NAIROBI, April 18 (Reuters) - Tanzania’s main opposition party said on Friday it could not establish the whereabouts of its leader Tundu Lissu after he was moved from a jail where he was being held following his arrest on treason charges last week.
Senior CHADEMA party officials, Lissu's...
Kama CHADEMA mtakataa kuwa tawi la CCM basi DP (Chama Cha Demokrasia) kitawafaa sana au njooni CCM,
Mbowe aendelee tu na SACCOS yake.
Haya ndio majibizano kati ya Mwanachadema na MwanaCCM wakiwa njiani wakitembea kwa Miguu.
Asanteni.
I will be short
Any way very late 20s . Sina mtoto sina Mchumba , Ila na pisi Kama 3000 hivi .
Any way nilijikubali kuwa furaha yangu is my own kitambo sana . Yani hata Dunia nzima mpotee mda huu Mimi fresh tu .
Issue living with these women . Mimi nimeshindwa maana Sina unhappy...
Kupitia ukurasa wa X wa Jamaa anayeitwa Dr lwaitama kaandika kuwa
“CHADEMA Election fraud is far more consequential &criminal than that of CCM,one of elites commented on our views on 2020 Election,that “were lies and preemptive unsubstantiated allegations of voting fraud because it riped off...
Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi.
Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe. Maisha yake mpaka anafikia miaka 16 yalikuwa nchini Nigeria. na baada ya miaka 16 Kemi alirudi...
chama
chama cha upinzani
chama kikuu cha upinzani
conservative party
historia
kemi badonech
kiingereza
kiongozi
kuongoza
kwanza
mdada
mpya
mwafrika
nigeria
party
wake
wazazi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania na ni moja ya vyama vya kisiasa vilivyodumu kwa muda mrefu barani Afrika. CCM ilianzishwa mwaka 1977 baada ya kuunganishwa kwa vyama viwili, Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP), ambavyo vilikuwa vikifanya...
Nakumbuka enzi hizo Uchina wakati wa cultural revolution miaka ya 60s mpaka 70s liliibuka genge la mtu nne likiongozwa na mke wa Mao Zedong aitwae Jiang Qing.
Genge hili lilijitwalia madaraka ya nguvu ndani ya chama cha kikomunisti cha China liliakikisha lina shughulikia kila mtu aliye kinyume...
Job Title: Deputy Chief of Party
Application Deadline: Apr 30,2024
Position Type: Full-time
Position Category: Local hire, paid in-country
Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Salary: Commensurate with experience
Starting Date: Oct 1,2024
JOB...
Hii mada ni complex kidogo. Hivi kama mapenzi ni kati ya watu wawili me na ke, how come kwenye jamii ionekane kama mwanaume ndo kampenda mwanamke? kuna utaratibu kwamba mwanaume ndo anatakiwa achumbie which is true manaume ndo anatakiwa a make first move....
ila hii ni kama vile tunawapa nguvu...
Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one.
Namimi nikiwa moja ya hile kamati! Na kwakuwa imepita muda mrefu basi tunaleta wazo kwenu ili anagalau tukutane...
The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape
Mmusi Mosimane Nthuli
Today January 24th 2024, a pivotal political episode unfolded in Tanzania when Chadema, a significant opposition party, staged public demonstrations. Intended as a...
Nilichojifunza tukio la royal engagement party
1: Mwanzo mwisho sauti na vinasa sauti vilikuwa na changamoto.
2: Pamoja na mapambo mazuri ya ukumbini, waalikwa walikuwa wamepoa sana kama walikuwa wamemwagiwa maji.
3: Bw. Haji kama vile alikuwa amelenga maokoto zaidi kutoka kwa waalikwa.
4: Bw...
Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa.
Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi...
sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga
Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu.
Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa yaliletwa na kontena mbili
zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce &...
Asalam,
Nimefuatilia mijadala ya huu mkataba wa kuuza Bandari. Mengi yamesemwa. Sitaki kuyarudia, Natoa ushauri tu sasa ili kulinda umoja wetu kama watanzania, muungano wetu na uimara wa CCM.
1. Vyombo na mifumo ya dola iwasaidie Majaji Mbeya KUFUTA HUU MKATABA bila kujali changamoto za dini...
Binafsi tangu nimejiunga CHADEMA zaidi ya miaka 10 iliyopita nlikuwa nina imani sana na chama changu na nliamini ipo siku tutakuja chukua dola.
Muda na chaguzi zilipita lakini hakuna kitu kilichoniumiza kichwa kama ghafla kumuona Lowassa anapeperusha bendera ya CHADEMA.
Nlikumbuka sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.