Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.
Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili, jua litachomoza walau mara moja kama si zaidi.
Watanzania sisi ni watu waoga sana. Si ajabu ndo...
Baada ya mgomo wa madaktari Tanzania ulioacha vifo vingi na kufanikisha maboresho mengi katika sekta ya Afya miaka kadhaa iliyopita Sasa na Walimu nao wamekuja na mgomo baridi usioonekana kwa haraka kwa watu wenye akili ndogo
Walimu wa Tanzania ni kama wapo katika passive resistance na mgomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.