parachichi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Mafuta pure 100% ya parachichi

    .
  2. A

    Mafuta pure 100% ya parachichi

    .
  3. D

    Avocado oil press machine

    Salama humu ndani! natafuta mashine ya kukamulia mafuta ya parachichi yenye uwezo wa kuzalisha kati ya 10 na 20KG kwa siku.
  4. E

    Parachichi India linauzwa elfu tano na hayapatikani

    Kuna kijana anasoma India katika mji mmoja anasema tunda ghali hapo ni Parachichi linauzwa elfu tano ya Tanzania, sasa Sie tuna ndege inaenda India mara mbili kwa wiki hawa wajasiliamali wa sido wameshindwq kweli kuuza Parachichi India?
  5. and 300

    Kilimo cha PDF - Parachichi

    Wadau karibuni muwekeze Njombe. Wewe toa pesa tu sisi tutakufanyia kila kitu, ikiwemo kununua hizo parachichi
  6. beth

    Upi Mkakati wa Tanzania kutengeneza Ownership ya Parachichi kwa kuanza kuzibrand kama product ya Tanzania?

    Mbunge wa Jimbo la Makete, Mhe Festo Sanga amehoji Bungeni leo kuhusu Soko la Parachichi. Namnukuu: "Soko la Parachichi Duniani linasomeka parachichi zinazalishwa Nchi jirani ya Kenya, ili hali Parachichi asilimia zaidi ya 50 zinazotoka Ukanda huu wa Africa Mashariki zinatoka Tanzania...
  7. chizcom

    Tunda aina ya Parachichi tunavyolichukulia hapa kwetu ni tofauti na wenzetu

    Jambo lilonishangaza baada ya mzungu mmoja kutoka ufaransa kufakamia maparachichi. Nikamuuliza mbona unakula sana haya maparachichi ndipo kunifungulia ukweli kuwa ni bei sana kwao . Kumbe tuna vyakula ambavyo tunachukulia ni vya kawaida ila kwa wenzetu vikawa vya kitajiri sana.
  8. BigTall

    Vijana Mradi wa YAM wapewa darasa walime parachichi, watatoka kwenye umasikini

    Mkulima Mjasiriamali wa Kilimo cha Parachichi Katika Kijiji Cha Igoda Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa Aidan Kiwale amewataka vijana kutoka mazingira magumu ambao wapo kwenye mradi wa Youth Agency Mufindi (YAM) kuchangamkia fursa ya Kilimo cha Parachichi kwa kuwa kinalipa. Mkulima mdogo wa...
  9. Mmawia

    Kukataliwa na kutupwa kwa parachichi za Tanzania kule Afrika Kusini nini tunajifunza?

    Waziri wa kilimo ameandika kwenye ukurasa wake wa kijamii. Kuwa maparachichi yaliyo enda kuuzwa nchini Afrika ya kusini kutokea Tanzania yamekataliwa na kutupwa kutokana na mapungufu ya ubora unao hitajika ikiwemo kuchumwa yakiwa bado machanga au hayaja komaa vizuri. Je lawama apewe nani kati...
  10. Ze Bulldozer

    Rais Samia amaliza mgogoro wa miaka kumi kati ya Tanzania na Afrika Kusini

    Kumekuwa na mgogoro mkali wa kibiashara hasa ya Parachichi baina ya Tanzania na Afrika ya Kusini uliodumu kwa mwongo mzima(miaka kumi) sasa bila muafaka wowote. Mtakumbuka February, 2021 kabla ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan Jumla ya tani 3.514 za avocados|parachichi toka Tanzania...
  11. Action and Reaction

    Ukibinyabinya parachichi Sumbawanga halafu uondoke BILA Kununua!

    Matokeo ndiyo hayaaa
  12. J

    Parachichi na uzalishaji wake

    Habari zenu wadau Naamini mpo vizuri Leo tujifunze pamoja kuhusu zao la parachichi Kila mkulima ambaye anafanya kazi ya kulima na kuvuna lengo lake kubwa ni kuhakikisha kwamba anapata mavuno mengi katika kile ambacho anafanya ndio maana kila njia zinatumika kuhakikisha mwishoni kuna kuwa na...
  13. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mkuu atembelea shamba na kiwanda cha parachichi Rungwe

    WAZIRI MKUU ATEMBELEA SHAMBA NA KIWANDA CHA PARACHICHI RUNGWE Awahamasisha wananchi waongeze mashamba, parachichi zina faida kubwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea shamba la parachichi na kiwanda cha kuchakata mazao ya parachichi na kuwasisitiza wananchi walime zao hilo kwa kuwa...
  14. M

    Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha matunda aina ya parachichi au miti ya mbao yanauzwa

    Lipo Kijiji cha mfriga Kata ya mfriga Tarafa ya lupembe Mkoa wa njombe Ukubwa ni eka 30 Bei ya kila eka ni tsh 100000 Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0784340024 Sent using Jamii Forums mobile app
  15. J

    Faida 7 zinazopatikana kwenye mbegu ya Parachichi

    Utafiti unaonyesha kuwa mbegu ya parachichi inakiwango cha asilimia 65 cha amino acids na pia ina kiwango kikubwa cha fiber ukilinganisha na vyakula vingine. FAIDA ZA MBEGU YA PARACHICHI 1- Inapambana na tatizo la arthritis, sababu mbegu ya parachichi ni anti-inflammatory ( inatabia ya...
  16. J

    Maajabu ya Tunda la Parachichi

    Mbegu ya Parachichi ina muonekano kama Mtoto akiwa ndani ya mji wa mimba Kama ilivyo kwa mimba, Parachichi huchukua miezi 9 hadi kukomaa kwake Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni Parachichi husaidia kupunguza uwezekano wa mtu kupata Saratani ya Kizazi
  17. MK254

    Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

    The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets. Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production...
  18. M

    Kilimo cha parachichi Rungwe(Tukuyu) vs Njombe

    Nataka nifanye kilimo cha parachichi, nimeambiwa zinalimwa Njombe na mkoani Mbeya has a wilaya ya Rungwe, swali langu ni wapi rahisi kupata shamba kati ya sehemu hizo, changamoto za maeneo hayo ni zipi na wapi soko ni zuri kati ya maeneo hayo.
  19. S

    Naomba kuelewa mapato ya acre moja ya kila zao kwa mwaka: kahawa, korosho, migomba na parachichi

    Members wakulima na wazoefu wa hayo mazao, Naomba kuelewa kama muongozo kwa ufupi mapato ya wastani kwa mwaka kwa kila zao hapo juu. Naomba tu share uzoefu wetu kwa manufaa yetu sote.
  20. A

    Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

    Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine. Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na...
Back
Top Bottom