pasaka

Pasaka Cinema (Lithuanian: Pasakos kino teatras) is a former Art Deco style movie theater in Kaunas, Lithuania. At that time of the opening, the cinema was amongst the most modern in Kaunas.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Je, Wakristo wataruhusiwa kusherekea Sikukuu ya Pasaka Jumapili huko Zanzibar? Je, endapo watasherehekea watakamatwa kwa kula mchana?

    Kuna msuguano wa fikra mitandaoni kuhusu Katazo la kula mchana adharani huko Zanzibar kipindi hiki cha Mfungo. Lakini kwa wenzetu wakristo jumapili ni Sikukuu ya Pasaka na naamini Zanzibar kuna wakristo wengi ambao wanajiandaa kusherekea Sikukuu hiyo. Je, Katazo la kula adharani linawahusu...
  2. Mambo ni Shwari, Hakuna tena Matamko ya Pasaka kutoka kwa Wakatoliki na ACT(Umoja wa Makanisa).

    Naona mambo sasa yamekaa sawa. Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa. Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko. Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa. Inamaana Wameshakubali...
  3. Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani. Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja...
  4. Mechi ya Simba vs Al Ahly kuangukia Ijumaa Kuu ya Pasaka ina maana kubwa sana kiroho

    Ijumaa hii ya 29/03, Simba anacheza na Al Ahly ya Misri katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya CAFCL. Ijumaa hiyo hiyo ni mwanzo wa maadhimisho ya kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Kuna mfanano mkubwa kati ya sikukuu ya Wayahudi inayoitwa Passover na sikukuu ya Wakristo ya Pasaka. Sitaenda...
  5. Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

    Nakupa dokezo. Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe. Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana...
  6. M

    Sababu ya wafanyabishara kulalamika biashara mbaya kipindi cha pasaka kimenifanya nijue wa Tanzania sio wa'DINI mitaani km inavyoonekana mitandaoni

    Sikuu kuu imenifunza mengi na pia nimeangalia maisha halisi toka utotoni nikaunganisha dot nikapata huu ukweli Nikianza na wafanyabiashara wa chakula masokoni Wao walisema mauzo yalikuwa ya chini sana katika bidhaa zao za vyakula tofauti na sikuu zingine.hii imetoka na ukweli kwamba kipindi...
  7. Pasaka hii tukumbuke kuwa yale tunayowatendea Wadogo na Wasiojiweza ndiyo tunayomtendea yule aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu

    Kikristo ni kwamba tunapaswa kutendeana kwa upendo na ukarimu kama Kristo alivyotutendea. Kama Wakristo, tunapaswa kufuata mfano wa Kristo ambaye alijitoa kwa ajili ya wengine na kuwa mfano wa upendo, huruma, na unyenyekevu. Kadhalika, tunapaswa kuelewa kuwa kila mmoja wetu ana wajibu wa...
  8. M

    Rais Samia kuwatakia Watanzania Heri ya Pasaka huku hawana uwezo wa kula pilau na nyama ni ubatili

    Watu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe. Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao. Hii salamu haisaidii
  9. B

    Umepanga kufanya nini leo siku ya Pasaka?

    Kwanza niwatakie heri ya Pasaka kwa Wakristo wote duniani kote. Naomba niwaambie kitu katika siku hii ya leo muhimu duniani katika maisha yetu. Tunapoisherehekea Pasaka, tunasherehekea kufufuka kwa Bwana Yesu Kristo. Tunaambiwa kwamba bila ya Bwana Yesu kufufuka basi Ukristo usingekuwepo...
  10. Nawatakia Heri ya Sikukuu ya Pasaka Ndugu Zangu Wakristo

    Nawatakia Heri ya Sikukuu ya Pasaka Ndugu Zangu Wakristo.
  11. Lile Jambo linazidi kupingwa, ajenda kuu Misa ya Pasaka

    Ndio, nazungumzia lile Jambo, Limekuwa agenda kuu Misa ya Pasaka.. Wazazi wapaswa kuwajibika kulea maadili ya watoto wao. Hili jambo wengi tunalivamia lakini ukwel ni kwamba kwa Tanzania mkakati ulianza zamani sana.. Angalia hapa.. 1. Kabla ya mwaka 2005 kulikuwa na fursa Sawa kwa wote...
  12. Pasaka hii tukumbuke kuwasaidia wahitaji, yatima na wajane

    PASAKA ni kuyaishi maisha mapya ndani ya kristo yaani utakatifu, wokovu, utuwema, fadhili upendo na matendo mema. Maisha ya Yesu hapa duniani yalikuwa yakutenda mema. Hivyo Basi Tuuishi Ukristo kuwasaidia wengine (mpende jirani yako) Yatima, wajane na wasiojiweza kwa namna moja ama nyingine.
  13. Pasaka maana yake ni 'passover'

    Passover maanake kuvuka hatua. Kuanzia na kusulubiwa kwa Yesu mpaka kufufuka. Hakika IMEKWISHA PALE MSALABANI.
  14. Pasaka itakuwa tarehe ngapi

    Wakuu nipo gizani. Pasaka ni siku gani na tarehe ngapi?
  15. R

    Ungependa Zuhura Yunus atoke na mkeka kipindi cha Pasaka au baada Eid?

    Tukubali kwamba Rais amekwazika sana na ripoti ya CAG. Nilipomsikiliza akitamka neno stupid nilimkumbuka Rais wa sasa wa Zambia Hichilema alipowaambia Wazambia kwamba, siku anaingia ofisini alikuta majalada yanayomtaka aidhinishe fedha za magari na samani nyingine za ofisi kwa kigezo kwamba...
  16. Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres

    Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres Reem Abaza wa UN News akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kuhusu ziara zake za kila mwaka za mshikamano wa Ramadhan. 6 Aprili 2023Amani na Usalama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa...
  17. Kheri ya sikukuu ya pasaka in advance

    Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie...
  18. T

    Mwigulu ni Petro wa Pasaka hii kwa kumsingizia mama kuidhinisha malipo ya ovyo serikalini. Zawadi ya Pasaka kwa watanzania ni mama kumtumbua leo hii.

    Mama umesingiziwa hata alipobanwa na spika bado alishindwa kukana kuhusika kwako kuidhinisha malipo serikalini. Katiba ipo wazi wewe siyo muidhinishaki wa mapato serikalini. Kama unakumbatia kuidhinisha upigaji huu basi unakiuka hata Katiba. Wape mbuzi wa Pasaka yatima wetu lakini kwa watanzania...
  19. Jeshi la Polisi Dar es Salaam latoa angalizo kwa wanaotaka kufanya uhalifu wakati wa Pasaka

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mifumo ya kiusalama ya kuzuia matukio ya kihalifu, kwa ujumla hali ya Dar es Salaam ni shwari. Hata hivyo Polisi hawatasita kuendelea kufuatilia na kuwakamata watu wanaopanga njama na kutenda matendo ambayo ni kinyume na sheria...
  20. Tumpongeze Yuda, bila yeye Yesu asingekwenda mbinguni Wala tusingefahamu pasaka

    Shukrani za dhati kwa Mwenyekiti cha wasiliti bwana Yuda kutuletea pasaka. Na kuanzisha mtindo wa usaliti.leo tuna mayuda wengi duniani kila Kona. Tumebakisha siku chache tumkumbuke Yuda maana tumemsahau
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…