pasi

Psoriasis Area and Severity Index (PASI) is the most widely used tool for the measurement of severity of psoriasis. PASI combines the assessment of the severity of lesions and the area affected into a single score in the range 0 (no disease) to 72 (maximal disease).

View More On Wikipedia.org
  1. B

    CHADEMA: Jahazi liko imara pasi na kutetereka

    Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa. Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake. Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona...
  2. Lupweko

    Simba yaweka rekodi ya timu za Bara kwa kupiga pasi 873

    Katika mechi ya Simba vs Dodoma Jiji, timu ya Simba ilipiga jumla ya pasi 873 na kati ya hizo, pasi 730 zilifika zilikopangwa kwenda. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa Anwar Binda wa Wasafi FM wakati akichambua mechi hiyo, na kusema tangu aanze kuchambua mechi za VPL na ASFC za timu za Tanzania...
  3. MR LINKO

    Mila na utamaduni: Tanzania wanakozikwa watu wakiwa wameketi hadi Cameroon wanakopiga matiti pasi, angalia tamaduni za ajabu Afrika

    Muacha mila ni mtumwa lakini kuna baadhi ya mila zinazoendelezwa Afrika ambazo ni nzuri na zinawafanya Waafrika kutambua urithi wao kitamaduni lakini nyingine ambazo zitakushangaza. Baadhi ya mila hizo zimetajwa kama dhalilishi au zinazokiuka haki za kimsingi za binadamu. Leo tunaangazia...
  4. J

    Tufahamishane bei za friji, luninga na pasi kwa mpakani Tunduma

    Wandugu naomba kujuzwa bei ya vitu vya umeme mpakani Tunduma hasa friji maana nasikia kule bei ya vitu hivyo ni rahisi sana kushinda hata Dar nataka nijaribu kujichimbia huko siku za usoni.
  5. R

    Dawa ya kutoa uchafu kwenye pasi

    Habari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa. Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa. Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying...
Back
Top Bottom