paypal

  1. Nafaka

    Jinsi ya kuwithdraw pesa toka paypal iliyokuwa held baada ya akaunti kuwa limited kwa siku 180

    Nadhani wale wenzangu na mimi mnaotumia Paypal mlishawahi kukumbana na tatizo la paypal kushikilia pesa yako kwa miezi 6 na kisha baada ya hapo kukwambia uitoe ila option iliyopo ni kupitia akaunti ya bank ya US. Sasa leo nawapa njia ya kuwithdraw hiyo pesa. Unatakiwa kuwa na US dollar account...
  2. Q

    Makato ya PayPal Tanzania yakoje?

    Habarini!. Anayefahamu makato ya kuhamisha pesa kutoka paypal kwenda benk iliopo Tanzania anifahamishe please,
  3. YEHODAYA

    Wabunge tusaidieni kuiuliza serikali ni lini itaruhusu mfumo wa kupokea pesa wa biashara za mitandaoni wa Paypal?

    Dunia ya sasa biashara za mitandaoni ni kubwa mno na hazina mipaka Waweza uza chochote mitandaoni Njia ya malipo ya haraka ya kupokea pesa mitandaoni ni njia ya Paypal ikiruhusiwa itafungua ajira nyingi mno Wabunge tunaomba mtusaidie kwa hili kutuulizia bungeni
  4. Baraka21

    Waziri Ndugulile tunaomba utusaidie kuhusu PAYPAL

    Mh. Ndugulile tunaomba utusaidie kupata huduma ya PAYPAL katika nchi yetu. Tunakukumbusha tu sisi vijana tusio na ajira itatusaidia sana hii huduma.
  5. Baraka21

    Waziri Ndugulile, tunaomba uruhusu akaunti ya PayPal Tanzania

    Mh. Waziri Ndugulile pamoja na Benki Kuu ya Tanzania sisi vijana tusio na ajira tunaomba mruhusu account za paypal ziweze kuruhusu kupokea pesa ili tujiajiri na kazi za mitandaoni. Tunakuomba sana mheshimiwa Waziri utusaidie. Huku mtaani hali ni mbaya sana. Natanguliza shukrani.
  6. Red Giant

    Kwanini nchi yetu hairuhusu watu kulipwa kwa Paypal? Kuna sababu gani ya msingi?

    Wandugu kwanini Tanzania hawaruhusu watu kupokea malipo kwa Paypal, njia rahisi kabisa? Siku hizi kuna kazi nyingi sana mtu unaweza kufanya mtandaoni. Ni wewe tu na bando lako na simu yako au Kompyuta yao. Unaweza kufanya kazi ipo US au kokote duniani. Na njia rahisi ya malipo ni kupitia...
  7. medisonmuta

    Msaada katika tatizo hili la PayPal katika kulink Kadi

    Nimepata changamoto ya kushindwa kuunganisha Kadi yangu ya Airtel Master card na Paypal. Haswa eneo la ukomo wa tarehe. Hitilafu ninazokutana nazo kama kwenye picha ifuatavyo:
  8. YEHODAYA

    Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

    Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni. Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi...
  9. H

    PayPal to M-Pesa project - Lets discuss

    Najaribu kustructure project ya kuwezesha kutoa pesa za PayPal hapa TZ, kwa kuwa kwa sasa haiwezekani ila tunaweza take advantage ya kutumia product hizi 3 kufanikisha 1. M-Pesa open API 2. DirectPay API 3. PayPal API ambapo itakuwa hivi 1. kwa kuwa M-Pesa API inaruhusu huduma C2B, B2B, B2C...
  10. S

    Msaada, Kufungua Accounts NETTELER, SKRILL na PAYPAL

    Wakuu kwema? Nina mpango wa kufungua akaunti kwenye kampuni tajwa hapo juu. Lengo ni kuweza kubet makampuni ya kubet ya nje. Nina sababu fulani muhimu za kuchagua makampuni hayo ya kubet. Kuna anaejua jinsi ya kusajili, funds transfer charges na chochote cha muhimu kujua juu ya haya makampuni...
  11. talentbrain

    Naweza kufungua account ya kupokea kwa Paypal Tanzania kwa sasa?

    Habari wadau wa biashara na ujasiliamali. Labda nitangaze interest. Nimefungua biashara yangu ambayo inahitaji sana kupokea malipo ya awali kabla ya kutoa huduma na nikaifikiria PayPal. Katika mapitio yangu inaonekana Tanzania haijaanza kutumia huduma hii rasmi. Kwa kutambua hilo naomba kujua...
  12. Nafaka

    Paypal account on hold

    Ni nani aliwahi kufungua account ya paypal labda Kenya halafu hela ikaingia wakaihold? Na je alifanikiwa kuifungua au ndiyo alikubali pesa ipokee kwakushindwa verify identity na documentations hakuwa nazo?
  13. Travis Walker

    Natoa huduma ya kutengeneza account ya paypal katika nchi zisizokubali ikiwemo Tanzania

    Habari, wakuu. Natumai muko wazima na afya kamili. Ninapenda kuwajuza ya kwamba natoa ofa ya kutengeneza business account ya paypal na kuweza kupokea hela straight katika credit card yako au katika acount yako ya mpesa kupitia M-PESA MasterCard. Hii itafanya kazi duniani kote bila ya usumbufu...
  14. Mshiiri

    Jinsi ya kufungua akaunti ya paypal na usalama wake

    Dear all Have registered for a new paypal account using the CRDB debit card and that my account was charged by paypal US$ 1.95 and the code sent to the bank. On requesting the bank statement I do not get the paypal code but the transaction code through my bank. How one get the PAYPAL CODE...
  15. YEHODAYA

    Yeriko Nyerere tusaidie, kitabu chako ukiuza kupitia Amazon unalipwa kwa njia ipi?

    Watanzania wengi wanataka kuuza vitu masoko na maduka ya mitandaoni kama Amazon, Ebay n.k Yericko Nyerere, huwa unalipwaje ukiuza kitabu chako cha ujasusi wa kiuchumi kwenye duka la Mtandaoni la Amazon; yaani pesa zako huwa unazipataje, kwa Paypal au njia ipi mteja aki-click na kununua? Sababu...
  16. billionarejerry

    Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

    Jamani wanajamii nina shida hapa inanisumbua kweli, hivi ina maana bank zetu hazifanyi kazi na Paypal account? Mtu aliye na jibu anisaidie jamani.
  17. YEHODAYA

    Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

    Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia...
  18. trojan

    Paypal to Tigo Pesa Exchange

    Nahitaji cash paypal , mwenye balance na anahitaji kuexchange anicheck PM.
Back
Top Bottom