partnership

A partnership is an arrangement where parties, known as business partners, agree to cooperate to advance their mutual interests. The partners in a partnership may be individuals, businesses, interest-based organizations, schools, governments or combinations. Organizations may partner to increase the likelihood of each achieving their mission and to amplify their reach. A partnership may result in issuing and holding equity or may be only governed by a contract.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Husika na kichwa hapo juu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40 ni mfanyanya biashara hapa mwanza, nahitaji mtu mwenye mtaji wa kuanziasha biashara ya pamoja. Mimi tayar nachumba cha duka natafuta mtu mwenye Nia ya pamoja, kutokana na chumba kilipo kinafaa sana kama Kuprint tishet mabango...
  2. Financial Analyst

    Hizi pete ambazo baadhi ya watu huvika vidoleni huwa ni za asili na kazi gani? Karibuni tujuzane

  3. Braza Kede

    Binti kani-approach tufanye biashara ya pamoja (business partnership), je nimkubalie?

    Huyo sio waifu ni mdau tu wa maendeleo. Wakuu chochote mtachosema mimi nitakuwa mtekelezaji mwaminifu. Mimi naliamini sana hili jukwaa halijawahi kuniangusha hata siku moja. Mnasemaje wakuu Mnanipa grini laiti au?
  4. Meneja Wa Makampuni

    Kuna binti anataka kufanya partnership (biashara) na wifi yake (mke wa kaka yake)

    Hapa ushauri unahitajika maana nimeshauri mpaka nimechoka. Kuna binti kaja kuniomba ushauri kuna biashara anatamani kufungua ila wifi yake yaani mke wa kaka yake anatamani kufanya naye partnership. Watu wenye uzoefu na biashara za kufanya na ndugu hili swala mnaweza kushauri vipi.
  5. S

    Nahitaji kuanzisha biashara ya dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba - Dar, natafuta soko na partnership wa kuuza hii bidhaa yangu

    Habari ndugu, kama kichwa Cha tangazo kilivyoandikwa nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba -Dar hivyo nahitaji watu wa kushirikiana nao kupata soko, dagaa ni rejareja kwenye packet au kwa jumla pia wanapatikana kuanzia ndoo ya lita 10 mpk 20, hivyo kwa ambae yupo...
  6. Logikos

    Why Public Private Partnership Dont Work (The other Side of the Story)

    Wakati tunapigia chepuo hii PPP's kwamba ndio magic wand nimeona nilete pdf hapa (report by David Hall) ambayo kwa hoja za mwandishi ni kwamba PPP's zimegubikwa na sintofahamu za kutosha na loopholes za Upigaji na kwa nchi kama yetu ya mafisadi huenda hii ikawa ni kuongezea watu mirija ya...
  7. Mr Why

    Natafuta watu au kampuni ya kufanya Partnership ya Social Network mfano sawa na Facebook & Twitter

    Moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli natafuta watu au kampuni ya kufanya nao Partnership ya Social Network ili tufaidike sote Mtandao tayari umeshaundwa mfano wa Twitter na Facebook kilochobaki natafuta watu au kampuni tutakayoingia Partnership ili tusaidiane kulipa bill za...
  8. Jamii Opportunities

    Manager of Partnership at Compassion

    The successful candidate can be posted to work anywhere within Tanzania Main Land This manager leads a team of Partnership Facilitators that serve the church partners by strengthening local ownership, building capacity and resources of church partners to minister to children and youth in their...
  9. Roving Journalist

    Tanzania na Uingereza zasaini Makubaliano ya Kukuza Ushirikiano (Mutual Prosperity Partnership - MPP)

    SERIKALI ya Tanzania na Uingereza zimesaini Makubaliano ya Kukuza Ushirikiano (Mutual Prosperity Partnership - MPP) yanayolenga kuchochea maendeleo katika sekta za kiuchumi zikijumuisha uwekezaji, biashara na miundombinu. Makubaliano hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
  10. Jamii Opportunities

    Head of Secretariat (m/f/d), Africa EU Energy Partnership (AEEP)

    Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company of the German Federal Government, has been supporting the implementation of development policy goals...
  11. B

    Natafuta partnership kwenye biashara ya Clearing and Fowarding

    Habari Natafuta mtu wa kufanya naye biashara ya clearing and forwarding. Nina kampuni, wateja wachache ninao, natafuta mtu mwenye wateja lakini Hana kampuni nifanye naye kazi. Naomba kuwasilisha
  12. makame clan

    Natafuta mtu anayehitaji kuanzisha kampuni ya ulinzi

    Habari! Jamani natafuta mtu anaehitaji kuanzisha kampuni ya ulinzi. Ninayo leseni lakini sina mtaji natafuta mtu mwenye mtaji tufanye partnership Kama umekuwa interested Mawasiliano. 0672650624
  13. Roving Journalist

    Public-Private Partnership – Compelling Case for Road Infrastructure Financing in Tanzania

    Eng. Mohamed Besta – Chief Executive TANROADS A compelling case for the transformation of Tanzania's road sector through public-private partnerships (PPPs) can be made based on several factors. It is apparent that any nation developing its road network is essential for the growth, trade and...
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Simba, M-Bet enjoy sponsorship partnership While Uto on collision path

    Simba Sports Club and M-BET Tanzania have signed a five-year sponsorship deal worth Sh26.1 billion. The deal is the most lucrative in Tanzania football and historic for the Msimbazi Street giants. M-Bet Tanzania marketing director Allen Mushi commended the club for their best performances in...
  15. Zakaria Maseke

    Hatua za kuanzisha biashara binafsi au ubia (procedures for establishing a sole trade & partnership business) in Tanzania

    Kuna aina nyingi za kufanya biashara (there are so many forms of doing business) kama vile biashara ya mtu mmoja (sole trade), biashara ya ushirikiano (partnership), vikundi, kampuni, trust n.k. Kwenye hili andiko nitaongelea mchakato wa kusajili biashara binafsi na biashara ya ubia...
  16. Jamii Opportunities

    Senior Manager of Partnership at Compassion

    This senior manager is a member of the National Management Leadership team and provides leadership for all the work with local churches of the National Office/geography as it works to build the ownership, capacity, and resources of local churches to effectively minister to children and youth in...
  17. mimi mtakatifu

    Nina idea ya Educational technology product... Wapi naweza pata msaada wa fund au partnership?

    Nina Idea ya product ya Educational technology. Ila ipo kwenye mahandishi mpaka sasa. Ni wapi naweza pata mfadhili au mtu wa kufanya nae partnership? Naombeni msaada wa mawazo.
  18. Ofsa Kidali

    Natafuta muwekezaji

    Habari za muda huu wana JF, hongereni kwa mapambano ya kila siku kuifanya dunia kuwa bora na salama. Mimi ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es Salaam elimu yangu ni kidato cha sita. Awali kabisa napenda ieleweke kwamba dhumuni ni kukuza na kuiboresha biashara (sitasema biashara yenyewe hapa...
  19. Jamii Opportunities

    Intern (Private Sector Partnership) at WFP

    WFP celebrates and embraces diversity. It is committed to the principle of equal employment opportunity for all its employees and encourages qualified candidates to apply irrespective of race, colour, national origin, ethnic or social background, genetic information, gender, gender identity...
  20. jingalao

    Cyril Ramaphosa on Smart Partnership

    Huu ni ukweli mchungu kwa Mabeberu .
Back
Top Bottom