penzi linaporomoka

  1. jitulawatu

    Penzi linaporomoka wakati tunakaribia kuoana

    Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi masikini ya Mungu. Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro...
Back
Top Bottom