Habarini za pilika ndugu zangu
Matumaini yangu zote tu wazima, Ndugu zangu nina plan na nia ya Dhati sana kufanya hiyo biashara hapo juu kwa mkoa kama Dodoma ni fastest city. ninataaluma nzuri na uzoefu zaidi ya miaka nane kwenye Globe companies kwa sasa nahitaji kuwa na kampuni ili niweke...
Habarini wanaJamiiForums
Ni imani yangu mko salama. Leo napenda kuangazia suala zima la collabo au partnership katika kutafuta mitaji. Kutokana na ugumu uliopo katika kupata mtaji wa kuanzishia biashara, hasahasa kwa wahitimu wa chuo, collabo baina ya watu wawili au zaidi inakuwa ni moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.