yake inakuwa nzuri sana. Hata hivyo, kwa kuwa lengo langu kuu si shibe wala ladha bali afya, nimekuwa...
  12. M

    Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

    Nimefanya kilimo cha parachichi kwa miaka nane sasa, nilichokiona ni haya; 1. Kilimo kina mzunguko wake ni mdogo parachichi huzaa kidogo kidogo kadri miaka inavyoenda, unatumia million 10 unapata million mbili...
  13. Azizi Bin Adam

    Biashara ya mazao ya kahawa na parachichi

    HESHIMA KWENU WAKUU Nimekaa nikiwaza sana kuhusu biashara ya mazao haya mawili. Sasa naomba mwenye kufahamu uendeshaji wa biashara ya kununua na kuuza haya mazao mawili (kahawa na parachichi). Hasa kwa kuzingatia yafuatayo; 1. Sehemu ya kununua 2. Soko 3. Mtaji 4. Changamoto zake 5. Utaratibu...
  14. Chagu wa Malunde

    Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China

    Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China kufuatia uamuzi wa Kampuni kubwa ya ununuzi wa mazao ya Yihai Kerry ya China kuanza kununua parachichi kuanzia msimo ujao. Kampuni hiyo hivi sasa inaongoza kwa kununua Ufuta unaoingia katika soko la China kutokea...
  15. Kabende Msakila

    Mbowe ni muongo, wapi kilo ya parachichi huuzwa kwa Tshs 20,000?

    WanaJf, Salaam! Amenukuliwa akisema hivi “Kilo moja ya parachichi inakwenda kuuzwa Dola 8, karibu 20,000 hapa mnauza kilo moja Tsh 800. Maandiko Matakatifu yanasema watu wa MUNGU wanateseka kwa kukosa maarifa" - Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa @chadematzofficial taifa. Mbowe Freeman ninafahamu...
  16. T

    Zifahamu faida za kula Parachichi

    FAIDA ZA PARACHICHI (Faida 20 za Kula Parachichi) Parachichi ni aina ya kipekee ya tunda. Matunda mengi kwa asili ni wanga lakini parachichi limejaa mafuta yenye manufaa makubwa kiafya. Tafiti mbalimbali zilizofanyika zimebaini kuwa tunda la parachichi limesheheni manufaa makubwa katika afya...
  17. R

    Wazoefu wa biashara ya parachichi nina swali

    Habari wakuu, Kuna mahali nataka kwenda kununua tani kadhaa za parachichi ila sasa huko kijijini wauzaji wanauza kwa kipimo cha ndoo (debe). Naomba kujua kwa wenye uzoefu, ndoo moja ya lita 20 ikijaa parachichi inaweza kuwa na wastani wa uzito wa kilo ngapi? Natanguliza shukrani.
  18. S

    SoC02 Kilimo cha parachichi ni fursa

    Uhitaji ya zao la parachichi unazidi kuongezeka siku hadi siku kutokana na kuwepo kwa viwanda vingi vinavyotumia zao hili la parachichi kama moja ya malighafi za kutengenezea bidhaa mbalimbali kama mafuta na bidhaa nyingine nyingi. Lakini pia zao la parachichi limekuwa hitaji kubwa sana...
  19. Zulu Man Tz

    SoC02 Uchakataji mafuta ya parachichi

    WAZO LA UCHAKATAJI WA MAFUTA YA KUPIKIA KWA KUTUMIA TUNDA LA PARACHICHI. UTANGULIZI. Kutokana na uhaba wa mafuta ya taa, gesi asilia, petroli na diseli Ulimwenguni kote iliyosababishwa na oparesheni ya kijeshi ya Nchi ya Urusi kuishambulia nchi ya Ukreini mnano tarehe 24.2.2022. Wakati mzozo...
  20. ILULA HILLS

    SoC02 Nimeamua kuingia mwenyewe shambani - Kilimo cha Parachichi

    Takribani saa tatu usiku sasa, tunamaliza pika Ugali – Dagaa, tunakula huku maongezi ya hapa na pale yanaendelea na mashujaa wangu hapa, wako mbali kabisa na makazi ya watu, ndio nawajuza mabadiliko ya mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi na wakuu wa mikoa, giza ni nene, baridi ni kali, hivyo wote...
Back
Top Bottom