A partnership is an arrangement where parties, known as business partners, agree to cooperate to advance their mutual interests. The partners in a partnership may be individuals, businesses, interest-based organizations, schools, governments or combinations. Organizations may partner to increase the likelihood of each achieving their mission and to amplify their reach. A partnership may result in issuing and holding equity or may be only governed by a contract.
Husika na kichwa hapo juu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40 ni mfanyanya biashara hapa mwanza, nahitaji mtu mwenye mtaji wa kuanziasha biashara ya pamoja.
Mimi tayar nachumba cha duka natafuta mtu mwenye Nia ya pamoja, kutokana na chumba kilipo kinafaa sana kama Kuprint tishet mabango...
Huyo sio waifu ni mdau tu wa maendeleo.
Wakuu chochote mtachosema mimi nitakuwa mtekelezaji mwaminifu.
Mimi naliamini sana hili jukwaa halijawahi kuniangusha hata siku moja.
Mnasemaje wakuu
Mnanipa grini laiti au?
Hapa ushauri unahitajika maana nimeshauri mpaka nimechoka.
Kuna binti kaja kuniomba ushauri kuna biashara anatamani kufungua ila wifi yake yaani mke wa kaka yake anatamani kufanya naye partnership.
Watu wenye uzoefu na biashara za kufanya na ndugu hili swala mnaweza kushauri vipi.
Habari ndugu, kama kichwa Cha tangazo kilivyoandikwa nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba -Dar hivyo nahitaji watu wa kushirikiana nao kupata soko, dagaa ni rejareja kwenye packet au kwa jumla pia wanapatikana kuanzia ndoo ya lita 10 mpk 20, hivyo kwa ambae yupo...
Wakati tunapigia chepuo hii PPP's kwamba ndio magic wand nimeona nilete pdf hapa (report by David Hall) ambayo kwa hoja za mwandishi ni kwamba PPP's zimegubikwa na sintofahamu za kutosha na loopholes za Upigaji na kwa nchi kama yetu ya mafisadi huenda hii ikawa ni kuongezea watu mirija ya...
Moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli natafuta watu au kampuni ya kufanya nao Partnership ya Social Network ili tufaidike sote
Mtandao tayari umeshaundwa mfano wa Twitter na Facebook kilochobaki natafuta watu au kampuni tutakayoingia Partnership ili tusaidiane kulipa bill za...
The successful candidate can be posted to work anywhere within Tanzania Main Land
This manager leads a team of Partnership Facilitators that serve the church partners by strengthening local ownership, building capacity and resources of church partners to minister to children and youth in their...
SERIKALI ya Tanzania na Uingereza zimesaini Makubaliano ya Kukuza Ushirikiano (Mutual Prosperity Partnership - MPP) yanayolenga kuchochea maendeleo katika sekta za kiuchumi zikijumuisha uwekezaji, biashara na miundombinu.
Makubaliano hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company of the German Federal Government, has been supporting the implementation of development policy goals...
Habari
Natafuta mtu wa kufanya naye biashara ya clearing and forwarding. Nina kampuni, wateja wachache ninao, natafuta mtu mwenye wateja lakini Hana kampuni nifanye naye kazi.
Naomba kuwasilisha
Habari!
Jamani natafuta mtu anaehitaji kuanzisha kampuni ya ulinzi. Ninayo leseni lakini sina mtaji natafuta mtu mwenye mtaji tufanye partnership Kama umekuwa interested
Mawasiliano.
0672650624
Eng. Mohamed Besta – Chief Executive TANROADS
A compelling case for the transformation of Tanzania's road sector through public-private partnerships (PPPs) can be made based on several factors. It is apparent that any nation developing its road network is essential for the growth, trade and...
Simba Sports Club and M-BET Tanzania have signed a five-year sponsorship deal worth Sh26.1 billion. The deal is the most lucrative in Tanzania football and historic for the Msimbazi Street giants.
M-Bet Tanzania marketing director Allen Mushi commended the club for their best performances in...
Kuna aina nyingi za kufanya biashara (there are so many forms of doing business) kama vile biashara ya mtu mmoja (sole trade), biashara ya ushirikiano (partnership), vikundi, kampuni, trust n.k.
Kwenye hili andiko nitaongelea mchakato wa kusajili biashara binafsi na biashara ya ubia...
This senior manager is a member of the National Management Leadership team and provides leadership for all the work with local churches of the National Office/geography as it works to build the ownership, capacity, and resources of local churches to effectively minister to children and youth in...
Nina Idea ya product ya Educational technology.
Ila ipo kwenye mahandishi mpaka sasa.
Ni wapi naweza pata mfadhili au mtu wa kufanya nae partnership?
Naombeni msaada wa mawazo.
Habari za muda huu wana JF, hongereni kwa mapambano ya kila siku kuifanya dunia kuwa bora na salama.
Mimi ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es Salaam elimu yangu ni kidato cha sita. Awali kabisa napenda ieleweke kwamba dhumuni ni kukuza na kuiboresha biashara (sitasema biashara yenyewe hapa...
WFP celebrates and embraces diversity. It is committed to the principle of equal employment opportunity for all its employees and encourages qualified candidates to apply irrespective of race, colour, national origin, ethnic or social background, genetic information, gender, gender identity...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.